N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
- Thread starter
- #141
Yaani kuna watu wana upopoma kwenye magari wanajifanya wanajua kumbe madalali njaa wa mjini, mmoja yupo kwenye sledi hii hapo juu magari hayajui anahororojoka tu[emoji1787][emoji1787]hawana tofauti na wale wanaodai gari inakimbia zaidi kwenye rough road kuliko kwenye lami.