Wabongo siku hizi wameamka, ndinga za Ulaya kama zote

Wabongo siku hizi wameamka, ndinga za Ulaya kama zote

Hivi hii chuma huwa ina maajabu yeyote, ila naiona kubwa balaa.

Full sized.
Ukiziweka kwenye category moja kwa sababu zote ni higher performance SUVs...Audi Q7 ni kweli ni jumba haswa lakini ndo mbabe wa mbio namba 2 kwa hao wote baada ya mbabe BMW X5 mwenye maximum ya 523 horsepower, Q7 anakupa horsepower kubwa ya hadi 500...kwa hiyo ukiacha vigezo vingine kama tutatumia kigezo cha horsepower peke yake...kati ya BMW X5, AUDI Q5 na AUDI Q7, x5 ataongoza atafuatiwa na Q7 then bwana mdogo Q5 atakuja awafuate Kaka zake hao wawili...Q5 yeye anakupa maximum ya 362 HP
 
Ukiziweka kwenye category moja kwa sababu zote ni higher performance SUVs...Audi Q7 ni kweli ni jumba haswa lakini ndo mbabe wa mbio namba 2 kwa hao wote baada ya mbabe BMW X5 mwenye maximum ya 523 horsepower, Q7 anakupa horsepower kubwa ya hadi 500...kwa hiyo ukiacha vigezo vingine kama tutatumia kigezo cha horsepower peke yake...kati ya BMW X5, AUDI Q5 na AUDI Q7, x5 ataongoza atafuatiwa na Q7 then bwana mdogo Q5 atakuja awafuate Kaka zake hao wawili...Q5 yeye anakupa maximum ya 362 HP
Aisee, huwa naona ni gari flani ya officials na matajiri, ualnakuta tajiri anaendeshwa tu. Kumbe na mbio limo.

Basi ni gari nzuri.
 
Ukikatisha mitaa ya Dar es salaam na Arusha naona vyuma kama BMW, Porsche Cayenne, VW, Audi za kutosha.

Haya magari japo ni expensive kuyamaintain kwenye vipuri ila ulaji wake wa mafuta ni wa wastani kabisa kiasi kwamba kama wewe ni mtu wa safari na unajali muda na usalama, hizi ndo ndinga za maana.
Bongo kama ulaya
 
Ukikatisha mitaa ya Dar es salaam na Arusha naona vyuma kama BMW, Porsche Cayenne, VW, Audi za kutosha.

Haya magari japo ni expensive kuyamaintain kwenye vipuri ila ulaji wake wa mafuta ni wa wastani kabisa kiasi kwamba kama wewe ni mtu wa safari na unajali muda na usalama, hizi ndo ndinga za maana.
Shukrani zote ziende kwa Boss wetu CHRISS LUKOSI. The Big Boss kwa kuleta magar ya expensive kwa Bei Ya kitonga.
#Kazi n kipimo cha Utu.
 
Back
Top Bottom