Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Mchina ametuokoa sana na spare parts za kuchovya
hayo magari hayatumii spare parts ambazo sio orginal
Percentage error kwenye spare zake ni kwenye 0.005 hiyo huwezi foji/chonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchina ametuokoa sana na spare parts za kuchovya
Katika SUV nshaona ni kubwa ni hii Q7 ni mzinga wa kitu.Hii uipate 3.0TDi si mchezo.
Ukiziweka kwenye category moja kwa sababu zote ni higher performance SUVs...Audi Q7 ni kweli ni jumba haswa lakini ndo mbabe wa mbio namba 2 kwa hao wote baada ya mbabe BMW X5 mwenye maximum ya 523 horsepower, Q7 anakupa horsepower kubwa ya hadi 500...kwa hiyo ukiacha vigezo vingine kama tutatumia kigezo cha horsepower peke yake...kati ya BMW X5, AUDI Q5 na AUDI Q7, x5 ataongoza atafuatiwa na Q7 then bwana mdogo Q5 atakuja awafuate Kaka zake hao wawili...Q5 yeye anakupa maximum ya 362 HPHivi hii chuma huwa ina maajabu yeyote, ila naiona kubwa balaa.
Full sized.
Kusimulia siwezi mkuu, ila utainjoi. Pia ni engine imara.Katika SUV nshaona ni kubwa ni hii Q7 ni mzinga wa kitu.
Mkuu hio 3.0TDi ina maajabu yapi?
Aisee, huwa naona ni gari flani ya officials na matajiri, ualnakuta tajiri anaendeshwa tu. Kumbe na mbio limo.Ukiziweka kwenye category moja kwa sababu zote ni higher performance SUVs...Audi Q7 ni kweli ni jumba haswa lakini ndo mbabe wa mbio namba 2 kwa hao wote baada ya mbabe BMW X5 mwenye maximum ya 523 horsepower, Q7 anakupa horsepower kubwa ya hadi 500...kwa hiyo ukiacha vigezo vingine kama tutatumia kigezo cha horsepower peke yake...kati ya BMW X5, AUDI Q5 na AUDI Q7, x5 ataongoza atafuatiwa na Q7 then bwana mdogo Q5 atakuja awafuate Kaka zake hao wawili...Q5 yeye anakupa maximum ya 362 HP
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asiombe nikaweka na mifuko miwili ya saruji iliyoganda pale kibebeoni nafyatuka kama high performance SUV tu the likes of BMW au Audi
Bongo kama ulayaUkikatisha mitaa ya Dar es salaam na Arusha naona vyuma kama BMW, Porsche Cayenne, VW, Audi za kutosha.
Haya magari japo ni expensive kuyamaintain kwenye vipuri ila ulaji wake wa mafuta ni wa wastani kabisa kiasi kwamba kama wewe ni mtu wa safari na unajali muda na usalama, hizi ndo ndinga za maana.
Tuoneshe picture 🤣😁Why Dar?
Hata huku zipo shaziii
Mad Max atawatesa wa dar
Huku za wajomba zipo tunapiga nazo picha 😂😂
RefuuNimeona 3, na 5 hii sijaona. Linavutia afu kubwa.
.Tuoneshe picture 🤣😁
Zimejaa chief zinaburizwa kinomaNimeona 3, na 5 hii sijaona. Linavutia afu kubwa.
Kunywa kabisa🤣🤣Yooo 😂😂😂 namesa mateeeee
😂😂 mwambie mad max atoke huko Dar ambako hamna Q5Kunywa kabisa🤣🤣
Shukrani zote ziende kwa Boss wetu CHRISS LUKOSI. The Big Boss kwa kuleta magar ya expensive kwa Bei Ya kitonga.Ukikatisha mitaa ya Dar es salaam na Arusha naona vyuma kama BMW, Porsche Cayenne, VW, Audi za kutosha.
Haya magari japo ni expensive kuyamaintain kwenye vipuri ila ulaji wake wa mafuta ni wa wastani kabisa kiasi kwamba kama wewe ni mtu wa safari na unajali muda na usalama, hizi ndo ndinga za maana.
Amesema Q7 ndiyo hajazion ila 5 na 3 anapishana nazo kibao Mad Max😂😂 mwambie mad max atoke huko Dar ambako hamna Q5