Waasi waliomuangusha Assad wa Syria waapa kuendeleza vita hadi kuiteka Yerusalem

Mbowe ni mstaraabu ila siku akiamua azunguke dunianI basi Tz hamtaeza iona tena ccmu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Akaunde jeshi?
 
Hawa wanatafuta pakufia sasa.
 
Haaaa nilikwambia kaka mtumbwi uwo sio uwo wa kibwengo ukadhalau sasa msianze kulialia msiki adi JERUASALEM kila kitu wanacho Hezbollah wamewajibu wataungana nao kupeleka MOTO.
Na wao wakileta za kuleta watapigwa kusema Allah Akbar kwa sauti na kupiga risasi juu wanafikiri wanamtisha nani?!
 
Kama hiki unachokiandika ni kweli ungekuta Hilo taifa limeshafutwa kwenye uso wa dunia na waarabu,
 
Ndugu zangu waislam tuungane dhidi ya mayahud wakristu na makafiri

Ili siku ya kiyamma molla wetu utujalie tuwe katika wala manasaba wake watakojinyakulia bikraπŸ˜‹

Inshallah

molla kamkacha Nasrallah mchana kweupe hushtuki...amkaa

molla kamkimbia na swahiba wako Sinwar.!? hushtukiiii

Hezbollah, Hamas wote Chali kifo cha mendez...

Utakapo mpokea Kristu na kukiri hakuna bikira 72 bali ni utapeli wa Mudi wa kupenda ngono hakika pepo utaitamka Kwa mdomo tu
 
Usilete maneno,leta data Kama nilivyofanya Mimi,,je viongozi wangapi wa Israel wamefariki??,leta na picha zao hapa jukwaani sawa??
Hawezi kuleta chochote, huyo jamaa ni mpiga ramli humu jukwaani
 
Hii vita ina mchanyato mwingi sana
Siyo kweli, huyo kiongozi wao Al Golan ana akili sana. Hawezi kutengeneza ubishani wowote dhidi ya Washington au Tel Aviv.

Anajua hao ndiyo wenye mamlaka ya kumuacha madarakani au kumuondoa.
 
Hii Syria inakwenda kuwa kama Libya au Irak
 
Ndugu zangu waislam tuungane dhidi ya mayahud wakristu na makafiri

Ili siku ya kiyamma molla wetu utujalie tuwe katika wala manasaba wake watakojinyakulia bikraπŸ˜‹

Inshallah
Kwani kujinyakulia bikra hadi uwachukie hao uliowataja?

Acheni hizo, kwanza hata hizo bikra hamuna mnadanganywa tu. Bora mkaze za hukuhuku duniani.
 


Wanaanza kuharibu
 
Usilete maneno,leta data Kama nilivyofanya Mimi,,je viongozi wangapi wa Israel wamefariki??,leta na picha zao hapa jukwaani sawa??
Data ndugu wkt uko Israe walijua watafekwa kwa wingi wakawai kupitosha Sheria ya kuzuia Habari zao zisitoke. Tofaut na upande w pili watu wapo huru kupost chochote. MAKOMANDO MBONA AWENGI WAMEKUFA ukiacha IDF wakawaida amba ndio usiseme utaona tu vilio vyao IDF.msimu wamezika IDF wengi acha Ubishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…