Waarabu kuweni wabunifu, siyo lazima timu iitwe Al Hilal, Al Ahly au Al Nasr

Waarabu kuweni wabunifu, siyo lazima timu iitwe Al Hilal, Al Ahly au Al Nasr

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kama Waarabu wanaweza pata huu ujumbe basi uwafikie, si kwa ubaya lakini.

Sijui nani aliwaambia timu ya mpira lazima iitwe kati ya Al Hilal, Al Ahly au Al Nasr. Mmeamua kabisa kutuchanganya wapenzi wa soka. Kuona hivyo sasa mnaongeza tu jina la mji ili kujitofautisha.

Kwa nini msituige sisi, kuna timu zina majina ya ajabu yasiyo ya kimpira kama Ihefu, Yanga, Namungo, nk. ila tunayazoea maisha yanaendelea.
 
Kama Waarabu wanaweza pata huu ujumbe basi uwafikie, si kwa ubaya lakini.

Sijui nani aliwaambia timu ya mpira lazima iitwe kati ya Al Hilal, Al Ahly au Al Nasr. Mmeamua kabisa kutuchanganya wapenzi wa soka. Kuona hivyo sasa mnaongeza tu jina la mji ili kujitofautisha.

Kwa nini msituige sisi, kuna timu zina majina ya ajabu yasiyo ya kimpira kama Ihefu, Yanga, Namungo, nk. ila tunayazoea maisha yanaendelea.
Wameishiwa majina
 
Kama Waarabu wanaweza pata huu ujumbe basi uwafikie, si kwa ubaya lakini.

Sijui nani aliwaambia timu ya mpira lazima iitwe kati ya Al Hilal, Al Ahly au Al Nasr. Mmeamua kabisa kutuchanganya wapenzi wa soka. Kuona hivyo sasa mnaongeza tu jina la mji ili kujitofautisha.

Kwa nini msituige sisi, kuna timu zina majina ya ajabu yasiyo ya kimpira kama Ihefu, Yanga, Namungo, nk. ila tunayazoea maisha yanaendelea.
Yaani we kolo, na Yanga umeiweka kwenye majina ya ajabu..!! Halafu eti umeliacha nguruwe FC
 
Kama Waarabu wanaweza pata huu ujumbe basi uwafikie, si kwa ubaya lakini.

Sijui nani aliwaambia timu ya mpira lazima iitwe kati ya Al Hilal, Al Ahly au Al Nasr. Mmeamua kabisa kutuchanganya wapenzi wa soka. Kuona hivyo sasa mnaongeza tu jina la mji ili kujitofautisha.

Kwa nini msituige sisi, kuna timu zina majina ya ajabu yasiyo ya kimpira kama Ihefu, Yanga, Namungo, nk. ila tunayazoea maisha yanaendelea.
yanga... dah. Aliyewatungia hili jina ni katili mno.
 
Kama Waarabu wanaweza pata huu ujumbe basi uwafikie, si kwa ubaya lakini.

Sijui nani aliwaambia timu ya mpira lazima iitwe kati ya Al Hilal, Al Ahly au Al Nasr. Mmeamua kabisa kutuchanganya wapenzi wa soka. Kuona hivyo sasa mnaongeza tu jina la mji ili kujitofautisha.

Kwa nini msituige sisi, kuna timu zina majina ya ajabu yasiyo ya kimpira kama Ihefu, Yanga, Namungo, nk. ila tunayazoea maisha yanaendelea.
NIMEGUGOOO..!! IPO HAPA What is the meaning of AL in Arabic names?

In Arabic names, "AL" is often used as a definite article, similar to "the" in English. It serves to indicate that the name is a specific person or thing, rather than a general reference.

The use of "AL" in Arabic names can have several common meanings:

Denoting a family, tribe, or group: For example, "Al-Saud" refers to the Saudi royal family.
Indicating a place of origin or residence: "Al-Baghdadi" would indicate someone from the city of Baghdad.
Highlighting a personal attribute or characteristic: "Al-Kabir" would mean "the Great" or "the Mighty."
Distinguishing a particular individual: "Al-Ghazali" would refer to a specific person with that name, rather than a general reference.
The placement of "AL" in an Arabic name can provide information about the person's background, lineage, or identifying features. Understanding this usage of "AL" can help contextualize the meaning and significance of Arabic names.
 
NIMEGUGOOO..!! IPO HAPA What is the meaning of AL in Arabic names?

In Arabic names, "AL" is often used as a definite article, similar to "the" in English. It serves to indicate that the name is a specific person or thing, rather than a general reference.

The use of "AL" in Arabic names can have several common meanings:

Denoting a family, tribe, or group: For example, "Al-Saud" refers to the Saudi royal family.
Indicating a place of origin or residence: "Al-Baghdadi" would indicate someone from the city of Baghdad.
Highlighting a personal attribute or characteristic: "Al-Kabir" would mean "the Great" or "the Mighty."
Distinguishing a particular individual: "Al-Ghazali" would refer to a specific person with that name, rather than a general reference.
The placement of "AL" in an Arabic name can provide information about the person's background, lineage, or identifying features. Understanding this usage of "AL" can help contextualize the meaning and significance of Arabic names.

Al means THE. UKijua maana the hutapata shida.
Issue kubwa siyo Al ingawa kila timu kutumia na yenyewe inaangukia kwenye ukosefu wa ubunifu. Issue ni hayo majina yenyewe
 
Back
Top Bottom