Wabongo Hawatumii Consultants vizuri ndio maana wengi wanafeli kwenye biashara


Hebu sema kidogo kuhusu network marketing business nione mtazamo wako[emoji848]
 

Hizi biashara zote 9 bado unazo?
Kwanini umekuwa ukibadilisha badilisha biashara
Umejifunza nini wewe binafsi kupitia biashara zako
 

Umeongea ukweli brother..

Kingine kinacholeta shida ni mtu kuwa consultant wa industries karibia zote kitu ambacho kidogo hakiwezekani labda awe mwenye experience na exposure kubwa mno au ana watu sahihi wa kumsaidia

Sawa na business plan tu, unakuta unaandikiwa na mtu ambaye hana uelewa wala udhoefu wa industry yako. Mwisho wa siku unaandikiwa maneno matamu yasiyo na uhalisia
 

Ni kweli mkuu, kuna baadhi ya consultants hufanyia kazi tamaa, anapokea kazi ambayo anajua hataimudu na matokeo yake anamtia hasara mteja wake na kuchafua taaluma yake pia.
 

Tofautisha kusoma na uwezo wa asili wa mtu.

Kusoma haswa elimu sahihi (course) kwa kiasi kikubwa inakurahisishia na kukupanulia wigo wa kutumia uwezo wako wa asili vizuri zaidi.. Hii hata experience ina kazi hiyo hiyo kiasi flani

Ila kusoma hakukuongezei uwezo wa asili kama kipaji mkuu.. ukipewa umepewa hata usipoingia darasa moja
 
Ni kweli mkuu, kuna baadhi ya consultants hufanyia kazi tamaa, anapokea kazi ambayo anajua hataimudu na matokeo yake anamtia hasara mteja wake na kuchafua taaluma yake pia.

Hiyo ndio ipo sana na ndio maana baadhi ya watu wanaamua kuchoma pesa kwenye business agencies ambazo yana facilities za kutosha.

Japo si kila mpango wa biashara lazma ufanikiwe ila kutumia watu binafsi wasio na track record nzuri kisa ni cheap. Ni risk zaidi
 

Mkuu unajua unachokiongelea. You are the best 👏👏👏👏
 
Naelewa mkuu, genius ni natural gift ndio maana ukiangalia kwenye comment yangu kila nilipolitumia neno hilo nimetumia quotation ('jiniasi'), nikimaanisha kwetu 'jiniasi' ni mtu ambaye ametumia muda wake mwingi kusoma vitu/level mbalimbali na pengine ana prefix titles kama Dr, Prof, Eng etc. bila kujali anachoweza kudeliver.
 
Mshauri mzuri wa biashara unayotaka kufanya ni yule ambae anaifanya biashara hiyo, ila hii ya PDF, PPT, kama matikiti sijui

Kwa sbb yeye atakwambia faida iko hapa na hasara inapatikana hapa, sehemu za kuchukua mzigo kitonga n.k
Pili badilisha changamoto iwe biashara hii ndo ya mwisho
 

Hiyo ndio reality mkuu

Kwa biashara nyingi za chini yaani SME's

Value = sales

Ukienda na gear nyingine ndio bhasi tena
 

Ni misconception zilizopo kwemye jamii zetu

Umeongea ukweli na nakubali brother
 
Tatizo lipo hapa

Kutafsiri neno la kiingereza kwenda kishwahili

1)Consultant -Mshauri(Anakuelekeza baadhi ya mambo ya kitaalamu Banking, Tax, Revenue nk)

2Mentor-Mshauri (Amefanikiwa katika unachofanya)

Wachangiaji wengi wameelewa vyengine wancahanganya MENTOR na CONSULTANT.

Humu wengi wamemtafsiri CONSULTANT kama MENTOR ndio wanasema kwanini hana Biashara.


 


Wasomi wa kizazi hiki bwana!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…