Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana umeacha mnyama Volvo, everest etcUkikatisha mitaa ya Dar es salaam na Arusha naona vyuma kama BMW, Porsche Cayenne, VW, Audi za kutosha.
Haya magari japo ni expensive kuyamaintain kwenye vipuri ila ulaji wake wa mafuta ni wa wastani kabisa kiasi kwamba kama wewe ni mtu wa safari na unajali muda na usalama, hizi ndo ndinga za maana.
Kabisa kuna mshua ana ML namba B ukiicheki inang'aa sana na hajarudia rangi ila sasa ukija haya mat*ko ya nyani namba 'D' kitu kimetepeta kama ndizi za mbegeHii nakubali, body za european cars ni ngumu, rangi haifubai kirahisi, toyota kuna gari unakuta hadi body imetepeta.
European vehicles zina comply na OEM standards ukiweka feki unalipaki siku mbili tu ndio wale utasikia magari ya ulaya ogopa kumbe kapeleka kwa akina fundi maiko wazee wa kubypass kila kitu...taa za nyuma toa zinapunguza performance ya gari, thermostat hii ya kutoa mshua ni ya nchi za baridi...ukiweka michina utafurahi na nafsi yako...midude kama Audi,BMW,Benz,Volvo,Porsche nk inataka ufuate recommended part...BM kwa mfano wanashauri hata brand ya engine oil unayopaswa kutumia, wanapendekeza tyre brands nk sasa wewe jiwekee tu kwenye X3 yako tairi za Guangdong tyres kesho tutaimba 'haleluya tutaonana...'Hahaha. Mchina analisha soko la magereji. Hajui kuwa baada ya mileage kadhaa kama huagizi parts mwenyewe nje utakiwa unaendesha hybrid ya europa na mchina ndani ya gari moja
Nilishaondoka kule kitambo...watu wa matoyota wengi Toyota imeshakuwa dini huwaambii kitu...bora admin aifute sledi yenyewe badala ya kupeleka kuleHii habari ipelekwe JF Garage ukutane na spana za mafundi uchwara walokunywa maji ya bendera ya Toyota
Kwani hizi hujaziona road hapa Dar?
Nimeona 3, na 5 hii sijaona. Linavutia afu kubwa.Kwani hizi hujaziona road hapa Dar?
Kuna parts za ujanja ujanja ukiweka kutokana na perfomance ya hizi EU cars inaweza kuwa hatari, imagine mtu anaweka parts za kichina kwenye mifumo ya breki mfano brake pads kwenye gari ina nguvu, nzito na ina mwendo kama SUV za europe halafu dereva yupo mwendo.European vehicles zina comply na OEM standards ukiweka feki unalipaki siku mbili tu ndio wale utasikia magari ya ulaya ogopa kumbe kapeleka kwa akina fundi maiko wazee wa kubypass kila kitu...taa za nyuma toa zinapunguza performance ya gari, thermostat hii ya kutoa mshua ni ya nchi za baridi...ukiweka michina utafurahi na nafsi yako...midude kama Audi,BMW,Benz,Volvo,Porsche nk inataka ufuate recommended part...BM kwa mfano wanashauri hata brand ya engine oil unayopaswa kutumia, wanapendekeza tyre brands nk sasa wewe jiwekee tu kwenye X3 yako tairi za Guangdong tyres kesho tutaimba 'haleluya tutaonana...'
Zipo, najua watu wawili wanazo moja white na ingine blackNimeona 3, na 5 hii sijaona. Linavutia afu kubwa.
Hivi hii chuma huwa ina maajabu yeyote, ila naiona kubwa balaa.
mwananchama wa ccm umechoka na hapo unaona ndio maendeleo wakati kwenu shule,maji na hospitali hakunaUkikatisha mitaa ya Dar es salaam na Arusha naona vyuma kama BMW, Porsche Cayenne, VW, Audi za kutosha.
Haya magari japo ni expensive kuyamaintain kwenye vipuri ila ulaji wake wa mafuta ni wa wastani kabisa kiasi kwamba kama wewe ni mtu wa safari na unajali muda na usalama, hizi ndo ndinga za maana.
Unaweza kuthibitisha hii kauli yako, au umeamua kuja kuhororojoka hapa baada ya kushiba makande yasiyo na chumvi ili udhihirishe upopoma ulionao kichwani. Haya thibitisha wewe unaenijua vizuri.mwananchama wa ccm umechoka na hapo unaona ndio maendeleo wakati kwenu shule,maji na hospitali hakuna
Hii uipate 3.0TDi si mchezo.Hivi hii chuma huwa ina maajabu yeyote, ila naiona kubwa balaa.
Full sized.
Gari kwanza, shule na hospital huwezi tembea Km100 kwa mguumwananchama wa ccm umechoka na hapo unaona ndio maendeleo wakati kwenu shule,maji na hospitali hakuna
Nikiipata hii naweka personalized number plate.Zipo, najua watu wawili wanazo moja white na ingine black