Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu

Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu

Rais Kagame akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa​

Imeandikwa na
Ernestine Musanabera
31-01-2025 -

Rais Paul Kagame alimpokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Jean-Noël Barrot, Ijumaa, Januari 31, 2025, ili kujadili uhusiano wa nchi mbili na njia za kukuza amani katika eneo hilo.​

Rais Kagame akimpokea Waziri Jean-Noël Barrot

Rais Kagame akimpokea Waziri Jean-Noël Barrot
Waziri Jean-Noël Barrot aliwasili nchini Rwanda Alhamisi, Januari 30, 2025. Alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kigali mjini Kanombe, alipokelewa na Balozi wa Ufaransa nchini Rwanda, Antoine Anfré, na Katibu Mkuu katika Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano, Clementine Mukeka.


Waziri Jean-Noël Barrot aliwasili Kigali baada ya kuondoka Kinshasa, ambako alikutana na Rais Félix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barrot inafuatia mazungumzo ya hivi karibuni ya simu kati ya Rais Emmanuel Macron na Rais Paul Kagame.


Katika mazungumzo hayo, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alitoa wito kwa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kurejesha haraka mazungumzo ili kumaliza mzozo kati ya nchi hizo mbili.

Ofisi ya Rais wa Ufaransa ilitangaza kuwa siku ya Jumamosi, Rais Macron alifanya mazungumzo tofauti kwa njia ya simu na Rais Kagame na Tshisekedi wa DRC, akielezea dhamira yake ya kuunga mkono juhudi za amani.

Rais Macron alielezea wasiwasi wake mkubwa juu ya ukosefu wa usalama katika Jimbo la Kivu Kaskazini nchini DRC, hasa katika maeneo ya karibu na mji wa Goma, na kusema kuwa haya yote lazima yakome ili kulinda na kutetea umma wa watu uliopo maeneo hayo.
 
31 January 2025
Kigali, Rwanda

Rwanda's Minister of State for Regional Cooperation, Gen. (Rtd) James Kabarebe, has criticised South Africa’s former intelligence chief, Lt. Gen (Rtd) Maomela Motau, for distorting the facts of a decades-long crisis in the eastern part of DR Congo

Photo : Gen. (Rtd) James Kabarebe, a three war veteran :

Gen. (Rtd)Kabarebe holds a record of fighting — and winning — three wars that brought new regimes to power in the Great Lakes region.

Born and raised in Uganda, Gen. Kabarebe fought in the guerilla war that brought Museveni to power in 1986. He fought Rwanda’s liberation war that installed the Rwandan Patriotic Front (RFP) in 1994.

Most famously, in the Democratic Republic of Congo, Kabarebe led the war that ousted Mobutu Sese Seko and installed Laurent Kabila in 1997.
 
Burundi inazidi kuingiza Askari Kongo sijui Warundi wanapigania nini?!
 

Rais Kagame akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa​

Imeandikwa na
Ernestine Musanabera
31-01-2025 -

Rais Paul Kagame alimpokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Jean-Noël Barrot, Ijumaa, Januari 31, 2025, ili kujadili uhusiano wa nchi mbili na njia za kukuza amani katika eneo hilo.​

Rais Kagame akimpokea Waziri Jean-Noël Barrot

Rais Kagame akimpokea Waziri Jean-Noël Barrot
Waziri Jean-Noël Barrot aliwasili nchini Rwanda Alhamisi, Januari 30, 2025. Alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kigali mjini Kanombe, alipokelewa na Balozi wa Ufaransa nchini Rwanda, Antoine Anfré, na Katibu Mkuu katika Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano, Clementine Mukeka.


Waziri Jean-Noël Barrot aliwasili Kigali baada ya kuondoka Kinshasa, ambako alikutana na Rais Félix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barrot inafuatia mazungumzo ya hivi karibuni ya simu kati ya Rais Emmanuel Macron na Rais Paul Kagame.


Katika mazungumzo hayo, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alitoa wito kwa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kurejesha haraka mazungumzo ili kumaliza mzozo kati ya nchi hizo mbili.

Ofisi ya Rais wa Ufaransa ilitangaza kuwa siku ya Jumamosi, Rais Macron alifanya mazungumzo tofauti kwa njia ya simu na Rais Kagame na Tshisekedi wa DRC, akielezea dhamira yake ya kuunga mkono juhudi za amani.

Rais Macron alielezea wasiwasi wake mkubwa juu ya ukosefu wa usalama katika Jimbo la Kivu Kaskazini nchini DRC, hasa katika maeneo ya karibu na mji wa Goma, na kusema kuwa haya yote lazima yakome ili kulinda na kutetea umma wa watu uliopo maeneo hayo.
France baada ya kutimuliwa huko Sahel anahamia ukanda wa maziwa makuu!!
 
Wanamgambo Nyatura wanaotegemea nguvu za Giza na uchawi wakilinda doria karibu na Mji wa Bukavu.

Je wataweza kuwazuia AFC/M23 kuuteka Mji wa Bukavu?!
Mai-Mai.jpg
 
Born and raised in Uganda, Gen. Kabarebe fought in the guerilla war that brought Museveni to power in 1986. He fought Rwanda’s liberation war that installed the Rwandan Patriotic Front (RFP) in 1994.
Mbona hamjaandika kama ndio amefanya kagame pia kuwa madarakani..ili hali mmeandika ndio amepigana vita iliyompa madaraka museven na vkta iliyompa madaraka kabila Laurent ila kusema ndio amepigana vita iliyompa madaraka kagame mmeshindwa mmeandika chama tu. Wajinga sana na mna propaganda za kitoto sana.
Nyie watu ni waoga sana na wajivuni ovyo sana.
 
Halafu M23 itajigawa makundi mawili huku moja kuelekea kusini Bukavu na lingine magharibi katikati ya Congo hadi Kisangani ili kuambaa na mto mkubwa mto Kongo wakilizingira jeshi la serikali FARDC dhaifu lililo na morali ndogo kwa kuliweka mtu kati liweke silaha chini, wao M23 wakiteremka hadi Kinshasa kumgoa Tshisekedi

View attachment 3218221

Kumzingira Mtukati hadi Kinshasa :

View attachment 3218224
Ngumu sana hii
 
Tatizo liko kwa Host, hebu fikiria mwenyeji wako asubuhi yuko na wewe usiku yuko na M23😆😆😁

Wakongo wanauza hadi position kwa Waasi halafu Mizinga inaanza kukunyeshea😁😆
Enemy within!
THE FIFTH COLUMNISTS

A fifth column is a group of people who undermine a larger group or nation from within, usually in favor of an enemy group or another nation. The activities of a fifth column can be overt or clandestine. Forces gathered in secret can mobilize openly to assist an external attack. The term is also applied to organized actions by military personnel. Clandestine fifth column activities can involve acts of sabotage, disinformation, espionage or terrorism executed within defense lines by secret sympathizers with an external force.
 
Back
Top Bottom