Wabongo siku hizi wameamka, ndinga za Ulaya kama zote

Wabongo siku hizi wameamka, ndinga za Ulaya kama zote

hayo magari hayatumii spare parts ambazo sio orginal
Percentage error kwenye spare zake ni kwenye 0.005 hiyo huwezi foji/chonga
Utasubiri sana


1716910805848.png
 
NJE wamejazana Siku HIZI wanaenda km KWAO zamani ilikua mpaka Wazamie
Si kweli unaongea usichojua.
Ni wakati wa Nyerere wengi walikwenda nje na kuishi huko na magari yaliyokuwepo zamani ni ya ulaya tu.
Mercedes Benz,Land rover, Wolks wagen,Peugeot, Ford,Scania na Leyland.

Tatizo mliozaliwa 2000 huwa mnajiona mko mbeele sana kumbe mnafanya marudio tu
 
Miaka 2 ijayo UK magari yatakuwa rahisi sana kwani wanategemea kupiga marufuku magari ya petrol. Tutakuwa na magari ya 5G ambayo yanatumia umeme tu. Kwa sasa dunia inajiongeza katika kutafuta Betri bora za kudumu muda mrefu na rahisi kupokea charge. Hivyo hayo magari tununue kwa wingi tuje tuyafanyie modification washangae
 
Miaka 2 ijayo UK magari yatakuwa rahisi sana kwani wanategemea kupiga marufuku magari ya petrol. Tutakuwa na magari ya 5G ambayo yanatumia umeme tu. Kwa sasa dunia inajiongeza katika kutafuta Betri bora za kudumu muda mrefu na rahisi kupokea charge. Hivyo hayo magari tununue kwa wingi tuje tuyafanyie modification washangae
Utashangaa ushuru wa TRA sasa.
 
Mimi nipo US. BMW zinatakiwa kuwapo za kila hali mpaka teksi.

Tatizo watu wakitaka kuleta viwanda Bongo siasa nyingi.

Wajerumani walitaka kuanzisha kiwanda cha kutengeneza Volkswagen Tanzania, za umeme, serikali ikawaletea danadana nyingi za kisiasa. Wakaona huu ujinga.

Wakaenda Rwanda, wakapata ushirikiano mzuri wa serikali, wakaanzisha kiwanda huko.

Rwanda halikuwa chaguo lao la kwanza, walitaka kiwanda kiwe Tanzania, ila Tanzania tunapenda kujizibia fursa tu.

Kweli, ila mkuu nilimsikiliza yule CeO wao, anasema their first priority is for local market,na akasema kuwa purchasing power ya Tanzania ni ndogo mno kuweza kuwa customer base yao,so waka choose Rwanda for a geographical location, kwamba kwanza rwanda inawapa favor kwenye running cost, pia wana market sheet nzuri,so wakiwa hapo wataweza kuiuzia africa bidhaa yao bila beurocracy za kiserikali, hence wakachagua rwanda,nisahihishe nilipokosea mkuu.
 
Zile hata barabara ikiwa na lami tupu, ukiweka matuta tu yale ya speedbumps umeharibu kabisa.
images

Kabisa mkuu.
Imagine chuma kama hii maserati mc20 cielo, convertible,milango inafunguka kwenda juu, speed kama ndege, mbele ina buti na nyuma ina buti sijui engine imewekwa wapi, mwendo ni kama upepo.

Bongo kuna matajiri wa kuzivuta hizi gari sie wengine tuwe hata tukiziona tupige picha lakini ndio hivyo, barabara hovyo...
 
Hizi zako zote ni hoja mpya ambazo hazishabihianì na hoja yangu. Ukiziweka kama hoja mpya na kuzitolea ufafanuzi tunduizi wa kitaalamu na wenye weledi utakuwa umetisha! Karibu tupate madini mtaalamu
1.) Umesema gari za ulaya zina ulaji mzuri wa mafuta. Kwamba Audi Q6 ya ulaya, tuseme labda yenye CC 3000, ile mafuta kidogo kuliko Premio ya Japan yenye CC 1450?

2.) Umesema usalama, kwamba BMW ya ulaya labda, yenye Airbags, inakuwa salama kuliko Toyota ya Japan yeye Airbags pia? Na ABS na vinginevyo?

3.) Umesema zinaokoa muda, kwamba zitaenda kasi zaidi ya Japan, zaidi ya 180km/hr ambayo ndio limit ya Japanese? Kwa barabara zipi?
 
Kweli, ila mkuu nilimsikiliza yule CeO wao, anasema their first priority is for local market,na akasema kuwa purchasing power ya Tanzania ni ndogo mno kuweza kuwa customer base yao,so waka choose Rwanda for a geographical location, kwamba kwanza rwanda inawapa favor kwenye running cost, pia wana market sheet nzuri,so wakiwa hapo wataweza kuiuzia africa bidhaa yao bila beurocracy za kiserikali, hence wakachagua rwanda,nisahihishe nilipokosea mkuu.
Hayo matatizo yote chanzo ni bureaucracy ya serikali.

Purchasing power ya watu serikali inazuia mpaka watu kulipwa mitandaoni. Serikali si tu inaleta bureaucracy kwenye fursa zilizopo, inafunga mpaka fursa ambazo watu wanajitafutia wenyewe kwenye mitandao. Vijana hawana ajira, fine, wakijitafutia ajira mitandaoni, serikali inakataza watu kupokea malipo kwa PayPaly. Mpaka watu wanapitisha malipo Kenya kwa an extra 30%.

Umesema Rwanda inawapa favor kwenye running cost. Tanzania hawajui ku compete kuvutia wawekezaji. Ndiyo bureaucracy hiyo. Hatujiongezi kwenda na wakati.

Tatizp kubwa ni political will na vision. Nia na maono. Hatuna nia wala maono katika uongozi wetu.

Sisi tunaweka sheria za mwaka 1947 halafu hatutaki kubadikisha. Elon Must kataka kuleta internet ya satellite tunamlazimisha awe na ofisi Tanzania, katika dunia hii ya mtandao. Watu wanatushangaa.

Hayo mengine yote nchi mdogo kama Rwanda haiwezi kutushinda
 
Hayo matatizo yote chanzo ni buteaucracy ya serikali.

Purchasing power ya watu srikali inazuia mpaka watu kulipwa mitandaoni. Serikali si tu inaleta bureaucracy kwenye fursa zilizopo, inafunga mpaka fursa ambazo watu wanajitafutia wenyewe kwenye mitandao. Vijana hawana ajira, fine, wakijitafutia ajira mitandaoni, serikali inakataza watu kupokea malipo kwa PayPaly. Mpaka watu wanapitisha malipo Kenya kwa an extra 30%.

Umesema Rwanda inawapa favor kwenye running cost. Tanzania hawajui ku compete kuvutia wawekezaji. Ndiyo bureaucracy hiyo. Hatujiongezi kwenda na wakati.

Tatizp kubwa ni political will na vision. Nia na maono. Hatuna nia wala maono katika uongozi wetu.

Sisi tunaweka sheria za mwaka 1947 halafu hatutaki kubadikisha. Elon Must kataka kuleta internet ya satellite tunamlazimisha awe na ofisi Tanzania, katika dunia hii ya mtandao. Watu wanatushangaa.

Hayo mengine yote nchi mdogo kama Rwanda haiwezi kutushinda
Inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom