Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Sasa kwanini unafuatilia waume za watu kijanaDuh, Mimi ni kijana wa mtaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwanini unafuatilia waume za watu kijanaDuh, Mimi ni kijana wa mtaani
Vijineno vyake vya kuungaunga tu.Nimemuuliza kuwa ana wababa wangapi na wangapi wanafanya hivyo?
Sijafuatilia, ila nina macho na naona, pia nina mikono ya kuandika that's why nimeandika hapa Jf.Sasa kwanini unafuatilia waume za watu kijana
ahahaha,,,,Bob Manson, sisi wababa wenye magari tuna mambo mengi ya kufanya. Nikusihi tu na wewe uwe nalo.Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.
Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?
Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.
Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Hakika nami nitakuwa nalo, lakini hayo mambo mengi ni yapi mkuu? niyajue mapema kabla sijawa na gariahahaha,,,,Bob Manson, sisi wababa wenye magari tuna mambo mengi ya kufanya. Nikusihi tu na wewe uwe nalo.
ahahaha,,,,sema sisi wababa wenye magari na tulio single, popote tunaongea. Hao walio oa labda uchunguzi wako ulianzia huko. Ila tuna mambo mengiHakika nami nitakuwa nalo, lakini hayo mambo mengi ni yapi mkuu? niyajue mapema kabla sijawa na gari
Nimekuelewa vyema, huenda kweli mambo ni mengi, lakini muwe makini msimamame katikati ya barabara au mbele ya mageti ya wengine.ahahaha,,,,sema sisi wababa wenye magari na tulio single, popote tunaongea. Hao walio oa labda uchunguzi wako ulianzia huko. Ila tuna mambo mengi
Usalama wa chombo au usalama wa mtu binafsi? Fafanua mkuuKuna muda pia hufanya hivo kwasababu za kiusalama.
yako yamekushindaWengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.
Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?
Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.
Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Bora hata ningekuwa nayo, sina jamboyako yamekushinda
We mdadaMimi sio kama nawachunguza mkuu, ila imekuwa kawaida nikipita jioni nakutana na wajomba wamesimama, na wengine tunapeana salamu kabisa...
Sasa huwa najiuliza kwanini wengi wao wanafanya hivyo, lazima ipo namna
Mimi mkakaWe mdada
Unataka kupata nini ?
Sawa wewe mkaaMimi mkaa
Saivi nipo njiani, naenda kupata kifungua kinywa
ukiona wamesimama unaweza wauliza kwamakibu ya uhakikaWengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.
Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?
Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.
Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Sawa mkuu, nitawaulizaukiona wamesimama unaweza wauliza kwamakibu ya uhakika
Kwamba akifika ndani awe msafi kila idaraAnajimalaikisha kwanza