Waarabu wanaendelea kumininika Tanzania na Miradi ya maendeleo. Sasa Saudi Arabia

Waarabu wanaendelea kumininika Tanzania na Miradi ya maendeleo. Sasa Saudi Arabia

Mbona Biblia inasema kinyume kabisa na wewe? Soma:

Wagalatia 3:
13
Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;

Au umekosea? Si unamuona Paulo anakufundisha nani aliyelaaniwa.
Usijifaraghue wewe na kujibaraguza bila ya sababu. Hata mantiki ndogo tu unashindwa kuielewa!!

Hiyo hoja siyo ya bandiko hili. Wewe si huwa hutaki hoja toka kwa watu wa Magharibi leo iweje ulete nukuu toka Bloomberg? Ni lini umeanza kuwaamini hao walaanika!!??
 
Kwa nini waislam hamuamini katika kufanya kazi ili kujiletea maendeleo
Sifahamu kigezo chako cha maendeleo ni kipi? Kama ni utajiri ndiyo maendeleo, basi tulinganishe matajiri wa Tanzania na Duniani tuone nani zaidi.

Mie Naanza na wafanya maendeleo 10 wakuu wa Tanzania:

1) Bakhresa
2) Mo
3) Oil Com
4) Azania
5) Rostam
6) Abood
7) GSM
8) Mafuruki
9) Manji
10) Fida Hussein Rashid.

Hivyo ni baadhi tu ya vigogo vya maendeleo, sasa wale kina mwenzangu na wewe, toka nje tu mtaani kwenu ujipime.
 
Usijifaraghue wewe na kujibaraguza bila ya sababu. Hata mantiki ndogo tu unashindwa kuielewa!!

Hiyo hoja siyo ya bandiko hili. Wewe si huwa hutaki hoja toka kwa watu wa Magharibi leo iweje ulete nukuu toka Bloomberg? Ni lini umeanza kuwaamini hao walaanika!!??

Tulia sindano ikuingie, umelikoroga mwenyewe sasa linywe. Faidika na darsa ndogo ya FaizaFoxy :

Si umeleta wewe kuhusu "walaaniwa"? Au umesahau. Mimi nakuonesha kutoka kwenye biblia nani "walaaniwa" au wewe huiamini biblia?

Sasa wasome Waarabu kutoka ndani ya Biblia;

Mwanzo 17:
20
Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.

Nikuongeze? Au zinatosha kwa leo? Biblia imewaita "maseyedi" unawajuwa maseyedi, kama vile ukisikia Seyid barghash, usifikiri Seyid ni jina hilo, ni utukufu kutoka ndani ya biblia.
 
Ni mjinga pekee anaweza kukataa wawekezaji, tatizo letu ni terms za mkataba wala hatukatai wawekezaji, kama hakutakuwa na vipengele vya kitapeli sisi hatuna shida hata huyo mfalme ahamie Ikulu ni sawa.
 
Ni mjinga pekee anaweza kukataa wawekezaji, tatizo letu ni terms za mkataba wala hatukatai wawekezaji, kama hakutakuwa na vipengele vya kitapeli sisi hatuna shida hata huyo mfalme ahamie Ikulu ni sawa.
 
Sawa, waje tu wa kutosha, hatuna baya sie hata wakituchukua wote watuhamishe kwao.
 
Wahenga walisema Dunia duara ukifikiri uta..."

Tusijiumize roho sana kwa kijimradi cha ushirikiano wa maendeleo ya bandari na Dubai.

Tutegemee makubwa zaidi ya uwekezaji kutoka kwa ma "Giants " wa uwekezaji duniani. Saudi Arabia, hivi karibuni.

Mohamed bin Suleiman al maaruf MBS ni mwana wa Mfalne na mrithi mtarajiwa wa kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia (Crown Prince), Lakini kijana huyu kishaanza muda sasa, kuiongoza Saudi Arabia kwa baraka zote za baba'ke.

Mama Samia Suluhu katika harakati zake za kuiletea maendeleo a mabadilikobys uchumi Tanzania kutoka kwa wawekezaji. Alishatembelea Saudi Arabia katika pirika pirika zake. Kwa hiyo tutegemee mema sana ya uwekezaji kutoka Saudi Arabia.

Tanzania, Saudi Arabia zaahidi kukuza maendeleo ya kiuchumi​


View attachment 2672331

View attachment 2672272

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Eng Hamad Masauni amesema Tanzania na Saudi Arabia zimekuwa zikishirikiana katika kukuza ustawi na maendeleo ya kiuchumi ya nchi hizo mbili kutokana na zikishirikiana katika kukuza ustawi na maendeleo ya kiuchumi ya nchi hizo mbili kutokana na uhusiano bora wa kirafiki na ushirikiano mzuri kwa miaka mingi.
 

Attachments

  • 67C3F06C-0A63-4E33-BA1C-E0447A703ED6.jpeg
    67C3F06C-0A63-4E33-BA1C-E0447A703ED6.jpeg
    51.3 KB · Views: 3
Huyu Faiza ni mdini sana,ipo siku atajitokeza hadharani na kuitangaza rangi yake hamtaamini,
 
Saudi Arabia ina mfuko wa uwekezaji usiopungua Dollars billioni 700 za kuwekeza ndani na nje ya nchi yao inawekeza fedha hizo katika makampuni, mali zisiyohamishika (real estate) na ubia mwingine wa ndani na kimataifa ili kuzalisha faida.

Watanzania tuitumie furda hii kuingia ibia na mashirika makubwa ya uwekezaji ya Saudi Arabia.
Nanyie mna dolla bilioni gani zakukeza ndani na nje ya Tanzania?

Au kazi yenu ni kuhesabu hela iliko kwenye mifuko ya watu wengine?
 
Kwa mikataba kama ya DPW, hakuna mjomba wa kutuletea maendeleo bali sisi wenyewe. Pili bila kutumia akili hakuna maendeleo pamoja na rasilimali kibao tulizonazo na tuataendelea kuwa shamba la bibi.
 
Kwa mikataba kama ya DPW, hakuna mjomba wa kutuletea maendeleo bali sisi wenyewe. Pili bila kutumia akili hakuna maendeleo pamoja na rasilimali kibao tulizonazo na tuataendelea kuwa shamba la bibi.
Watauza zote soon.
 
huwezi kuendelea kwa kutegemea uletewe maendeleo na si kufanya kazi na kujiletea maendeleo.

Saudia imesimama kwa kusimamia rasirimali zao vizuri na kujiletea maendeleo wenyewe na si vinginevyo
 
Saudi Arabia ina mfuko wa uwekezaji usiopungua Dollars billioni 700 za kuwekeza ndani na nje ya nchi yao inawekeza fedha hizo katika makampuni, mali zisiyohamishika (real estate) na ubia mwingine wa ndani na kimataifa ili kuzalisha faida.

Watanzania tuitumie furda hii kuingia ibia na mashirika makubwa ya uwekezaji ya Saudi Arabia.
Hawa watesaji wa mahousegirl wao hata muislamu mweusi ni kafir tu.
 
Tulia sindano ikuingie, umelikoroga mwenyewe sasa linywe. Faidika na darsa ndogo ya FaizaFoxy :
Wewe mzee uwezo wako umegotea hapo hausadiki.

Unaandika kingine unatafsiri kivingine. Bila shaka na wewe umo kwenye lile kundi la wasiojua wanaoitwa "washauri".
 
Back
Top Bottom