Waarabu wa Morocco wambagua kocha Rolani Mokwena Kwa kumwita Kaffir

Waarabu wa Morocco wambagua kocha Rolani Mokwena Kwa kumwita Kaffir

Wapi umeona nimesema kuna lugha inaitwa ni ya Kibantu? Acha kunilisha maneno, na usijitoe ufahamu kwa makusudi.

Nimetaja MIUNDO YA KIBANTU, MSAMIATI WA KIBANTU, MATAMSHI YA KIBANTU, yaani hayo yametokana na Lugha za Kibantu, mfano: Kimakonde, Kiluguru, Kizigua, Kizaramo, Kigogo, Kisikuma, Kindali,nk...

Usichoelewa nini hapo?
Sijaona uliposema, nimesoma ulichoandika, kwani ulikuwa unaongelea lugha au porojo tu baada ya kushindwa kuzihesabu asilimia za Kiarabu kwenye Kiswahili?

Niliwhi kuandika hivi, nadhani siku hizo hata JF ulikuwa bado huijuwi:

 
Wamorocco ni Wabaguzi sana wamekorofishana na Waarabu wenzao Algeria na hawaendi sawa kwa miaka mingi tu na ndio wanawasapoti Israel huku Algeria akiwapinga kwa hilo ukiona mswahili anawaona wale ni waislamu wenzie jua kuwa hawajui kabisaa..
mbona kila jambo munalichukulia kidini tu?
Sasa mgogoro wa Morocco na Algeria, waislam na uislam vinaingiaje hapo?
Vijana udini hauna issue huo, tusitengeneze njia ya kuingilia adui.
 
Warabu wametia aibu soka la Africa kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga

Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa Kusini

Ubaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa benchi la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika kwa suluhu

Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR,
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamuzi ya adhabu kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
Mbona huwa hamkomi kujipendekeza? Tangu lini Morocco walikuwa Waafrika? Wakati wa World Cup mlijipendekeza kuiunga mkono kuwa ni waafrika wenzenu wakawachaneni kwamba wao wanawawakilisha waarabu, siyo Afrika lakini bado hamkomi.
 
mbona kila jambo munalichukulia kidini tu?
Sasa mgogoro wa Morocco na Algeria, waislam na uislam vinaingiaje hapo?
Vijana udini hauna issue huo, tusitengeneze njia ya kuingilia adui.
Mimi sina udini hata chembe wewe umesoma kama gazeti nilichomaanisha ni kwamba unawashabgilia Morocco wakati wao kwa wao tu hawapatani na ni ndugu moja nenda kwa watu dini ndio uwaambie hizi mambo mimi huko nilishatoka..
 
Wajinga kama wewe hua nawa ignore
Unaendelea kuonyesha kua wewe ni pang'ang'a.
Sasa unadhani ukini ignore nitapungukiwa nini?
Sikujui hunijui huna faida yeyote kwangu na Taifa kwa ujumla.

Kiufupi maana ya KAFIRI huijui wala nini, sema ni shobo tuna Udini vinakusumbua.

Haya kwaheri ya kuonana.
 
Mimi sina udini hata chembe wewe umesoma kama gazeti nilichomaanisha ni kwamba unawashabgilia Morocco wakati wao kwa wao tu hawapatani na ni ndugu moja nenda kwa watu dini ndio uwaambie hizi mambo mimi huko nilishatoka..
Sasa ulipo sema unawashangaa waislam kujipendekeza kwa wamorocco ilhal wamorocco wanawaunga mkono waisrail, ulikua na maana gani?

Au ndio nyie tunawaita hamuchelewi kujizima data?
 
Mbona katika maelezo yako inaonekana ni mtu MMOJA tu ndiye amemuita hivyo?? Lakini heading inasema Waarabu (pamoja na kwamba umeandika "Warabu") ukimaanisha ni wengi.

Kwa upande mwingine mbona humu JF baadhi ya Waislam huwa wanasema neno Kaffir siyo tusi?!!! Wanasema maana yake ni mtu ambaye hamuamini au kumuabudu Allah!!


Kwa kuwa kila mtu anamuabudu Mungu anayemuamini yeye basi kama mimi naamini Mungu Baba muumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana na mtu mwingine haamini ninayoamini mimi na yeye ni Kaffir!!! Kama wengine wanaamini Ng'ombe ndiyo Mungu, mimi ambaye siamini hivyo ni Kaffir kwa mtu huyo.

Kwa hiyo let us take things SIMPLE or EASY!!! AMINI UNACHOAMINI. Kila mtu ni Kaffir kwa mtu anayeamini tofauti na mwingine.
Katika maana na msingi wa neno lenyewe, 'Kaffir' siyo tusi
Katika maendeleo ya lugha na kukua kwa imani na ili kutambuana, sasa hivi wawaitao wengine Kaffir wameipa maana beyond ile ya asili, wamelivalisho hili neno uchafu na sifa zote mbaya, ni kama mtu akikwambia "nipe Tigo" au akisema "nashukuru kwa kunisaidia mawasiliani na nimeweza kuongea na mhusika hii line ya Voda inazingua sana, inaonyesha tigo yako ni mzuri sana".
 
Nini maana ya elimu munayojisifia nayo ikiwa linapokuja swala la waarabu na waisrael huwa hamutumii akili zenu? Ukiwa muislamu kwako waarabu ni watu wasiokosea kwa chechote kile bali ni watu wema mno na ukiwa mkristo wayahudi ni watu wema mno wasiokosea chechote kile....hapa ndipo ninapoamini hamna mtu katili kama mweusi
 
Back
Top Bottom