Waarabu na wahindi wenye uraia wa Tanzania hawafungi ndoa na ngozi nyeusi japo dini wanasali pamoja

Waarabu na wahindi wenye uraia wa Tanzania hawafungi ndoa na ngozi nyeusi japo dini wanasali pamoja

Inasikitisha sana
Tunapata wasi wasi kuchangia nyuzi kama hizi kwa kuwa tunaweza kuonekana hatuwapendi weusi Wenzetu....lakini nadhani Kuna tatizo kwenye jamii ya watu weusi.........

Kuna sehemu moja kule upanga kuna muarabu aliweka water dispenser nje ili watu wapita njia wakate kutokana na jua Kali..... lakini Cha ajabu watu wakawa wanaondoka na koki za mabomba na kuiba vikombe.......

Pahali ninapofanyia kazi kuna muingiliano wa watu weusi na weupe.....kulifanyika marekebisho ya vyoo vyote ili kuviboresha.....Ile wiki ya kwanza ya vyoo kufunguliwa baada ya maboresho ule upande unaotumika na watu weusi waliondoka na koki zote mpya na pipes......maji yakawa yanamwagika tu......

Hayo ni machache tu akini tunatakiwa tujitafakari watu weusi.....
 
Huyo ni @FaizaFoxy
Yani hii waga inashangaza sana..unakuta mtu akisikia waarabu au wazungu wametajwa kwa ubaya, kabla hata hajasoma kuelewa kama kilichotajwa ni kweli au la,,yeye kwasababu za mahaba ya kidini anakimbilia kutafuta jibu litakolopondea upande wa pili.....Ndomaana utakuta mada inasema ''Alshabaab Nigeria waua watu100'' halafu komenti ya kwanza inasema ''Mbona hata wakristo wanaruhusu ndoa za ushoga makanisani''
 
Waarabu na wahindi niwabaguzi ilibidi watengewe sayari yao kabisa hapa sasa ni swala la kufunga na kuomba ili mungu asikie kilio chetu maana ngozi nyeusi wherever we go is regalded as monkey.
huu uzi pia ni ubaguzi wa rangi unapata wapo nguvu kusemea ubaguzi
 
Ninajiulizaga sana hili swali. Mbona tuna wahindi wengi sana waislam na wakristo. Na tuna waarabu wengi sana waislamu wenye uraia wa Tanzania. Ila why hawaoi dada zetu ngozi nyeusi?

Inawezekana wanatujua ngozi nyeusi tuna mambo ya ajabu. Mfano msiba wa dada wa Mwanza aliyepigwa risasi ndugu wa mke na mume wameshaanza migogoro msibani tu.

Misiba ya wahindi na waarabu wa Tanzania ni ngumu kusikia migogoro ya kugombea mali. Kukwepa hili ndio maana hawaoi dada zetu weusi na wala hawaturuhusu weusi kuoa dada zao labda uwe unatoka royal family za Tanzania ndio wanakupa mke.

Hii video ya mama wa marehemu imenishangaza sana
Kama mnabaguana wenyewe kwa wenyewe, hao waarabu na wahindi achana nao
 
Acha uongo , mimi nimeswali Ijumaa miskiti ambayo maimamu na viongozi watu weusi mfano Masjid Tambaza na Masjid Ma'amur ya upanga na kuna waarabu na watu weupe kibao na hata uswahilini huku Yombo tunaswali na waarabu kutoka mataifa mbalimbali.
Huku kwetu Pemba tuna kamsemo aheri shehe mlevi kuliko shehe mweusi
 
Tutahangaika weeee, lakini ukweli ni kuwa watu weupe wanaamini weusi ni laana hivyo hawawezi kujinasaba nayo kwa maendeleo ya vizazi vyao huko mbele. Bara lote la Asia limesheni imani hii, angalau kidogo ulaya kuna nafuu. Mifano iko mingi tu, uarabuni wanafukuzwa na kuteswa, Israel hivyo hivyo na maeneo mengine......wanatuchora tu tunavyojipendekeza kwao!
Sio wanaamini, huo ndo ukweli, ngozi nyeusi ina laana fulani
 
Na ijumaa hawasali kwenye misikiti ambayo ibada zinaongozwa na mashehe wenye ngozi nyeusi.

Wanaenda kwenye misikiti yenye viongozi ambao ni rangi zao.
Acha uongo na upotoshaji,, waarabu kibao wanaswali uswahilin miskiti inaongozwa na ngozi nyeus.. labda waislanu hatuna ubaguz wa namna hii hata kama ni mweupe
 
Kuna anko wangu mmoja ali fall in love na binti wa kiarabu wakati wako chuo..jamaa alibadili dini akawmuoslamu..ila vikwazo alivyopitia asee daah hakuwa na hamu hadi kuna kipindi walipigana na mashemeji zake wa kiarabu hadi anko kuvunjwa mguu katika mapigano wakitaka wamchukue dada yao.

Uzuri jamaa alikuwa ni mtata sana na yeye aliwadunda sana..sema mwanamke alimuelewa sana jamaa..hivyo walizaa naye watoto watu..ila ile misuko suko haikuisha yani walikua kama paka na panya liicha ya jamaa kubadili na kufuata dini yao.hawakutaka kukanyaga kwa ile familia yani walimtenga dadayao.

Mwisho wasiku waliacha na yule mwanamke jamaa akachana na dini ya mnyazi mungu..maisha yakaendelea.

Ngozi nyeupe hasa waarabu na wahindi wanaonaga ngozi nyeusi ni kama mashetani mbwa takataka flani hivi hata uwe wa dini yao kamwe hawawezi kuthamini hata uvae baraghashia na kobazi au kujifunza lugha zao ili uendane nao utabaki kuwa takataka kwao.

#MaendeleoHayanaChama
Waarabu na Wahindi hawachuliwi kuwa watu weupe ila ni coloured people.
 
Tunapata wasi wasi kuchangia nyuzi kama hizi kwa kuwa tunaweza kuonekana hatuwapendi weusi Wenzetu....lakini nadhani Kuna tatizo kwenye jamii ya watu weusi.........

Kuna sehemu moja kule upanga kuna muarabu aliweka water dispenser nje ili watu wapita njia wakate kutokana na jua Kali..... lakini Cha ajabu watu wakawa wanaondoka na koki za mabomba na kuiba vikombe.......

Pahali ninapofanyia kazi kuna muingiliano wa watu weusi na weupe.....kulifanyika marekebisho ya vyoo vyote ili kuviboresha.....Ile wiki ya kwanza ya vyoo kufunguliwa baada ya maboresho ule upande unaotumika na watu weusi waliondoka na koki zote mpya na pipes......maji yakawa yanamwagika tu......

Hayo ni machache tu akini tunatakiwa tujitafakari watu weusi.....
Hawa watakuwa ni wale wa chama cha mafisi.
 
Acha uongo na upotoshaji,, waarabu kibao wanaswali uswahilin miskiti inaongozwa na ngozi nyeus.. labda waislanu hatuna ubaguz wa namna hii hata kama ni mweupe
Waarabu koko hao.
 
Tunapata wasi wasi kuchangia nyuzi kama hizi kwa kuwa tunaweza kuonekana hatuwapendi weusi Wenzetu....lakini nadhani Kuna tatizo kwenye jamii ya watu weusi.........

Kuna sehemu moja kule upanga kuna muarabu aliweka water dispenser nje ili watu wapita njia wakate kutokana na jua Kali..... lakini Cha ajabu watu wakawa wanaondoka na koki za mabomba na kuiba vikombe.......

Pahali ninapofanyia kazi kuna muingiliano wa watu weusi na weupe.....kulifanyika marekebisho ya vyoo vyote ili kuviboresha.....Ile wiki ya kwanza ya vyoo kufunguliwa baada ya maboresho ule upande unaotumika na watu weusi waliondoka na koki zote mpya na pipes......maji yakawa yanamwagika tu......

Hayo ni machache tu akini tunatakiwa tujitafakari watu weusi.....
Asee inasikitisha sana,, alafu hapo mtu anataka kuprove mtu mweusi sio nyani wakati matendo yake ni unyani nyani tupu shenziii kabisa manyani kabisa hao weusi.

Nilishangaa siku moja kuingia Kwenye vyoo ofisi ya Mkuu wa mkoa X alafu nikakuta vyoo vichafu Sana nikasema kwahiyo mkuu wa mkoa ndio anafanya haya,, ule nao ni unyani kabisaa.
 
Wahindi wa dini ya Kihindu na Sikh kutokuchanganya race kunachagizwa na dini zao, Wahindi Goa ambao walitawaliwa na Wareno na % kubwa ni Wakristo Wakatoliki hawa kujichanganya ni kawaida na wapo kimagharibi sana hata majina yao wengi wanatumia ya Kireno Fernandes, Desouza nk.
 
Kwahiyo watu weusi tuanze kupigania haki dada zetu waolewe na wahindi na waarabu au tuachane nalo kwanza
 
Ninajiulizaga sana hili swali. Mbona tuna wahindi wengi sana waislam na wakristo. Na tuna waarabu wengi sana waislamu wenye uraia wa Tanzania. Ila why hawaoi dada zetu ngozi nyeusi?

Inawezekana wanatujua ngozi nyeusi tuna mambo ya ajabu. Mfano msiba wa dada wa Mwanza aliyepigwa risasi ndugu wa mke na mume wameshaanza migogoro msibani tu.

Misiba ya wahindi na waarabu wa Tanzania ni ngumu kusikia migogoro ya kugombea mali. Kukwepa hili ndio maana hawaoi dada zetu weusi na wala hawaturuhusu weusi kuoa dada zao labda uwe unatoka royal family za Tanzania ndio wanakupa mke.

Hii video ya mama wa marehemu imenishangaza sana
Nenda Kagera,ndoa za wahindi,waarab na waswahili zipo nyingi sana,
 
Back
Top Bottom