leta pichaUkikatisha mitaa ya Dar es salaam na Arusha naona vyuma kama BMW, Porche Cayenne, VW, Audi za kutosha.
Haya magari japo ni expensive kuyamaintain kwenye vipuri ila ulaji wake wa mafuta ni wa wastani kabisa kiasi kwamba kama wewe ni mtu wa safari na unajali muda na usalama, hizi ndo ndinga za maana. UZI.
Pijot 504Wewe unamiliki ipi kati ya hizo brand mkuu?
Enzi zile tunaziita Guluwe. Ila enzi zake hizi gari zilitesa sana.Pijot 504
Kabisa...ndio maana Mercedes Benz namba 'A' ukiifananisha na Passo yangu namba E au D hata outer shell unaona tofauti...European vehicles hata paint work yao ni next levelIla mziki wake kwenye service tu na ikipata ihtilafu
Ila inaweza kukaa mda mrefu sana barabarani ukiichunga
halafu zilikuwa stable sana na muungurumo wake wa kibabe .Enzi zile tunaziita Guluwe. Ila enzi zake hizi gari zilitesa sana.
Hii nakubali, body za european cars ni ngumu, rangi haifubai kirahisi, toyota kuna gari unakuta hadi body imetepeta.Kabisa...ndio maana Mercedes Benz namba 'A' ukiifananisha na Passo yangu namba E au D hata outer shell unaona tofauti...European vehicles hata paint work yao ni next level
Mchina ametuokoa sana na spare parts za kuchovya