Waarabu wa Morocco wambagua kocha Rolani Mokwena Kwa kumwita Kaffir

Waarabu wa Morocco wambagua kocha Rolani Mokwena Kwa kumwita Kaffir

Kwahiyo alivyo itwa kafiri, kaasirika kiasi gani?
Kwani neno kafiri lina maana gani, ifikie watu muache mambo yenu mujadili Mokwena kuitwa Kafiri?
Alie leta post hii ajue anachochea udini alafu JF haipo kwa lengo hilo.
 
Warabu wametia aibu soka la Africa Kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga

Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa kusin

Unaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa bech la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika Kwa suluhu

Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamzi ya adhabu Kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir

Hiyo sio maana ya kafiri umepotosha.. sio " mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga" neno kafiri halina maana hiyo
 
Huna hoja zozote you're brainwashed jinga wewe
Nfahamu unashindwa kujibu hoja zangu, unaanza kunivaa mimi.

Huo ndiyo ufinyu wa muono, au wewe ni katika kondoo wa wachunhgaji? Hujaenda malishoni leo?
 
Kwanza wacha porojo, hakuna lughha inayoitwa kibantu.

Wewe lugha mama kwako ni ipi?
Wapi umeona nimesema kuna lugha inaitwa ni ya Kibantu? Acha kunilisha maneno, na usijitoe ufahamu kwa makusudi.

Nimetaja MIUNDO YA KIBANTU, MSAMIATI WA KIBANTU, MATAMSHI YA KIBANTU, yaani hayo yametokana na Lugha za Kibantu, mfano: Kimakonde, Kiluguru, Kizigua, Kizaramo, Kigogo, Kisikuma, Kindali,nk...

Usichoelewa nini hapo?
 
Kwahiyo alivyo itwa kafiri, kaasirika kiasi gani?
Kwani neno kafiri lina maana gani, ifikie watu muache mambo yenu mujadili Mokwena kuitwa Kafiri?
Alie leta post hii ajue anachochea udini alafu JF haipo kwa lengo hilo.
Wewe ukiitwa KAFFIR mbele ya watu zaidi ya 60,000 hutoathirika
 
Warabu wametia aibu soka la Africa kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga

Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa Kusini

Ubaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa benchi la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika kwa suluhu

Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR,
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamuzi ya adhabu kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
Ukafiri co uafrika tu hata waarabu wapo makafir pia
 
Hiyo sio maana ya kafiri umepotosha.. sio " mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga" neno kafiri halina maana hiyo
Lina maana gani?
Kuna mjusi na mjusi KAFFIR
 
Hakuna watu wanazingua kama wamorocco.
Mimi huwa nawachukia sana aisee hawa wamorocco.
Wamorocco ni Wabaguzi sana wamekorofishana na Waarabu wenzao Algeria na hawaendi sawa kwa miaka mingi tu na ndio wanawasapoti Israel huku Algeria akiwapinga kwa hilo ukiona mswahili anawaona wale ni waislamu wenzie jua kuwa hawajui kabisaa..
 
Nfahamu unashindwa kujibu hoja zangu, unaanza kunivaa mimi.

Huo ndiyo ufinyu wa muono, au wewe ni katika kondoo wa wachunhgaji? Hujaenda malishoni leo?
Mimi ni atheist. Huko madrasa ulifundishwa nini? Babako alifanya kosa kutotumia kondom akatuletea janamke jinga kiasi hiki.
 
Wewe hutaki kujua maana ya kafiri, lakini hapo hapo unahoji, "Kafiri na mpira wapi na wapi?"
Basi we ni mpuuzi, mwanafunzi kama wewe ni kukupiga viboko kila siku mpaka mzazi wako akuamishe shule.
Wajinga kama wewe hua nawa ignore
 
Back
Top Bottom