Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...

Dah mkuu Pascal Mayalla umeongea ukweli mchungu.

sisi Watanzania sisi wengi wetu ni mafisi (cowards) wa kupindukia, kujiita makondoo (dociles) ni kujipa sifa tusizostahili!
 
Daaaaaaa

Umenikumbusha rafiki yangu Isango

Siku chache kabla ya kifo chake tulikuwa tumenunua nyama tukakaanga na ndizi na vinywaji tukafurahi na marafiki zangu.

Siku chache baadae naona mitandaoni kafariki.

RIP Josephat!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu paskali, bado tunakuhitaji sana kaka, please usitupe wosia katika kipindi hiki kigumu. Mwenye enzi Mungu akufunike kwa ulinzi wake kama alivyomfunika Mh. Tundu Lissu. Amen.
 
Kila nikiangalia madaktari na manesi wanavyopambana na " kirusi" cha Corona pale UK nimeanza kuamini zipo kazi zinazohatarisha maisha.

Utangazaji ukiwa fair hakuna hatari yoyote!
Haiwezekani mtangazaji uwe fair kisha ubaki salama.

Imagine unapata habari namna jamaa wanavoitafuna nchi kama mchwa,with evidence.

Huku kuna kundi linalaumu hawa jamaa ni mchwa kwenye keki ya taifa.

Niambie a fair stori hapo itakuwaje ili huyu jamaa abakie salama.

Sent using iphone pro max
 
Mkuu we cheza na alama za nyakati , ukiona mkuu anapenda kusifiwa basi we andika makala za kumsifia, wanasema ukitaka kula na kipofu usimshke mkono .. maana na wewe ushaitwa kuhojiwa bungeni na hatujui ulihojiwa nn , kama vp unga juhudi mkuu
 
haukutakiwa kuzungumzia walio potea tu zungumzia na akina kabendera na wenzake waliyotendewa mpaka leo
Mkuu Hufi Leo bali kesho, kwa vile ni kuwahusu waandishi wa habari waliopotea au kutangulia mbele ya haki kwa vifo vya kutatanisha, wewe unaweza kuanzisha bandiko la waandishi waliotendwa, tutachagia
P
 
Duh...!. Mkuu Retired, unaamini kweli mimi nilitaka Twitter ifungwe?!.
Nisikilize
P
Nimesikiliza, dakika ya 1.37 to 1.47 unawaita TCRA ukisema "hawawezi", where are we, tuhamasishane tusisome twitter... Pascal ulipoiomba TCRA ukisema hawawezi, I have no speak of doubt kuwa ulimaanisha hawawezi kuiingilia kati katika haya yanayoendelea Twitter! Swali: Wanaingiliaje? the only option available to them ni kuiblock Twitter maana si rahisi kuzima card ambazo zitaonekana zina akaunti twitter!

Unajua fika kuwa wanaosoma twitter ni waelewa, very understanding people, kusema nitahamassha wasiingie twitter si kweli! Truly ulitafuta njia ya to awaken TCRA to do something about Twitter and the only irresistible conclusion to the action that can be taken by TCRA ni kuizima Twitter! Uliogopa kuweka wazi kuwa TCRA waifungie Twitter!
SEcondly unajua hali mbaya ya sheria ya magazeti, etc.....

soma link hiyo ambayo nimetoa excerpt hii chini

Govt tightens noose on social media
 
https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2019/02/1994639_Instagram_media_-_Bt2Krycj3b7.jpg

 
Mkuu Retired, huku sasa kutakuwa ni kulishana maneno!. Hivi huwezi kufanya ukosoaji bila kutukana, kudhalilisha na lugha za kuudhi?.
Wito Kwa wana JamiiForums kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli
P
 
Bahati mbaya mmeshindwa kuwaita mashirika ya kimataifa ya kutetea uhuru wenu.Umenikumbusha yangu Isango daah,hata kipind mnahojiwa na Angalien Mpendu niliwaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…