Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Usalama wa mtu binafsi na mazingira. Unaweza kunyooka mojakwamoja kumbe wasiojulikana wamekutangulia. Kusimama nje ya eneo lako kwa muda mfupi kunaweza kukusaidia kunotice utofauti wa mazingira kwa siku hiyo.Usalama wa chombo au usalama wa mtu binafsi? Fafanua mkuu
Wewe inaelekea siyo mtu mzuri. Kwanini umekuwa ukifuatilia watu namna hiyo!!! Jitafakari ndugu.Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.
Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?
Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.
Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Eti bwana yaani Pesa tuitafute kwa taabu na kuitumia tuitumie kwa taabu?Tunaringishia, utajuaje sasa kama gari nilalo?
Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.
Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?
Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.
Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Kitaalamu haishauriwi kuzima gari ghafla baada ya kutoka masafa, lazima utumie muda kadhaa kusubiri ndiyo unaweza kuizima.Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.
Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?
Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.
Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Wewe ni me au Ke?Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.
Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?
Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.
Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Hakika wengi wanafanya hivyoBinafsi Sina gari Wala pikipiki ila kabla sijaingia ndani Huwa na clear simu yangu hasa kutoka kwa Vimeo.
HawatabirikiTunaficha simu zetu na hela, make hawa wanawake hawaeleweli......
MeWewe ni me au Ke?
Hiyo ni kweli, lakini mimi nimesemea wale wanao simamisha magari katikati ya barabaragari inapotoka mwendo mrefu....unaiacha sailensa kwa mda kama dk 5 mpaka 10 waanasema oil ishuke then unaizima... na hivyo hivyo kuwasha unawasha unasikilizia kidogo...