Sikubalian na wewe, kwamba kutoboa marekani ni ngumu, Si Sahihi, watu wanaenda na Visitor Visa kama wale machalii ya R, hawarudi huwezi toboa, kazi utafanyaje mzee unaishi maisha ya "Cash Jobs" hatari
Ingia hizo nchi na vibali utatoboa asubuh kweupe sana
Mfano
Unalipwa $19(hizi ni kazi za wabeba box) kwa saa unafanya masaa 50 kwa wiki, $3800 kwa mwezi ukitoa kodi $3300 kwa mwezi unaishi chumba cha $750(included everythings) unakula $300 kwa mwezi, hivi upo peke ako unashindwaje kutoboa
ACHENI KUSAMBAZA UONGO WAZEE, hizi nchi kama unaponda bata hapa hela yao haina thaman kwao, Ukichange kwa madafu wewe TAJIRI