Waarabu wa Morocco wambagua kocha Rolani Mokwena Kwa kumwita Kaffir

Waarabu wa Morocco wambagua kocha Rolani Mokwena Kwa kumwita Kaffir

Ni hivyo tu, UKINIITA KAFIRI KWA KUTOKUWA MUISLAMU, NITAKUITA KAFIRI PIA KWA KUWA KWAKO MUISLAMU.
Kama unakufuru ni kafiri tu, si laima uambiwe, ipo ndani yako hiyo.

Ile mtu kukwambia ni kuku "provoke", hata kama ni kafiri kweli haileti picha nzuri mtu kukuchokoza.
 
Kwao kaffir maana yake ni nini?
Inawezekana wapo sahihi tu kwa tamaduni za kiarabu
 
Kiswahili ni lugha ya viasilia ambayo ni kibantu kwa zaidi ya 90 asilimia. Miarabu na ile mi afrika ya hovyo ya zamani yaliyokuwa yanajipendekeza kwa mkoloni sultani ndio yalikuwa yanachukua maneno wanayoyatumia mabwana zao na kujali kikinajisi lugha yetu ya kibantu. Kwa sababu hiyo ndio maana luha yetu imechakachuliwa. Hata baada ya kuondoka waarabu waliibuka waarabu weusi ambao walijifanya ndio waendelezaji wa lugha wengi wakiwa ni waamini wa dini ya mwarabu. Kila kitu kipya kinapoibuka wanaokwenda kuchukua neno la kiarabu. Lengo lao wanataka wakiue kiswahili ili kiwe kiarabu ona mfano neno walilolileta MUBASHARA badala ya LIVE la kizungu. Nashukuru jamii imelikaushia linaanza kufutika na tumerudi LIVE


Asilimia zako hazipo sawa, hapo nimeyaainisha maneno yanayotokana na Kiarabu kwa uchavhe tu, asilimi ngapi hapo?

Kukikimbia Kiarabu kwenye Kiswahili ni kama kujaribu kukikimbia kivuli chako.
 
Hayo ni mawazo yako na upo huru kwa muono wako finyu.

Mimi nitowe katika hao wote, mimi siyo kafiri.
Kwa sababu humuamini Mungu mmoja aliyeumba Mbingu na Nchi ninayemuamini mimi wewe ni kafiri tu kwangu!!!! Mimi simuamini Allah.
 
Warabu wametia aibu soka la Africa Kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga

Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa kusin

Unaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa bech la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika Kwa suluhu

Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamzi ya adhabu Kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
Hakuna watu wanazingua kama wamorocco.
Mimi huwa nawachukia sana aisee hawa wamorocco.
 
Warabu wametia aibu soka la Africa Kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga

Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa kusin

Unaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa bech la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika Kwa suluhu

Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamzi ya adhabu Kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
Musisahau na nyinyi huwa munawaitaga wavaa kobazi.

Nb. Mbaguzi akibaguliwa huisi ameonewa.
 
Ni nani aliesema hiyo kauli, maana ninaefahamu alitoa kauli iliyotafsiriwa tofauti na sisi waafrika ni Sofiane Boufal aliesema "ushindi wao anautoa kama shukrani kwa wamoroko wote, waarabu wote na waislam popote duniani waliowapa support"

Niomeshe ni wapi alitamka kuwa wao sio waafrika na waafrika wasishobokee ushindi wao.
Ni haki Yako kuitwa nyani siku njema
 
Warabu wametia aibu soka la Africa Kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga

Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa kusin

Unaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa bech la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika Kwa suluhu

Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamzi ya adhabu Kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
Apo kinachotakiwa ashinde match zote awaoneshe u mwamba achukue ubingwa. Basi mbona pitso tulikua atusikii izo misri mkuu.
 
Back
Top Bottom