Wababa wenye magari, kwanini mnasimama kwa dakika kadhaa kabla ya kuingia majumbani mwenu?

Wababa wenye magari, kwanini mnasimama kwa dakika kadhaa kabla ya kuingia majumbani mwenu?

Dereva makini hasimamishi gari katikati ya barabara, tena zikiwa zimebaki hatua chache tu kufika mlangoni kwake.

Huwenda kila mtu ana sababu yake, na mimi nimeuliza kujua sababu mbalimbali.

Sifuatilii maisha ya mtu, hawa ni majirani zangu na kila siku tunaonana.
Sasa kwa kuwa ni majirani, na unaonana nao kila siku, ni kwanini usiwaulize?
 
Kwa wanaume baadhi yenu, anakuwa anamalizia kuongea/kuchat na mwanamke wake wa pembeni. Au mambo yake ya siri. Wengine Mr & Mrs wanatumia gari moja. Anajaribu kutoa ushahidi wa chochote asikamatwe.

Kwa wengine ni mazoea tu, hakuna baya lolote analofanya, huenda anaongea na washkaji au ndugu kwa simu. Mimi ndiyo nikipark ndani ya gate, naweza kaa dakika 10 na zaidi ndiyo nashuka. Huwa wanaogopa huenda nimepata tatizo, nashindwa kushuka but ni mazoea tu.
 
Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.

Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?

Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.

Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Kuna swala linaitwa CLEAR DATA and CLEAR CACHES ni muhimu sana!
 
Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.

Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?

Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.

Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Kufuta meseji zote tata.
 
Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.

Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?

Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.

Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Gari ni yangu lakini Walimwengu mnataka nishuke kama vile notoka kwa Mwendo Kasi au Daladala ya Mbagala.

Kwanini hamtaki raha kwa wenzenu?
 
Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.

Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?

Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.

Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Tunaweka mambo sawa
 
Huwezi kuelewa. Wanaishi na ma CIA wanakaguliwa WhatsApp Calls SMS kila kitu
Huyu wangu huwa si kila siku ni kuna siku tu ghafla anaamua anapitia kila sehemu meseji WhatsApp mpaka dm za mitandao ya kijamii. Ni kujiandaa kujitetea...

Now huwa nikishajibu text yeyote mahala popote nafuta hapo hapo.
 
Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.

Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?

Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.

Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Wanachunguza CCTV camera kuona yaliyotokea wakati wakiwa hawapo.
 
Kwa wanaume baadhi yenu, anakuwa anamalizia kuongea/kuchat na mwanamke wake wa pembeni. Au mambo yake ya siri. Wengine Mr & Mrs wanatumia gari moja. Anajaribu kutoa ushahidi wa chochote asikamatwe.

Kwa wengine ni mazoea tu, hakuna baya lolote analofanya, huenda anaongea na washkaji au ndugu kwa simu. Mimi ndiyo nikipark ndani ya gate, naweza kaa dakika 10 na zaidi ndiyo nashuka. Huwa wanaogopa huenda nimepata tatizo, nashindwa kushuka but ni mazoea tu.
Kweli Wengine ni mazoea tu, lakni kama ulivyosema ni heri wafanye hivyo wakiwa ndani ya mageti yao
 
Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.

Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?

Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.

Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Wanacheza game maana nyumbani watagombea kucheza na familia.
 
Back
Top Bottom