Wababa wenye magari, kwanini mnasimama kwa dakika kadhaa kabla ya kuingia majumbani mwenu?

Wababa wenye magari, kwanini mnasimama kwa dakika kadhaa kabla ya kuingia majumbani mwenu?

Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.

Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?

Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.

Huwa mnafanya nini na hizo simu?
ahahaha,,,,Bob Manson, sisi wababa wenye magari tuna mambo mengi ya kufanya. Nikusihi tu na wewe uwe nalo.
 
ahahaha,,,,Bob Manson, sisi wababa wenye magari tuna mambo mengi ya kufanya. Nikusihi tu na wewe uwe nalo.
Hakika nami nitakuwa nalo, lakini hayo mambo mengi ni yapi mkuu? niyajue mapema kabla sijawa na gari
 
Hakika nami nitakuwa nalo, lakini hayo mambo mengi ni yapi mkuu? niyajue mapema kabla sijawa na gari
ahahaha,,,,sema sisi wababa wenye magari na tulio single, popote tunaongea. Hao walio oa labda uchunguzi wako ulianzia huko. Ila tuna mambo mengi
 
ahahaha,,,,sema sisi wababa wenye magari na tulio single, popote tunaongea. Hao walio oa labda uchunguzi wako ulianzia huko. Ila tuna mambo mengi
Nimekuelewa vyema, huenda kweli mambo ni mengi, lakini muwe makini msimamame katikati ya barabara au mbele ya mageti ya wengine.
 
Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.

Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?

Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.

Huwa mnafanya nini na hizo simu?
yako yamekushinda
 
Mimi sio kama nawachunguza mkuu, ila imekuwa kawaida nikipita jioni nakutana na wajomba wamesimama, na wengine tunapeana salamu kabisa...

Sasa huwa najiuliza kwanini wengi wao wanafanya hivyo, lazima ipo namna
We mdada

Unataka kupata nini ?
 
Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.

Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?

Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.

Huwa mnafanya nini na hizo simu?
ukiona wamesimama unaweza wauliza kwamakibu ya uhakika
 
Watakuwa wanablock number za wale "Samahani kukupigia ila nilikuwa tu nataka kujua kama umefika salama"wakati walishaambiwa usipige tena simu...
 
Back
Top Bottom