Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Usijifaraghue wewe na kujibaraguza bila ya sababu. Hata mantiki ndogo tu unashindwa kuielewa!!Mbona Biblia inasema kinyume kabisa na wewe? Soma:
Wagalatia 3:
13 Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;
Au umekosea? Si unamuona Paulo anakufundisha nani aliyelaaniwa.
Sifahamu kigezo chako cha maendeleo ni kipi? Kama ni utajiri ndiyo maendeleo, basi tulinganishe matajiri wa Tanzania na Duniani tuone nani zaidi.Kwa nini waislam hamuamini katika kufanya kazi ili kujiletea maendeleo
Usijifaraghue wewe na kujibaraguza bila ya sababu. Hata mantiki ndogo tu unashindwa kuielewa!!
Hiyo hoja siyo ya bandiko hili. Wewe si huwa hutaki hoja toka kwa watu wa Magharibi leo iweje ulete nukuu toka Bloomberg? Ni lini umeanza kuwaamini hao walaanika!!??
Mimi sio mjinga mpaka niwe mtumwaWewe mtumwa wa nani?
Mimi nafurahia sana kuwa mtumwa wa Waarabu, natumwa kwa Dirham, tena kwa raha zangu. Wewe mwenzetu?
Wahenga walisema Dunia duara ukifikiri uta..."
Tusijiumize roho sana kwa kijimradi cha ushirikiano wa maendeleo ya bandari na Dubai.
Tutegemee makubwa zaidi ya uwekezaji kutoka kwa ma "Giants " wa uwekezaji duniani. Saudi Arabia, hivi karibuni.
Mohamed bin Suleiman al maaruf MBS ni mwana wa Mfalne na mrithi mtarajiwa wa kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia (Crown Prince), Lakini kijana huyu kishaanza muda sasa, kuiongoza Saudi Arabia kwa baraka zote za baba'ke.
Mama Samia Suluhu katika harakati zake za kuiletea maendeleo a mabadilikobys uchumi Tanzania kutoka kwa wawekezaji. Alishatembelea Saudi Arabia katika pirika pirika zake. Kwa hiyo tutegemee mema sana ya uwekezaji kutoka Saudi Arabia.
Tanzania, Saudi Arabia zaahidi kukuza maendeleo ya kiuchumi
View attachment 2672331
View attachment 2672272
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Eng Hamad Masauni amesema Tanzania na Saudi Arabia zimekuwa zikishirikiana katika kukuza ustawi na maendeleo ya kiuchumi ya nchi hizo mbili kutokana na zikishirikiana katika kukuza ustawi na maendeleo ya kiuchumi ya nchi hizo mbili kutokana na uhusiano bora wa kirafiki na ushirikiano mzuri kwa miaka mingi.
Nanyie mna dolla bilioni gani zakukeza ndani na nje ya Tanzania?Saudi Arabia ina mfuko wa uwekezaji usiopungua Dollars billioni 700 za kuwekeza ndani na nje ya nchi yao inawekeza fedha hizo katika makampuni, mali zisiyohamishika (real estate) na ubia mwingine wa ndani na kimataifa ili kuzalisha faida.
Watanzania tuitumie furda hii kuingia ibia na mashirika makubwa ya uwekezaji ya Saudi Arabia.
Watauza zote soon.Kwa mikataba kama ya DPW, hakuna mjomba wa kutuletea maendeleo bali sisi wenyewe. Pili bila kutumia akili hakuna maendeleo pamoja na rasilimali kibao tulizonazo na tuataendelea kuwa shamba la bibi.
Faiza mbweha ,nimkorofi SanaKwa hiyo wewe wamekuachia ushoga? Au kwenu hawajapita?
Hawa watesaji wa mahousegirl wao hata muislamu mweusi ni kafir tu.Saudi Arabia ina mfuko wa uwekezaji usiopungua Dollars billioni 700 za kuwekeza ndani na nje ya nchi yao inawekeza fedha hizo katika makampuni, mali zisiyohamishika (real estate) na ubia mwingine wa ndani na kimataifa ili kuzalisha faida.
Watanzania tuitumie furda hii kuingia ibia na mashirika makubwa ya uwekezaji ya Saudi Arabia.
Wewe mzee uwezo wako umegotea hapo hausadiki.Tulia sindano ikuingie, umelikoroga mwenyewe sasa linywe. Faidika na darsa ndogo ya FaizaFoxy :