Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kafiri ni nini?Sasa mambo ya kafiri yamefikaje uwanjani
Unazuiaje maneno kutoka kwenye mdomo wa mtu?Sasa mambo ya kafiri yamefikaje uwanjani
Warabu wametia aibu soka la Africa Kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga
Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa kusin
Unaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa bech la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika Kwa suluhu
Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamzi ya adhabu Kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
Nfahamu unashindwa kujibu hoja zangu, unaanza kunivaa mimi.Huna hoja zozote you're brainwashed jinga wewe
Wapi umeona nimesema kuna lugha inaitwa ni ya Kibantu? Acha kunilisha maneno, na usijitoe ufahamu kwa makusudi.Kwanza wacha porojo, hakuna lughha inayoitwa kibantu.
Wewe lugha mama kwako ni ipi?
Wewe ukiitwa KAFFIR mbele ya watu zaidi ya 60,000 hutoathirikaKwahiyo alivyo itwa kafiri, kaasirika kiasi gani?
Kwani neno kafiri lina maana gani, ifikie watu muache mambo yenu mujadili Mokwena kuitwa Kafiri?
Alie leta post hii ajue anachochea udini alafu JF haipo kwa lengo hilo.
Swali zuri.Sasa mambo ya kafiri yamefikaje uwanjani
Ukafiri co uafrika tu hata waarabu wapo makafir piaWarabu wametia aibu soka la Africa kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga
Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa Kusini
Ubaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa benchi la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika kwa suluhu
Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR,
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamuzi ya adhabu kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
Kama mtu mwenye akili timamu alipaswa ajizuie mwenyeweUnazuiaje maneno kutoka kwenye mdomo wa mtu?
Wamorocco ni Wabaguzi sana wamekorofishana na Waarabu wenzao Algeria na hawaendi sawa kwa miaka mingi tu na ndio wanawasapoti Israel huku Algeria akiwapinga kwa hilo ukiona mswahili anawaona wale ni waislamu wenzie jua kuwa hawajui kabisaa..Hakuna watu wanazingua kama wamorocco.
Mimi huwa nawachukia sana aisee hawa wamorocco.
Kwl ww hamnazoWaarabu fikra zao na akili zao wengi wao bado zimebakia zama za mawe......ni ngumu kumkuta mwarabu aliyestaarabika.......
Mimi sitaki kujua ila kafiri na mpira wapi na wapiKwani kafiri ni nini?
Kibantu ni muunganiko wa Lugha za Niger-Kongo na kwenye muunganiko huo kuna Nchi nyingi za ukanda huo na Tanzania ikiwepo.Kwanza wacha porojo, hakuna lughha inayoitwa kibantu.
Wewe lugha mama kwako ni ipi?
Mimi ni atheist. Huko madrasa ulifundishwa nini? Babako alifanya kosa kutotumia kondom akatuletea janamke jinga kiasi hiki.Nfahamu unashindwa kujibu hoja zangu, unaanza kunivaa mimi.
Huo ndiyo ufinyu wa muono, au wewe ni katika kondoo wa wachunhgaji? Hujaenda malishoni leo?
Kama waspain.wanavyokuona maviWalisema tena sio mara moja itakua hujui lugha acha kujipendekeza Kwa waarabu kwao mtu mweusi wanakuona kama Mavi tu acha shobo
Wewe hutaki kujua maana ya kafiri, lakini hapo hapo unahoji, "Kafiri na mpira wapi na wapi?"Mimi sitaki kujua ila kafiri na mpira wapi na wapi
Wajinga kama wewe hua nawa ignoreWewe hutaki kujua maana ya kafiri, lakini hapo hapo unahoji, "Kafiri na mpira wapi na wapi?"
Basi we ni mpuuzi, mwanafunzi kama wewe ni kukupiga viboko kila siku mpaka mzazi wako akuamishe shule.