Waarabu na wahindi wenye uraia wa Tanzania hawafungi ndoa na ngozi nyeusi japo dini wanasali pamoja

Wanawabaka
 
Ficha ujinga, nani kakwambia uarabu ni uislamu, uislmau ni wa wote uarabu ni wawaarabu sisi tuu
 
Ficha ujinga, nani kakwambia uarabu ni uislamu, uislmau ni wa wote uarabu ni wawaarabu sisi tuu
Wapi nimesema uarabu ndio uislamu? wakati mimi nimeonyesha kwamba rangi , taifa na kabila havina nafasi kwa Allah ikiwa mtu matendo yake mabovu

Muda wa kuniquote ni bora ungetumia kujifunza kuandika vizuri kwani post yako ina makosa kibao ya kilugha kama mtoto wa chekechea .
 
Ficha ujinga, nani kakwambia uarabu ni uislamu, uislmau ni wa wote uarabu ni wawaarabu sisi tuu
Jifunze kuandika vizuri unaidhalilisha Jf na elimu ya Tanzania.
 
They are entitled to their cultural ethnicity in which religion (Islam) is part of, they are historically recognize Blacks as subjects and once enslaved race, married to their former and probably current cultural surbodinates discredit their very superiority.

So cultural and ethnicity boundaries matter to them
 
Mnajaribu kuutenga Uislamu na Uarabu, wenzenu kule Uislamu si tu imani, bali ni mtindo wa maisha, ndio mana wana dola za Kiislamu, yaani taratibu za dini ya Kiislamu zinaamua mtindo wa kufanya siasa kwenye nchi.
 
Ni lazima nioe kwetu tu kama nikienda mbali basi ni waafrica walio nje ya africa ili kuishi na mtu ambaye mnaendana kila kitu na kuondoa mivutano isiyo na lazima.
Considering wanawake weupe kutoka races nyingine sio preferable kabisa kwangu, ile white kama karatasi inaondoa kabsisa mvuto wao wote. ni wa kawaida sana kama ukiwaangalia kwa ukaribu sio kama unavyowaona kwenye movies na series wakiwa wameoga makeup na mabandia mengine. na pia nyama ni ileile tu hakuna tofauti yoyote.
Japo sio vibaya kutest lakini sio kuoa, seriously unaanzaje kuacha shape kali za kibantu?

Kila mtu aoe kwao mkuu sioni tatizo hapo.
 
Na ijumaa hawasali kwenye misikiti ambayo ibada zinaongozwa na mashehe wenye ngozi nyeusi.

Wanaenda kwenye misikiti yenye viongozi ambao ni rangi zao.
Watu wanashindwa kuelewa kua dini ni sehemu ya kukutania watu wa jamii moja, kushiriki ibada na kusaidiana kama jamii. Sio kama watu weusi tunavyoichukulia. Watu weusi wengi wanaichukulia kama sehemu ya kuabudu watu wote, ila race nyingine nikiongelea waarabu, wazungu, wahindi, wachina, wakienda kusali unawakuta ni wao tu. Hii inasaidia kukutana na kujadili maswla yao ya kijamii. Kwa hiyo wewe nigga kuingia kwa dhehebu ambalo majority ni jamii tofauti na yako ni kujipendekeza.
Tujifunze hata kurudi kwenye dini zetu za mitambiko. Zilikua zinatuunganisha kama jamii

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Watu wanashindwa kuelewa kua dini ni sehemu ya kukutania watu wa jamii moja, kushiriki ibada na kusaidiana kama jamii. Sio kama watu weusi tunavyoichukulia. Watu weusi wengi wanaichukulia kama sehemu ya kuabudu watu wote, ila race nyingine nikiongelea waarabu, wazungu, wahindi, wachina, wakienda kusali unawakuta ni wao tu. Hii inasaidia kukutana na kujadili maswla yao ya kijamii. Kwa hiyo wewe nigga kuingia kwa dhehebu ambalo majority ni jamii tofauti na yako ni kujipendekeza.
Tujifunze hata kurudi kwenye dini zetu za mitambiko. Zilikua zinatuunganisha kama jamii


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Si mnasema weusi ndio waliumbwa kwanza na mitume wengi waafrika?
Pambaneni tu na akili zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…