Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzio anazungumzia Q7 ya 2018 na kuendelea, Q5 zimejaa kuliko Dualis.😂😂 mwambie mad max atoke huko Dar ambako hamna Q5
Ok okkMwenzio anazungumzia Q7 ya 2018 na kuendelea, Q5 zimejaa kuliko Dualis.
Bongo BMW tu mpaka ufisadi wakuu?Ningepata nafasi ya ufisadi ningenunua BMW. Pesa ya kuiba kwa kalamu ni tamu na nyingi.
Kama wewe ni dereva utajua gari ina matter. Huwezi kulinganisha handling ya Audi Q5 na Toyota Rav5 au Hilux na Amarok ni mbingu na ardhi.Halafu katika suala la udereva huwa ni stamina tu na roho ya mtu
Q7 umbo lake kama toyota nadiaKusimulia siwezi mkuu, ila utainjoi. Pia ni engine imara.
Sio Q7 tu kuna aina tofauti. Zile za zamani zimejaa,hii latest model ziko chache. Dar kubwa kuna mitaa ukikaa gari fulani huzioni arusha ndogo gari hata ikiwa moja mtaiona kila mahali.Ok okk
Lakini hata Q7 zipo.. abadili anakotembelea ataziona 🤣
Hallelujah broarusha ndogo gari hata ikiwa moja mtaiona kila mahali.
Nice 👍🙂 picture location ipo fresh sana
Ha ha ha nilijua wazee wa Toyopet mtaanza nongwa.Q7 umbo lake kama toyota nadia
Majority ya hizo zingekuwa zinapatikana kihalali, haina shida, lakini, nyuma ya huo, ukwasi, kuna wengi wamefukarishwaUkikatisha mitaa ya Dar es salaam na Arusha naona vyuma kama BMW, Porsche Cayenne, VW, Audi za kutosha.
Haya magari japo ni expensive kuyamaintain kwenye vipuri ila ulaji wake wa mafuta ni wa wastani kabisa kiasi kwamba kama wewe ni mtu wa safari na unajali muda na usalama, hizi ndo ndinga za maana.
Kabisa mkuu,ni nadia iliyochangamkaHa ha ha nilijua wazee wa Toyopet mtaanza nongwa.
Atakuwa kaendesha zile za chris lukosiUlishawahi kuendesha Range Sport SVR?
Kuna RR moja nimeiona weekend mishikio yake ya mikono inajificha ndani. DahUlishawahi kuendesha Range Sport SVR?
Nadhani ni velar lakini hata sport hivi sasa zinakuwa hivyo.Kuna RR moja nimeiona weekend mishikio yake ya mikono inajificha ndani. Dah
Vogue mpya 2023, Velar from 2019,Evoque from 2019 vitasa vinazama kwemye mlango. Uki unlock vinatokaKuna RR moja nimeiona weekend mishikio yake ya mikono inajificha ndani. Dah
Mafuta,? hata kama ina CC kubwa? Usalama hata ksma tairi ni kipara? Muda kwamba utatembea zaidi ya 180kph ya Japanese?Ukikatisha mitaa ya Dar es salaam na Arusha naona vyuma kama BMW, Porsche Cayenne, VW, Audi za kutosha.
Haya magari japo ni expensive kuyamaintain kwenye vipuri ila ulaji wake wa mafuta ni wa wastani kabisa kiasi kwamba kama wewe ni mtu wa safari na unajali muda na usalama, hizi ndo ndinga za maana.