SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
- Thread starter
- #61
Yaani huwa mnajinadi kuwa klabu ilianzishwa ili kupigania uhuru wa mwafrika halafu hapo hapo mnatuambia jina lenu la kwanza lilikuwa la kiinglishiSafi sana kumbe watu wenye akili bado wapo humu jf, safi umemuelezea vizuri sana ila kwa kuwa ni kolo hawezi kuelewa