Waarabu wa Morocco wambagua kocha Rolani Mokwena Kwa kumwita Kaffir

Waarabu wa Morocco wambagua kocha Rolani Mokwena Kwa kumwita Kaffir

Kama unakufuru ni kafiri tu, si laima uambiwe, ipo ndani yako hiyo.

Ile mtu kukwambia ni kuku "provoke", hata kama ni kafiri kweli haileti picha nzuri mtu kukuchokoza.
Yeah, iko hivyo. Ni sawa na vile watu wa dini walivyo malimbukeni na mahayawani, IPO ndani yao sio lazima waambiwe.

Haileti picha nzuri kuwaambia hadharani kama tu amewekea mipaka ya ustaarabu uhayawani wake, hata kama kiuhalisia iko hivyo.
 
Yeah, iko hivyo. Ni sawa na vile watu wa dini walivyo malimbukeni na mahayawani, IPO ndani yao sio lazima waambiwe.

Haileti picha nzuri kuwaambia hadharani kama tu amewekea mipaka ya ustaarabu uhayawani wake, hata kama kiuhalisia iko hivyo.
Mimi sijaona hayo kwa mtu anaifata dini.

Naona hayo watu wakikwaruzana ndiyo huanza kutoleana maneno machafu na makali.

kama ni kagfiri anajulikana, hauna hayja ya kumkubusha ukafiri kwa maneno. Hapo kutakuwa kuna sababu iliyo trigger. Ndiyo inakuja ile " mtenda akitendewa huona kaonewa".
 
Point yangu ni kwamba kama mwili wako tu haukuuheshimu mpaka ukazini kabla ya ndoa itakuwaje uziheshimu hizo sheria za huyo Allah wako?
Hiyo ni "provocation" ambayo kwangu utadunda tu.

Ukiona mtu kazini hata mama'ko nyumbani mwambie kweli kuwa anafanya ukafiri.

Mama'ko kaolewa kwa ndoa?
 
Asilimia zako hazipo sawa, hapo nimeyaainisha maneno yanayotokana na Kiarabu kwa uchavhe tu, asilimi ngapi hapo?

Kukikimbia Kiarabu kwenye Kiswahili ni kama kujaribu kukikimbia kivuli chako.
Miundo ya Kiswahili ni 99%+ ya Kibantu.
Msamiati wa Kiswahili ni 60%+ ya kibantu
Matamshi ya Kiswahili ni 90%+ ya Kibantu

Lugha iliyoathiri zaidi Kiswahili ni Kiarabu kikiwa na 30%+ ya msamiati katika Kiswahili. Hayo yote ni matokeo ya kukaa kwako kwa muda mrefu Tz kama wakoloni.
 
Hiyo ni "provocation" ambayo kwangu utadunda tu.

Ukiona mtu kazini hata mama'ko nyumbani mwabie kweli kuwa anafanya ukafiri.

Mama'ko kaolewa kwa ndoa?
mbona hata unachoandika hakieleweki ? Wewe ni kafiri kwasababu umezini ukapoteza bikra yako sasa iweje leo useme wewe unazifuata sheria tangu unapata ufahamu?
 
Miundo ya Kiswahili ni 99%+ ya Kibantu.
Msamiati wa Kiswahili ni 60%+ ya kibantu
Matamshi ya Kiswahili ni 90%+ ya Kibantu

Lugha iliyoathiri zaidi Kiswahili ni Kiarabu kikiwa na 30%+ ya msamiati katika Kiswahili. Hayo yote ni matokeo ya kukaa kwako kwa muda mrefu Tz kama wakoloni.
Kwanza wacha porojo, hakuna lughha inayoitwa kibantu.

Wewe lugha mama kwako ni ipi?
 
Wasauzi wanawabagua Waafrika wenzao kwa kuwaita Makwerere hapo hapo Oliver Tambo wamewarudisha Watanzania 7 na Malawi Air ndege waliyokuja nayo wakidai kuwa walizidisha siku 90 wanazotoa kuishi hapa ndani ya mwaka mmoja ukitaka kujua huo ubaguzi upo panda hata Bus tokea Nakonde mpaka SA utaona unavyobaguliwa wazi wazi sio kama huo wa michezoni..
 
Mimi sijaona hayo kwa mtu anaifata dini.

Naona hayo watu wakikwaruzana ndiyo huanza kutoleana maneno machafu na makali.

kama ni kagfiri anajulikana, hauna hayja ya kumkubusha ukafiri kwa maneno. Hapo kutakuwa kuna sababu iliyo trigger. Ndiyo inakuja ile " mtenda akitendewa huona kaonewa".
Kutokuona hayo, kwa MTU anayeyaona hayo katika dini ni ushahidi wa hoja yake juu ya Ulimbukeni na Uhayawani.
Na hana haja ya kumwambia MTU hayo, ila tu huyo MTU anapovuka mipaka ya ustaarabu wake.
 
Mbona katika maelezo yako inaonekana ni mtu MMOJA tu ndiye amemuita hivyo?? Lakini heading inasema Waarabu (pamoja na kwamba umeandika "Warabu") ukimaanisha ni wengi.

Kwa upande mwingine mbona humu JF baadhi ya Waislam huwa wanasema neno Kaffir siyo tusi?!!! Wanasema maana yake ni mtu ambaye hamuamini au kumuabudu Allah!!


Kwa kuwa kila mtu anamuabudu Mungu anayemuamini yeye basi kama mimi naamini Mungu Baba muumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana na mtu mwingine haamini ninayoamini mimi na yeye ni Kaffir!!! Kama wengine wanaamini Ng'ombe ndiyo Mungu, mimi ambaye siamini hivyo ni Kaffir kwa mtu huyo.

Kwa hiyo let us take things SIMPLE or EASY!!! AMINI UNACHOAMINI. Kila mtu ni Kaffir kwa mtu anayeamini tofauti na mwingine.
Sasa mambo ya kafiri yamefikaje uwanjani
 
Mimi sijaona hayo kwa mtu anaifata dini.

Naona hayo watu wakikwaruzana ndiyo huanza kutoleana maneno machafu na makali.

kama ni kagfiri anajulikana, hauna hayja ya kumkubusha ukafiri kwa maneno. Hapo kutakuwa kuna sababu iliyo trigger. Ndiyo inakuja ile " mtenda akitendewa huona kaonewa".
Edit post yako kabla wengine hawajafanya then wakuambie " huko shuleni mlienda kusomea ujinga" 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom