physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 859
- 1,036
Al kwa kiarabu ni sawa ni English neno THE.The National stadium;THE National Bank Of Buza nk.Waanze kujiita Al-kasusu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Al kwa kiarabu ni sawa ni English neno THE.The National stadium;THE National Bank Of Buza nk.Waanze kujiita Al-kasusu!
Kama Waarabu wanaweza pata huu ujumbe basi uwafikie, si kwa ubaya lakini.
Sijui nani aliwaambia timu ya mpira lazima iitwe kati ya Al Hilal, Al Ahly au Al Nasr. Mmeamua kabisa kutuchanganya wapenzi wa soka. Kuona hivyo sasa mnaongeza tu jina la mji ili kujitofautisha.
Kwa nini msituige sisi, kuna timu zina majina ya ajabu yasiyo ya kimpira kama Ihefu, Yanga, Namungo, nk. ila tunayazoea maisha
Neno Al(the) sio Ally(ni jina),Al ni sawa na English THE,maana yake ni utambulisho wa kitu maarufu,ili kijulikane kinachotajwa ni timu ya mpira,ni Bank,ni uwaja wa mpira,ni kampuni nk.The National Bank of ......,The National stadium,nk.Kama Waarabu wanaweza pata huu ujumbe basi uwafikie, si kwa ubaya lakini.
Sijui nani aliwaambia timu ya mpira lazima iitwe kati ya Al Hilal, Al Ahly au Al Nasr. Mmeamua kabisa kutuchanganya wapenzi wa soka. Kuona hivyo sasa mnaongeza tu jina la mji ili kujitofautisha.
Kwa nini msituige sisi, kuna timu zina majina ya ajabu yasiyo ya kimpira kama Ihefu, Yanga, Namungo, nk. ila tunayazoea maisha yanaendelea.
Al ni 'the' kwenye kiarabu,tofauti na jina aliy ambalo kwa kiarabu hutamkwa tofauti na inavyoandikwa likiwa romanizedKumbe majina ya Ally yalitokea kwenye timu
Neno asili/ sahihi ni Young Africans, hilo la Yanga limetokana na wazee wetu wa zamani kushindwa kutamka hilo Young Africans badale yake wakatamka Yanga. Kuna maneno mengi tu ya kigeni yaliyo haribiwa kimatamshi na wazee wetu wa zamani kwa kushindwa kutamka. Kwa mfano kuna sehemu moja mkoa wa Morogoro, wilaya ya Kilombero kunaitwa Ziginali wengine wanatamka Siginali. Hilo ni neno asili yake ni neno la kingereza ambalo ni signal.Halafu akawadanganya kirefu chake ni Young African.
Al tumetoka kiume fc.Al shabaab
Al humudi
Al makolo
Al qanah
Al kushiriki confederesheni kapu
Usiwazalilishe wazee wenu katafute maana ya yanga maana kuna mtu aliwapiga na kitu kizito.Neno asili/ sahihi ni Young Africans, hilo la Yanga limetokana na wazee wetu wa zamani kushindwa kutamka hilo Young Africans badale yake wakatamka Yanga. Kuna maneno mengi tu ya kigeni yaliyo haribiwa kimatamshi na wazee wetu wa zamani kwa kushindwa kutamka. Kwa mfano kuna sehemu moja mkoa wa Morogoro, wilaya ya Kilombero kunaitwa Ziginali. Hilo ni neno asili yake ni neno la kingereza ambalo ni signal.
al kasusu FC club.Kama Waarabu wanaweza pata huu ujumbe basi uwafikie, si kwa ubaya lakini.
Sijui nani aliwaambia timu ya mpira lazima iitwe kati ya Al Hilal, Al Ahly au Al Nasr. Mmeamua kabisa kutuchanganya wapenzi wa soka. Kuona hivyo sasa mnaongeza tu jina la mji ili kujitofautisha.
Kwa nini msituige sisi, kuna timu zina majina ya ajabu yasiyo ya kimpira kama Ihefu, Yanga, Namungo, nk. ila tunayazoea maisha yanaendelea.
Nimekupa na mfano wa signal = Ziginali/ Siginali FuatiliaUsiwazalilishe wazee wenu katafute maana ya yanga maana kuna mtu aliwapiga na kitu kizito.
we unajua maana ya hayo majina au unajiropokea tu?Kama Waarabu wanaweza pata huu ujumbe basi uwafikie, si kwa ubaya lakini.
Sijui nani aliwaambia timu ya mpira lazima iitwe kati ya Al Hilal, Al Ahly au Al Nasr. Mmeamua kabisa kutuchanganya wapenzi wa soka. Kuona hivyo sasa mnaongeza tu jina la mji ili kujitofautisha.
Kwa nini msituige sisi, kuna timu zina majina ya ajabu yasiyo ya kimpira kama Ihefu, Yanga, Namungo, nk. ila tunayazoea maisha yanaendelea.
Waarabu si unajuwa wana asili ya uvivu.Kama Waarabu wanaweza pata huu ujumbe basi uwafikie, si kwa ubaya lakini.
Sijui nani aliwaambia timu ya mpira lazima iitwe kati ya Al Hilal, Al Ahly au Al Nasr. Mmeamua kabisa kutuchanganya wapenzi wa soka. Kuona hivyo sasa mnaongeza tu jina la mji ili kujitofautisha.
Kwa nini msituige sisi, kuna timu zina majina ya ajabu yasiyo ya kimpira kama Ihefu, Yanga, Namungo, nk. ila tunayazoea maisha yanaendelea.
Al AqsaWao Kila kitu ni vita, kama Al qaida, Al Hamas, Al shaabab
Kwahiyo wewe unataka timu zao wasiziite Kwa lugha ya Kiarabu?Kama Waarabu wanaweza pata huu ujumbe basi uwafikie, si kwa ubaya lakini.
Sijui nani aliwaambia timu ya mpira lazima iitwe kati ya Al Hilal, Al Ahly au Al Nasr. Mmeamua kabisa kutuchanganya wapenzi wa soka. Kuona hivyo sasa mnaongeza tu jina la mji ili kujitofautisha.
Kwa nini msituige sisi, kuna timu zina majina ya ajabu yasiyo ya kimpira kama Ihefu, Yanga, Namungo, nk. ila tunayazoea maisha yanaendelea.
Safi sana kumbe watu wenye akili bado wapo humu jf, safi umemuelezea vizuri sana ila kwa kuwa ni kolo hawezi kuelewaNeno asili/ sahihi ni Young Africans, hilo la Yanga limetokana na wazee wetu wa zamani kushindwa kutamka hilo Young Africans badale yake wakatamka Yanga. Kuna maneno mengi tu ya kigeni yaliyo haribiwa kimatamshi na wazee wetu wa zamani kwa kushindwa kutamka. Kwa mfano kuna sehemu moja mkoa wa Morogoro, wilaya ya Kilombero kunaitwa Ziginali. Hilo ni neno asili yake ni neno la kingereza ambalo ni signal.
Serbia majina yao yanaishia na VicKwani maana yake nini masheee wangu