Wabongo tuache unafiki wa kumkandia DSTV na Kumpa sifa AZAM wakati huohuo hao AZAM huko majumbani kwetu tunabaki kuwalaumu na kulalamika kwa huduma mb

Wabongo tuache unafiki wa kumkandia DSTV na Kumpa sifa AZAM wakati huohuo hao AZAM huko majumbani kwetu tunabaki kuwalaumu na kulalamika kwa huduma mb

Labda kam
DStv hawana channel ya uhd/4k wana HD peke yake na ni chache. Nyingi ni SD

Nafahamu packages na pay tv nyingi za nje na ndani. Nyingi nimeshazitumia, beIN sports uwe unaangalia moja kwa moja toka Satellites zao wanazorushia (7w/8w/25w) ndio utaona ubora wao sio hizo za kwenye cable TV.
Labda kama unazungumzia DSTV ya Nyamuswa
 
Unless iwe kichwa panzi ila kama una akili huwezi kufananisha Azam na Dstv hata kidogo.
Zaidi ya mpira wa kibongo Azam hakuna cha maana labda uwe beki 3 kuangalia mitamthilia ya kipumbavu iliyotafsiriwa.
 
Salamu nishamuachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Butiama (Nyamuswa),kwangu ukisuburi salamu uenda utasubiri hadi jiwe ligeuke kuwa Dhahabu!



Tukiwa kwa watu tumawaponda sana DSTV ila tukiwa makwetu kusonya,kunung'unika na kuwasagia kunguni Azam ni jambo la kawaida!

Mimi Binafsi siwezi kuwaacha DSTV kwasababu wana kila kitu ninachokihitaji!.DSTV siyo kwa ajili ya Masikini ( Hoehae) bali ni kwa ajili ya watu wenye Vipato vya kati na wenye uwezo (Matajiri),hawa jamaa bahati nzuri wamejenga standards zao ambazo haziwezi kufutika leo wala kesho!

Tatizo la AZAM wamekaa ki-Local sana na kwenye King'amuzi Chao hakuna cha maana zaidi ya Uswahili na Udini!.

Mimi binafsi sijawahi kusumbuliwa na DSTV kwasababu pia natumia king'amuzi cha PREMIUM ambacho kina kila kitu ninachohitaji!.

King'amuzi cha AZAM ukipitia nyuzi kadhaa humu members wanalalamika kuhusu remote zake na huduma mbovu wanazopata kutoka kwa huduma kwa wateja!.


DSTV atabaki the Best KING'AMUZI Kutoka kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko hao AZAM wenye Uswahili na Udini kila Uchwao ambao members kadhaa wameendelea kuwalalamikia hapa!.

Tangu ninunue DSTV leo no mwaka wa 7 na sijawahi kuona remote yao ikisumbua,hayo mambo ya kusumbua kwa remote ni mambo ya uswahili wa AZAM,Acheni wa Ushuani tuenjoy Good Life kutoka DSTV
Kumbe wewe nawe wa juzi, dstv toka tunalipia kwa Dola mpaka Leo bado tupo. Kuna siku nilihama sasa huwa na kawaida ya kufungiwa dish na mafundi wa dstv wenyewe sio hawa kanjanja WA mtaani. Jamaa lishangaa sana aliniuliza weee mzee hili dish umepata wapi? Ya kitambo sana.
 
Malalamiko ya Azam ni udini, wengi wanalaumu kugemea udini wakati hawajasajiliwa kama kituo cha dini.
Wanaolalamika Azam Wana udini wao ndiyo Wana udini.ukitulia na kuangalia vizuri Azam Wana channels nyingi za dini ya kikristo kuliko kiislamu,anaebisha ntarudi hapa kumuorodheshea channels za kiislamu dhidi ya channels za kikristo
 
Salamu nishamuachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa huko Butiama (Nyamuswa),kwangu ukisuburi salamu uenda utasubiri hadi jiwe ligeuke kuwa Dhahabu!



Tukiwa kwa watu tumawaponda sana DSTV ila tukiwa makwetu kusonya,kunung'unika na kuwasagia kunguni Azam ni jambo la kawaida!

Mimi Binafsi siwezi kuwaacha DSTV kwasababu wana kila kitu ninachokihitaji!.DSTV siyo kwa ajili ya Masikini ( Hoehae) bali ni kwa ajili ya watu wenye Vipato vya kati na wenye uwezo (Matajiri),hawa jamaa bahati nzuri wamejenga standards zao ambazo haziwezi kufutika leo wala kesho!

Tatizo la AZAM wamekaa ki-Local sana na kwenye King'amuzi Chao hakuna cha maana zaidi ya Uswahili na Udini!.

Mimi binafsi sijawahi kusumbuliwa na DSTV kwasababu pia natumia king'amuzi cha PREMIUM ambacho kina kila kitu ninachohitaji!.

King'amuzi cha AZAM ukipitia nyuzi kadhaa humu members wanalalamika kuhusu remote zake na huduma mbovu wanazopata kutoka kwa huduma kwa wateja!.


DSTV atabaki the Best KING'AMUZI Kutoka kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko hao AZAM wenye Uswahili na Udini kila Uchwao ambao members kadhaa wameendelea kuwalalamikia hapa!.

Tangu ninunue DSTV leo no mwaka wa 7 na sijawahi kuona remote yao ikisumbua,hayo mambo ya kusumbua kwa remote ni mambo ya uswahili wa AZAM,Acheni wa Ushuani tuenjoy Good Life kutoka DSTV
Udini na uswahili unao wewe ndo maana hata mwandiko umekaa kiswahili swahili
 
Azam ninaipenda kwa ajili ya LIGI KUU BARA na zile channel za dini ( Joy gospel Tv, Upendo tv et al), nje ya hapo ni upuuzi mtupu.

Kukiwa na wingu juu kidogo tu ni chenga tupu tofauti ni baba lao DSTV
Hii nakubishia mkuu, maswala ya hali ya hewa yanawaathiri wote
 
Nashangaa hawa wajinga wanaropokwa tu,
Kabla hujajiona mjinga zaidi. Kwa uwezo wa komwe lako hilo unadhani Dstv na Azam unaweza kulinganisha? Azam kwa Tanzania NI sawa na Dstv kwa South Africa. Swali je? Nje ya nchi hizi, subscribers wa Azam na Dstv Hali ikoje? Nenda Tu Kenya Uganda ambako Azam na Dstv wote wako Nani mbabe? Achilia mbali Nigeria huko
 
Kabla hujajiona mjinga zaidi. Kwa uwezo wa komwe lako hilo unadhani Dstv na Azam unaweza kulinganisha? Azam kwa Tanzania NI sawa na Dstv kwa South Africa. Swali je? Nje ya nchi hizi, subscribers wa Azam na Dstv Hali ikoje? Nenda Tu Kenya Uganda ambako Azam na Dstv wote wako Nani mbabe? Achilia mbali Nigeria huko
DStv ana miaka mingapi sokoni na Azam ana mingapi? Mtoto hawezi kukua siku moja fala wewe pili hakuna aliyekushikia bunduki uwe na Azam, tatu huyo Yusuf kauzidi ukoo wenu wote kwa utajiri sasa unahangaika nini kuja kumponda huku?
 
DStv ana miaka mingapi sokoni na Azam ana mingapi? Mtoto hawezi kukua siku moja fala wewe pili hakuna aliyekushikia bunduki uwe na Azam, tatu huyo Yusuf kauzidi ukoo wenu wote kwa utajiri sasa unahangaika nini kuja kumponda huku?
Kwahiyo ulipolinganisha Azam na Dstv akili zako uliziweka Mata.Koni.
 
Back
Top Bottom