Wabongo siku hizi wameamka, ndinga za Ulaya kama zote

Wabongo siku hizi wameamka, ndinga za Ulaya kama zote

Ukikatisha mitaa ya Dar es salaam na Arusha naona vyuma kama BMW, Porsche Cayenne, VW, Audi za kutosha.

Haya magari japo ni expensive kuyamaintain kwenye vipuri ila ulaji wake wa mafuta ni wa wastani kabisa kiasi kwamba kama wewe ni mtu wa safari na unajali muda na usalama, hizi ndo ndinga za maana.
Sana umeacha mnyama Volvo, everest etc
 
Hahaha. Mchina analisha soko la magereji. Hajui kuwa baada ya mileage kadhaa kama huagizi parts mwenyewe nje utakiwa unaendesha hybrid ya europa na mchina ndani ya gari moja
European vehicles zina comply na OEM standards ukiweka feki unalipaki siku mbili tu ndio wale utasikia magari ya ulaya ogopa kumbe kapeleka kwa akina fundi maiko wazee wa kubypass kila kitu...taa za nyuma toa zinapunguza performance ya gari, thermostat hii ya kutoa mshua ni ya nchi za baridi...ukiweka michina utafurahi na nafsi yako...midude kama Audi,BMW,Benz,Volvo,Porsche nk inataka ufuate recommended part...BM kwa mfano wanashauri hata brand ya engine oil unayopaswa kutumia, wanapendekeza tyre brands nk sasa wewe jiwekee tu kwenye X3 yako tairi za Guangdong tyres kesho tutaimba 'haleluya tutaonana...'
 
Nitaleta Audi Q7 mambo yakikaa..

Audi_Q7_3.0_TDI_quattro_S-line_(II)_–_Frontansicht,_3._Januar_2016,_Düsseldorf.jpg


Sijui ata nisemeje

1280px-2018_Audi_Q7_TDi_V6_Quattro_3.0_Interior.jpg
 
European vehicles zina comply na OEM standards ukiweka feki unalipaki siku mbili tu ndio wale utasikia magari ya ulaya ogopa kumbe kapeleka kwa akina fundi maiko wazee wa kubypass kila kitu...taa za nyuma toa zinapunguza performance ya gari, thermostat hii ya kutoa mshua ni ya nchi za baridi...ukiweka michina utafurahi na nafsi yako...midude kama Audi,BMW,Benz,Volvo,Porsche nk inataka ufuate recommended part...BM kwa mfano wanashauri hata brand ya engine oil unayopaswa kutumia, wanapendekeza tyre brands nk sasa wewe jiwekee tu kwenye X3 yako tairi za Guangdong tyres kesho tutaimba 'haleluya tutaonana...'
Kuna parts za ujanja ujanja ukiweka kutokana na perfomance ya hizi EU cars inaweza kuwa hatari, imagine mtu anaweka parts za kichina kwenye mifumo ya breki mfano brake pads kwenye gari ina nguvu, nzito na ina mwendo kama SUV za europe halafu dereva yupo mwendo.
 
Ukikatisha mitaa ya Dar es salaam na Arusha naona vyuma kama BMW, Porsche Cayenne, VW, Audi za kutosha.

Haya magari japo ni expensive kuyamaintain kwenye vipuri ila ulaji wake wa mafuta ni wa wastani kabisa kiasi kwamba kama wewe ni mtu wa safari na unajali muda na usalama, hizi ndo ndinga za maana.
mwananchama wa ccm umechoka na hapo unaona ndio maendeleo wakati kwenu shule,maji na hospitali hakuna
 
mwananchama wa ccm umechoka na hapo unaona ndio maendeleo wakati kwenu shule,maji na hospitali hakuna
Unaweza kuthibitisha hii kauli yako, au umeamua kuja kuhororojoka hapa baada ya kushiba makande yasiyo na chumvi ili udhihirishe upopoma ulionao kichwani. Haya thibitisha wewe unaenijua vizuri.
 
Back
Top Bottom