Kagame ukimwambia hili lazima akuue.Uwongo,fdlr hawana hiyo ideology,nyinyi watutsi mnawalisha maneno,fdlr waingizwe RDF,ni wanyarwanda
Acha kuzuga,mlianza nyinyi kuwaua na mmewaua wengi kisha mkapiga propaganda kuwa wamekuueniSijui sisi Waafrika tunatatizo gani upstairs, inakuwaje mtu unajiita" Democratic Forces"wakati umebeba arms violently killing another ethnic group?!
Tulirogwa na nani?
Aliambiwa na jakaya,akaleta mikwala mbuziKagame ukimwambia hili lazima akuue.
Halafu askari wengi wa FDLR ni watoto wa wakimbizi wa kihutu kutoka Rwanda waliozaliwa na kukulia Drc baada ya kumalizika kwa mauaji ya Rwanda, hivyo hawana hata hizo Idiolojia.
📌📌📌KWENYE MALI NI KIFO TU NDO KINAAMUA AMANI!!!Njia pekee ya kutatua huu mgogoro ni njia ya maongezi kuliko kuona Vijana wetu wa Kiafrika wakiuana bure.
Samora Machel's Struggle | How Mozambique’s Revolution Ended Portugal's Empire
Hakuna kitu kama hicho, propaganda za CCM tuu na chawa wake, M23 hawakuwahi kushindwa vita na jeshi la CCM, do some research utajuaTanzania chini ya kikwete tu ndio aliwanyoosha hawa jamaa. sasaivi wanajua tuan rais mwanamke hatuna lolote.
Ninasikia enzi za Mzee Kabila ilikuwa hivi hivi Mara Mzee hawezi fika Kinshasa .Ila kwa Msaada wa Rwanda na Uganda mzee akafika Kin.At the end of the day yoyote atakaye control bora afanye ya maana maendeleo yaonekane, hata Tshisekedi hajaingia kihalali madarakani.
Nakumbuka kipindi cha vita vya Laurent Kabila vs Mobutu wananzengo walikuwa wakidaia waasi hawatawaweza Presidential Special Forces hivyo haitawezekana kuiteka Kinshasa lakini imedhihirika DRC army hawapati mafunzo stahiki japo statistics zinadai wana jeshi strong.
Latest data from Google👇
9-Sudan
10-LibyaView attachment 3218226
Halafu baadae waombe kujiunga na Rwanda.Democratic Republic of Kivu inawezekana lakini kwanza wakamate Kinshasa halafu mpango upelekwe Bungeni ili Referendum ifanyike watu wa Kivu waulizwe kama wanaona Kinshasa ni mbali kiAdministration nina imani wengi watapiga kura kujitenga na ghasia za Kongo.
Au wapewe full Autonomy.
Hadi Wana jam dronesMadhani walikuwa hawajajiandaa kama walivyo sasa hivi, sasa hivi wamejizatiti na silaha za kisasa wana vifaa na wameongeza Askari wao wanaofikia 8000 strong armed to the teeth.
Hutu Power is an ethnic supremacist ideology that asserts the ethnic superiority of Hutu, often in the context of being superior to Tutsi and Twa, and therefore, they are entitled to dominate and murder these two groups and other minorities.Uwongo,fdlr hawana hiyo ideology,nyinyi watutsi mnawalisha maneno,fdlr waingizwe RDF,ni wanyarwanda
Jeshi la Kongo kama pants road30 January 2025
AEROPORTO DE GOMA
Goma, DR Congo
UWANJA WA NDEGE WA GOMA ULIOTEKWA NA M23
View: https://m.youtube.com/watch?v=0wJT-jHeNnQ
Mwandishi anatuonesha silaha za kila aina za jeshi la DR Congo la FARDC zilizotelekezwa ikiwemo mizinga ya kila aina, mortars, malori yenye rocket launcher ya BM Katushya mizinga Sabasaba, ndege vita katika hangar , vifaru, magari ya deraya, Malori ya kijeshi ya logistics, magari ya pick up za kijeshi n.k
Uwanja huo wa ndege sasa upo mikononi mwa majeshi ya M23
Amewakomboa Wacongo kutoka kwenye makucha ya Brutal Dictator Mobutu Sese Seko kuku Ngwendu wa Zabanga.Hicho anachowafanyia wacongo toka mwaka 1996 ni zaidi ya ukatili.
Jeshi letu lipo CongoKwani moyo Ukiwa Rwanda Kuna tatizo gani? Wewe ambae moyo wako uko Kongo una Msaada gani kuondoa mauaji ya watu huko?
Huu pia ni ukombozi....Amewakomboa Wacongo kutoka kwenye makucha ya Brutal Dictator Mobutu Sese Seko kuku Ngwendu wa Zabanga.
Hiyo ni zawadi kubwa sana ilitakiwa Wakongo wamjengee Sanamu la heshima pale Kinshasa likae karibu na Sanamu la Lumumba.