Waarabu wanaendelea kumininika Tanzania na Miradi ya maendeleo. Sasa Saudi Arabia

Waarabu wanaendelea kumininika Tanzania na Miradi ya maendeleo. Sasa Saudi Arabia

Mbona unamsahau Gwajima alisema nini kmwambia Magufuli kuhusu uhusiano wa Tanzania na Israeli ??
kwani kuwa na uhusiano na isral kuna shida gani we shetani? kama tuna uhusiano na saudi arabia ambako kuna kaburi la mungu wenu kwanini tusiwe na uhusiano na israel? mnakulaga nini nyie huko hadi mnakosa akili?
 
Kwa hiyo Uarabuni ni damu na Tz ni maji na umesema kabisa damu ni nzito kuliko maji!! kumbe!! inafikirisha sana hasa kipindi hiki cha sakata la mkataba wa bandari!
Hufahamu Kiwaswahili. Uliza wanaojuwa Kiswahili wakufahamishe maana ya methali hiyo. Umeona kuna "maji" nimeyataja hapo?

Huko kwenu ni "mbinguni" ipi hiyo hawaongei Kiswahili? Wewe kwenu itakuwa ni kuzimu siyo mbinguni. Umesahau.
 
kwani kuwa na uhusiano na isral kuna shida gani we shetani? kama tuna uhusiano na saudi arabia ambako kuna kaburi la mungu wenu kwanini tusiwe na uhusiano na israel? mnakulaga nini nyie huko hadi mnakosa akili?
Kaburi la mungu tena, fanya heshima kidogo. mungu gani huyo anaezikwa?

Uhusiano na Israel ulikuwepo na ubalozi walikuwa nao aliyeuvunja uhusiano ni Nyerere.

Hapo ndiyo umshangae mwendazake kwa unafik wake, alikuwa anajidai anampenda sana na kumuenzi sana Nyerere, mbona hilo la Israel hakumuenzi Nyerere?
 
Wahenga walisema Dunia duara ukifikiri uta..."

Tusijiumize roho sana kwa kijimradi cha ushirikiano wa maendeleo ya bandari na Dubai.

Tutegemee makubwa zaidi ya uwekezaji kutoka kwa ma "Giants " wa uwekezaji duniani. Saudi Arabia, hivi karibuni.

Mohamed bin Suleiman al maaruf MBS ni mwana wa Mfalne na mrithi mtarajiwa wa kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia (Crown Prince), Lakini kijana huyu kishaanza muda sasa, kuiongoza Saudi Arabia kwa baraka zote za baba'ke.

Mama Samia Suluhu katika harakati zake za kuiletea maendeleo a mabadilikobys uchumi Tanzania kutoka kwa wawekezaji. Alishatembelea Saudi Arabia katika pirika pirika zake. Kwa hiyo tutegemee mema sana ya uwekezaji kutoka Saudi Arabia.

Tanzania, Saudi Arabia zaahidi kukuza maendeleo ya kiuchumi​


View attachment 2672331

View attachment 2672272

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Eng Hamad Masauni amesema Tanzania na Saudi Arabia zimekuwa zikishirikiana katika kukuza ustawi na maendeleo ya kiuchumi ya nchi hizo mbili kutokana na zikishirikiana katika kukuza ustawi na maendeleo ya kiuchumi ya nchi hizo mbili kutokana na uhusiano bora wa kirafiki na ushirikiano mzuri kwa miaka mingi.
Nilikuwa nakuheshimu sana kama Muisilamu mwenzangu, lakini baada ya maprofesa wasomi na wanazuoni kuuchambua huu mkataba, samahani dada yangu niseme nimekuzarau,

Sababu hata dini yetu ya Kiisilamu inazungumzia Taifa au inchi yeyote yenye wasomi ni msada kwa kuliokoa taifa lake lisiangamie, sasa sijui wewe Uisilamu wako uko kimapenzi zaidi bila kujua hao waarabu hawana hata chembe ya huruma linapokuja suala la utu? Heri mzungu
 
Hufahamu Kiwaswahili. Uliza wanaojuwa Kiswahili wakufahamishe maana ya methali hiyo. Umeona kuna "maji" nimeyataja hapo?

Huko kwenu ni "mbinguni" ipi hiyo hawaongei Kiswahili? Wewe kwenu itakuwa ni kuzimu siyo mbinguni. Umesahau.
Unachokikataa ni kipi? soma tena post yako!! Umesema hivi: "Ma shaa Allah, damu nzito kuliko maji." Na sasa unadai hujayataja maji!! Ukikataa wakati umeyataja maji inaonesha umepaniki maana nia yako ovu imefunuliwa!!
 
Mstaarabu.

Wewe siyo mstaarabu?
Ustaarabu huuwezi kuuona kwenye sura!! Uarabu wake ndio uliokugusa kiasi cha kusema "Ma shaa Allah, damu nzito kuliko maji." Unaposema damu unamaanisha nasaba!! Unatuambia kuwa mama ana nasaba na uarabu!! hiyo ndiyo damu!! Tz ni maji!! na kila mmoja amekusikia kwenye post yako #16.
 
Saudi Arabia ina mfuko wa uwekezaji usiopungua Dollars billioni 700 za kuwekeza ndani na nje ya nchi yao inawekeza fedha hizo katika makampuni, mali zisiyohamishika (real estate) na ubia mwingine wa ndani na kimataifa ili kuzalisha faida.

Watanzania tuotumie furda hii kuingia ibia na mashirika makubwa ya uwekezaji ya Saudi Arabia.
Bahati mbaya kuna watu wanachuki za udini tu roho zinawauma hapa angekuja mfano kama wale matepeli sijui Sullivan kimyaa. nchi hizi za kiarabu wana pesa na pesa zao wana invest dunia nzima kama biashara huko USA tu wana pesa kibao kila sehemu wamewekeza sasa wananunua team za England pesa inaongea ila ni business sasa sisi tutalia sana maana anayewekeza hapa na bado kwenye miradi haina tija ni hawa sijui taasisi za NSSF pesa za wastaafu hawana wealth fund. Hawa wenzetu pesa za utajiri wameunda kampuni ya utajiri wa nchi na kuwekeza duniani kukuza utajiri wao ndio maana hawaingii miradi haina kichwa wako more business mission huku kwetu wanaleta peanuts tu huko kwa soko huru wana billions of money invested
 
Wengine kama nani?
Hapo ndio utajuwa issue sio uwekezaji udini ndio unasukuma hizi chuki dhidi ya Rais wetu lakini kuna uwekezaji mkubwa sana unakuja LNG lakini kama utasikia mtu anaongea wala PSA hawataiona lakini kimya. Kitu tofauti hawajui nchi za kiarabu zina wealth fund dhumuni lao kuwekeza na wamewekeza mpaka huko Google, Apple na sehemu kibao wako kila sehemu. Hapo umemuuliza vizuri wengine kina nani sasa mawili atarudi kujibu ndio utajuwa ni nani au ndio ataingia mitini
 
Watanzania tuotumie furda hii kuingia ibia
Umepaniki hadi kiswahili kinakukimbia!!! Unafahamika kwa kusahihisha makosa ya kiuandishi humu na huwa unawaambia watu kuwa shuleni wamesomea ujinga!! Sasa tuambie wewe hayo maneno ya "tuotumie furda na ibia" ulifundishwa wapi??
 
kwani kuwa na uhusiano na isral kuna shida gani we shetani? kama tuna uhusiano na saudi arabia ambako kuna kaburi la mungu wenu kwanini tusiwe na uhusiano na israel? mnakulaga nini nyie huko hadi mnakosa akili?


Mbona umetaja Saudi Arabia nilifikiri utasema Waarabu ??

Naelewa wewe unaipenda Israeli nchi ya mashoga wenzako sikushangai kwani hata mungu wako walimvua chupi Gesthemane 😛 😛 😛 😛
 
Arab pet!
Saudi Arabia ina mfuko wa uwekezaji usiopungua Dollars billioni 700 za kuwekeza ndani na nje ya nchi yao inawekeza fedha hizo katika makampuni, mali zisiyohamishika (real estate) na ubia mwingine wa ndani na kimataifa ili kuzalisha faida.

Watanzania tuotumie furda hii kuingia ibia na mashirika makubwa ya uwekezaji ya Saudi Arabia.
 
Kaburi la mungu tena, fanya heshima kidogo. mungu gani huyo anaezikwa?

Uhusiano na Israel ulikuwepo na ubalozi walikuwa nao aliyeuvunja uhusiano ni Nyerere.

Hapo ndiyo umshangae mwendazake kwa unafik wake, alikuwa anajidai anampenda sana na kumuenzi sana Nyerere, mbona hilo la Israel hakumuenzi Nyerere?
Aliwapendea kwenye mifumo ya ulinzi wake ikiwemo wamsaidie kumnasa swahiba wake kigogo
 
Back
Top Bottom