Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #41
Vipi kama na wenzao huko ndani nao wanajiandaa kufuta ili wakutwe nao wapo wasafi kama theluji?Asilimia kubwa ni kuwa wanaagana na micheps, wanafuta call logs na texts ili waingie ndani wakiwa wasafi kama theluji.