Labda kama unazungumzia DSTV ya NyamuswaDStv hawana channel ya uhd/4k wana HD peke yake na ni chache. Nyingi ni SD
Nafahamu packages na pay tv nyingi za nje na ndani. Nyingi nimeshazitumia, beIN sports uwe unaangalia moja kwa moja toka Satellites zao wanazorushia (7w/8w/25w) ndio utaona ubora wao sio hizo za kwenye cable TV.
Kumbe wewe nawe wa juzi, dstv toka tunalipia kwa Dola mpaka Leo bado tupo. Kuna siku nilihama sasa huwa na kawaida ya kufungiwa dish na mafundi wa dstv wenyewe sio hawa kanjanja WA mtaani. Jamaa lishangaa sana aliniuliza weee mzee hili dish umepata wapi? Ya kitambo sana.Salamu nishamuachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Butiama (Nyamuswa),kwangu ukisuburi salamu uenda utasubiri hadi jiwe ligeuke kuwa Dhahabu!
Tukiwa kwa watu tumawaponda sana DSTV ila tukiwa makwetu kusonya,kunung'unika na kuwasagia kunguni Azam ni jambo la kawaida!
Mimi Binafsi siwezi kuwaacha DSTV kwasababu wana kila kitu ninachokihitaji!.DSTV siyo kwa ajili ya Masikini ( Hoehae) bali ni kwa ajili ya watu wenye Vipato vya kati na wenye uwezo (Matajiri),hawa jamaa bahati nzuri wamejenga standards zao ambazo haziwezi kufutika leo wala kesho!
Tatizo la AZAM wamekaa ki-Local sana na kwenye King'amuzi Chao hakuna cha maana zaidi ya Uswahili na Udini!.
Mimi binafsi sijawahi kusumbuliwa na DSTV kwasababu pia natumia king'amuzi cha PREMIUM ambacho kina kila kitu ninachohitaji!.
King'amuzi cha AZAM ukipitia nyuzi kadhaa humu members wanalalamika kuhusu remote zake na huduma mbovu wanazopata kutoka kwa huduma kwa wateja!.
DSTV atabaki the Best KING'AMUZI Kutoka kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko hao AZAM wenye Uswahili na Udini kila Uchwao ambao members kadhaa wameendelea kuwalalamikia hapa!.
Tangu ninunue DSTV leo no mwaka wa 7 na sijawahi kuona remote yao ikisumbua,hayo mambo ya kusumbua kwa remote ni mambo ya uswahili wa AZAM,Acheni wa Ushuani tuenjoy Good Life kutoka DSTV
Turututututututuuuuuuu!!!!!!!!!Acheni wa Ushuani tuenjoy Good Life kutoka DSTV
DSTV na AZAM wote ni wapuuzi tu
Wanaolalamika Azam Wana udini wao ndiyo Wana udini.ukitulia na kuangalia vizuri Azam Wana channels nyingi za dini ya kikristo kuliko kiislamu,anaebisha ntarudi hapa kumuorodheshea channels za kiislamu dhidi ya channels za kikristoMalalamiko ya Azam ni udini, wengi wanalaumu kugemea udini wakati hawajasajiliwa kama kituo cha dini.
Pess ninazo mkuu sema dstv wanaondoa sana channel
- Kama una hela DSTV ndiyo ya kutumia
- Kama hauna hela Azam, Startimes na Zuku ndiyo chaguo.
Udini na uswahili unao wewe ndo maana hata mwandiko umekaa kiswahili swahiliSalamu nishamuachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Butiama (Nyamuswa),kwangu ukisuburi salamu uenda utasubiri hadi jiwe ligeuke kuwa Dhahabu!
Tukiwa kwa watu tumawaponda sana DSTV ila tukiwa makwetu kusonya,kunung'unika na kuwasagia kunguni Azam ni jambo la kawaida!
Mimi Binafsi siwezi kuwaacha DSTV kwasababu wana kila kitu ninachokihitaji!.DSTV siyo kwa ajili ya Masikini ( Hoehae) bali ni kwa ajili ya watu wenye Vipato vya kati na wenye uwezo (Matajiri),hawa jamaa bahati nzuri wamejenga standards zao ambazo haziwezi kufutika leo wala kesho!
Tatizo la AZAM wamekaa ki-Local sana na kwenye King'amuzi Chao hakuna cha maana zaidi ya Uswahili na Udini!.
Mimi binafsi sijawahi kusumbuliwa na DSTV kwasababu pia natumia king'amuzi cha PREMIUM ambacho kina kila kitu ninachohitaji!.
King'amuzi cha AZAM ukipitia nyuzi kadhaa humu members wanalalamika kuhusu remote zake na huduma mbovu wanazopata kutoka kwa huduma kwa wateja!.
DSTV atabaki the Best KING'AMUZI Kutoka kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko hao AZAM wenye Uswahili na Udini kila Uchwao ambao members kadhaa wameendelea kuwalalamikia hapa!.
Tangu ninunue DSTV leo no mwaka wa 7 na sijawahi kuona remote yao ikisumbua,hayo mambo ya kusumbua kwa remote ni mambo ya uswahili wa AZAM,Acheni wa Ushuani tuenjoy Good Life kutoka DSTV
Hii nakubishia mkuu, maswala ya hali ya hewa yanawaathiri woteAzam ninaipenda kwa ajili ya LIGI KUU BARA na zile channel za dini ( Joy gospel Tv, Upendo tv et al), nje ya hapo ni upuuzi mtupu.
Kukiwa na wingu juu kidogo tu ni chenga tupu tofauti ni baba lao DSTV
Ni chuki tu za wagalatia lakini hakuna udini wowoteMalalamiko ya Azam ni udini, wengi wanalaumu kugemea udini wakati hawajasajiliwa kama kituo cha dini.
Nashangaa hawa wajinga wanaropokwa tu,Uzuri n kwamba azam anaingiza pesa nyingi kuliko huyo DStv kwa hapa Tanzania
Kabla hujajiona mjinga zaidi. Kwa uwezo wa komwe lako hilo unadhani Dstv na Azam unaweza kulinganisha? Azam kwa Tanzania NI sawa na Dstv kwa South Africa. Swali je? Nje ya nchi hizi, subscribers wa Azam na Dstv Hali ikoje? Nenda Tu Kenya Uganda ambako Azam na Dstv wote wako Nani mbabe? Achilia mbali Nigeria hukoNashangaa hawa wajinga wanaropokwa tu,
DStv ana miaka mingapi sokoni na Azam ana mingapi? Mtoto hawezi kukua siku moja fala wewe pili hakuna aliyekushikia bunduki uwe na Azam, tatu huyo Yusuf kauzidi ukoo wenu wote kwa utajiri sasa unahangaika nini kuja kumponda huku?Kabla hujajiona mjinga zaidi. Kwa uwezo wa komwe lako hilo unadhani Dstv na Azam unaweza kulinganisha? Azam kwa Tanzania NI sawa na Dstv kwa South Africa. Swali je? Nje ya nchi hizi, subscribers wa Azam na Dstv Hali ikoje? Nenda Tu Kenya Uganda ambako Azam na Dstv wote wako Nani mbabe? Achilia mbali Nigeria huko
Kwahiyo ulipolinganisha Azam na Dstv akili zako uliziweka Mata.Koni.DStv ana miaka mingapi sokoni na Azam ana mingapi? Mtoto hawezi kukua siku moja fala wewe pili hakuna aliyekushikia bunduki uwe na Azam, tatu huyo Yusuf kauzidi ukoo wenu wote kwa utajiri sasa unahangaika nini kuja kumponda huku?
Nasikia ukikutwa na Canal unashtakiwa na wenye DSTV,Mimi natumia canal napata Kila kitu nachotaka