Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
MmhChanzo cha hii taarifa ni ngara23 🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmhChanzo cha hii taarifa ni ngara23 🙌
Sijaona uliposema, nimesoma ulichoandika, kwani ulikuwa unaongelea lugha au porojo tu baada ya kushindwa kuzihesabu asilimia za Kiarabu kwenye Kiswahili?Wapi umeona nimesema kuna lugha inaitwa ni ya Kibantu? Acha kunilisha maneno, na usijitoe ufahamu kwa makusudi.
Nimetaja MIUNDO YA KIBANTU, MSAMIATI WA KIBANTU, MATAMSHI YA KIBANTU, yaani hayo yametokana na Lugha za Kibantu, mfano: Kimakonde, Kiluguru, Kizigua, Kizaramo, Kigogo, Kisikuma, Kindali,nk...
Usichoelewa nini hapo?
AsanteKwl ww hamnazo
mbona kila jambo munalichukulia kidini tu?Wamorocco ni Wabaguzi sana wamekorofishana na Waarabu wenzao Algeria na hawaendi sawa kwa miaka mingi tu na ndio wanawasapoti Israel huku Algeria akiwapinga kwa hilo ukiona mswahili anawaona wale ni waislamu wenzie jua kuwa hawajui kabisaa..
Wewe ni mzungu?Waarabu fikra zao na akili zao wengi wao bado zimebakia zama za mawe......ni ngumu kumkuta mwarabu aliyestaarabika.......
Mbona huwa hamkomi kujipendekeza? Tangu lini Morocco walikuwa Waafrika? Wakati wa World Cup mlijipendekeza kuiunga mkono kuwa ni waafrika wenzenu wakawachaneni kwamba wao wanawawakilisha waarabu, siyo Afrika lakini bado hamkomi.Warabu wametia aibu soka la Africa kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga
Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa Kusini
Ubaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa benchi la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika kwa suluhu
Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR,
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamuzi ya adhabu kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
Mimi sina udini hata chembe wewe umesoma kama gazeti nilichomaanisha ni kwamba unawashabgilia Morocco wakati wao kwa wao tu hawapatani na ni ndugu moja nenda kwa watu dini ndio uwaambie hizi mambo mimi huko nilishatoka..mbona kila jambo munalichukulia kidini tu?
Sasa mgogoro wa Morocco na Algeria, waislam na uislam vinaingiaje hapo?
Vijana udini hauna issue huo, tusitengeneze njia ya kuingilia adui.
Unaendelea kuonyesha kua wewe ni pang'ang'a.Wajinga kama wewe hua nawa ignore
Sasa ulipo sema unawashangaa waislam kujipendekeza kwa wamorocco ilhal wamorocco wanawaunga mkono waisrail, ulikua na maana gani?Mimi sina udini hata chembe wewe umesoma kama gazeti nilichomaanisha ni kwamba unawashabgilia Morocco wakati wao kwa wao tu hawapatani na ni ndugu moja nenda kwa watu dini ndio uwaambie hizi mambo mimi huko nilishatoka..
Makafiri wataipita hii kama hawaioni vile.
Katika maana na msingi wa neno lenyewe, 'Kaffir' siyo tusiMbona katika maelezo yako inaonekana ni mtu MMOJA tu ndiye amemuita hivyo?? Lakini heading inasema Waarabu (pamoja na kwamba umeandika "Warabu") ukimaanisha ni wengi.
Kwa upande mwingine mbona humu JF baadhi ya Waislam huwa wanasema neno Kaffir siyo tusi?!!! Wanasema maana yake ni mtu ambaye hamuamini au kumuabudu Allah!!
Kwa kuwa kila mtu anamuabudu Mungu anayemuamini yeye basi kama mimi naamini Mungu Baba muumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana na mtu mwingine haamini ninayoamini mimi na yeye ni Kaffir!!! Kama wengine wanaamini Ng'ombe ndiyo Mungu, mimi ambaye siamini hivyo ni Kaffir kwa mtu huyo.
Kwa hiyo let us take things SIMPLE or EASY!!! AMINI UNACHOAMINI. Kila mtu ni Kaffir kwa mtu anayeamini tofauti na mwingine.
Wachunhgaji ni kitu gani wewe kima?Nfahamu unashindwa kujibu hoja zangu, unaanza kunivaa mimi.
Huo ndiyo ufinyu wa muono, au wewe ni katika kondoo wa wachunhgaji? Hujaenda malishoni leo?
Kwa mwarabu hupindui, dada. Yani we ni teja haswaAlikuwa mweusi na ananuka kweli?
Na Rulan pia amewaita?Mbona sisi tunawaita waarabu koko 😀
Yaani wewe kama sio muislam ni kafiri regardless Regardless rangi yako au kabila yakoLina maana gani?
Kuna mjusi na mjusi KAFFIR
Rulan kwao ndio kabisa kutwa kupiga wageni kwa wivu 😀Na Rulan pia amewaita?