Na huenda hata Professor wa Bandari Issa Shivji yumo kundiniπHao ni wahindi wa pale Kisutu wengi wao ni mashia huwa wanakwenda kuhiji Iraq kwenye mji wa Karbala !
π π π π Labda ndio wao na wengi wao ni Raia wa Tanzania πΉπΏ wa Kuzaliwa kuna ubaya gani wakipeperusha bendera ya Nchi yao ??!! π
Hata Makaburu walishaachaga Ubaguzi πππ
Inawezekana ! πNa huenda hata Professor wa Bandari Issa Shivji yumoπ
lakini wadada wa kiswahili bado wapenda waarabu huku mtaani.DPW imefanya waarabu waogopwe na watanganyika kama chawa na kunguni ndani ya nyumba.
Mkataba ule wa bandari uvunjwe, hatuutaki kabisa, hao waarabu hata kama wanashangilia mambo yao, hapa mkataba wa DPW hatuutaki hili muelewe.
Na ni lazima leo tuwafunge huko huko kwao πππΉπΏTuna mechi na Algeria!
Algeria iko Africa sio uarabuni.Na ni lazima leo tuwafunge huko huko kwao πππΉπΏ
Labda ni wa kutoka pale Kisutu π π πRekebisha heading hao Sio waarabu ni wahindi
Hao wameeanda Karbala nchini Iraq.Ni hadi tutapojua wanachoimba, sababu ya kuimba, mahali walipo na ni watu wa asili ipi...
Kimuonekano jamii ya middle east inafanana, na wapo watu walio waarabu na wasio waarabu...
Ha ha ha ha ha ha ha we jamaa sio kabisa, dah niecheka sana nipo kibaruani mpaka jamaa wamenijalia kushuhudia ninachocheka, umetisha sana Mangi.Labda mama tayari amepost kwenye group lao la WhatsApp kuwa "mambo yameiva tayari"
Yeah !Ndipo ulipo msikiti wao
Jamii Forums imeanzisha kitengo cha Fact checking unalijua hilo?Njoo na ukweli kama unao
Umewaumbua kweli hapa, haters wa mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, Mungu anazidi kuwapiga laana tu; wanapoteana tu.Wapo wapi?
What's the context?
Kwahiyo hao ndo DPW?
Hakuna watz wenye asili ya arabuni?
Nyie mnaweka bendera za Israel na USA hadi chumbani kwenu nani anawauliza?
Kwa hiyo wewe ukikutana na Mwarabu yeyote unamuona ni DP WORLD na ndiyo amepewa bandari?DPW imefanya waarabu waogopwe na watanganyika kama chawa na kunguni ndani ya nyumba.
Mkataba ule wa bandari uvunjwe, hatuutaki kabisa, hao waarabu hata kama wanashangilia mambo yao, hapa mkataba wa DPW hatuutaki hili muelewe.