Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani mkuu kweli dakika tano zote unakuwa bado hujashuka mwenye chombo tu?Hapana nje ya nyumba bado sijajenga uzio
Nikutakie kila la kheri na uepushwe na kipigoSawa mkuu nitajaribu hilo
Kwamba wanakata mawasiliano kabisaWanaweka kindege
Ni approximateYani mkuu kweli dakika tano zote unakuwa bado hujashuka mwenye chombo tu?
Kwani wapi nimesema wake zao hawapendi hiyo tabia?Kawaambie wake zao ss
Basi wawe wanafuta wakiwa huko mbali, sio milangoni kwa watu, wanaziba njiaHuwezi kuelewa. Wanaishi na ma CIA wanakaguliwa WhatsApp Calls SMS kila kitu
Mtembea kwa miguu jibanebane utatosha bwana.Basi wawe wanafuta wakiwa huko mbali, sio milangoni kwa watu, wanaziba njia
Kama ni hivyo basi wengi wana mambo mengi ya kando, maana imekuwa kawaida sasa jioni magari kusimama bila sababuKufuta ushahidi labda 😄
Hilo nakataa, kwanini asiende ndani kwake ndyo aweke gari yake silencer?Dereva makini hazimi gari ghafla.
Gari ama chombo chochote cha moto kinahitaji kuwa silencer kwa muda kidogo ndipo kizimwe.
Hii ni kwa ajili ya matunzo ya injini haswa piston.
Kwa hiyo hukamia kuingia ndani kwa sababu ya kusubiri injini ipoe ndipo nizime na kuingia ndani.
Matumizi ya simu ni coinsidence tu.
Wanachukua tahadhari kabla mambo hayajawa magumu kwaoKwa jinsi ulivyoandika na kuisoma hii mada basi nikawa nawaza labda wanawaambia Malaya wao au sidechick kuwa ndio nimefika getini natuma msg ya mwisho kwako usipige wala kutuma maana sasa ni zamu ya wife 😄
Hilo nakataa, kwanini asiende ndani kwake ndyo aweke gari yake silencer?
Yani asimame katikati ya barabara au mbele ya mageti ya watu?
Dereva makini hasimamishi gari katikati ya barabara, tena zikiwa zimebaki hatua chache tu kufika mlangoni kwake.Dereva makini hatumii simu huku anaendesha gari, bali anapaki gari na kuanza kutumia simu.
Hiyo ndiyo tabia yangu Mimi. Simu ikiita huwa ninatafuta parking ninaegesha kwa dharura then ninasikiliza simu.
Kwa hiyo punguza kufuatilia maisha ya watu.