Waasi waliomuangusha Assad wa Syria waapa kuendeleza vita hadi kuiteka Yerusalem

Hao wanawweza kuwa ni vibaraka wa mazayuni wanacheza na akili zetu.
. Mpaka sasa siwaamini hata kidogo, nitawaamini nikiona mwelekeo wao siku za usoni. Kwa sasa bado.
 
Mchokoz nani wewe zwazwa ujasikia Israel anaendelea kuchukua Milima y Golan y Syria apo mchokozi nani embu jibu mnunua udongo kwa tsh 20000.!!
 
Huo sio msimamo wa THS bali ni Vingrupu vilivyomo ndani yao na wengine ni Euphoria tu za kuikamata Damascus.

Jana nilikuwa namsikilia Erdoğan akisema ataenda Damascus kuswali kwenye Msikiti wa Bani Umayyad halafu ataenda kusoma Quruani kwenye Kaburi la Saladiin kumbuka huyu Saladiin ndie aliyeiteka Jerusalem kutoka kwenye mikono ya Christians

Uisilamu uliingia Syria 334CE baada ya Vita na Benzatine Empire.
 
Wawaulize Hezbollah walikuwa na nguvu zaidi yao ila sasa hawana hamu na mzayuni
Mazayuni si ndiyo yamesalimu amri? Utakuwa unaishi dunia ya kwako peke yako wewe.

Israel ameliwa vichwa wanajeshi wake kwa mamia unadhani kukubali ceasefire ni hiyari au ameona wanajeshi wataisha.

Israel anachojua ni vita ya madege tu kuharibu majengo lakini ground battle hana uwezo wa kupigana hata na Burundi.
 
Haaaa nilikwambia kaka mtumbwi uwo sio uwo wa kibwengo ukadhalau sasa msianze kulialia msiki adi JERUASALEM kila kitu wanacho Hezbollah wamewajibu wataungana nao kupeleka MOTO.
 
Bora huyo mpiga ramri tunaweza kumuelewa na sio wewe mugwana wa kishia kutokea kibanda maiti huko
Wewe Kafiri umekua msemaji wa wengine toka lini? unasema tunaweza,wewe na nani?

Mbona post yangu imekuuma zaidi kuliko muhusika? utafanya nianze kukutilia wasiwasi sasa.
 
Toka lini Ustadh akawa mjomba wenu Assad alikuwa mpole muoga wa kifo sasa kazikazi adi JERUSALEM
 
Kweli kabisa, Israeli hana lolote kazi yake kuua wajawazito mahospitalini halafu anadai anaua magaidi na viongozi wao.
Nendeni mkachukue Jerusalem IDF keshachazwa na Hezbollah mpaka kaomba yaishe.

Kumbe Hawa nao ni wajawazito???
 
Toka lini Ustadh akawa mjomba wenu Assad alikuwa mpole muoga wa kifo sasa kazikazi adi JERUSALEM
Syria ilikuwa ni Nchi ya Kikristo Uturuki ilikuwa ni Nchi ya Kikristo mpaka leo Makanisa mumeyavamia na kufanya Misikiti.
 
Tatizo hao jamaa wakisema huwa wanatekeleza. Siyo jamaa zetu ambao wanatumia ahadi hewa kusalia madarakani
Watapata wapi silaha? Mambo siyo rahisi hivyo... miundo mbinu yote ya kivita Israel kaihalibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…