min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kwa kila njia mkuuNoti chafu kivipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kila njia mkuuNoti chafu kivipi?
Ukihitaji salamu nenda pwani kwa waswahili,kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku!
Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.
Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.
Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.
Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.
Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.
Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.
Wabongo wengi wanaoishi Marekani na Canada waliofanikiwa huwa ni kuanzia Umri wa Miaka 50 - na Kuendelea,hawa ndiyo angalau huwa wamejenga makwao na hata hujitahidi kuprovide kwenye familia zao.
Ila hawa wenzangu na mie kuanzia miaka 25 - 45 huwa hawana cha maana zaidi ya blah blah na ngonjera kibao huku kila muda wakipiga simu na kusimanga serikali na kuwakashifu ndugu kana kwamba wanaishi kwenye vyoo!.
Wengine tunawafahamu wamekwenda huko miaka ya 90 lakini hadi leo ni kuzurura tu hawana paper!.
Any way:
Ukitaka kuona walivyo na hasira,wewe soma comments!
Mi nakuelewa kabisa mkuu.Mkuu kuna mmoja juzi katoka Marekani ni mshikaji wetu kitaani yaani jamaa kachoka utadhani alikuwa gerezani,Amefika kuona nina drive Bima(BMW) anabaki kunishangaa na kunipa masifa kibao!
hiki ndo kimefanya nimeandika uzi!
Napenda sana hizi story,😂.Kuna jamaa nilimuacha sehemu, sitaki kupataja sababu tulikuwa tunafanya shughuli za kialifu so mara kwa mara tulikuwa tukikamatwa
Hiyo life sikuipenda ilibidi nirudi afrika
Nikajichanga vizuri na vipesa nilivyorudi navyo kiukweli nilikuwa mtu wa furaha tofuti na uko uzunguni
Jamaa yangu alivyorudi akanikuta ninamaisha yangu poa kabisa nina kiusafiri na na tv kubwa nchi 65 nina mke wa kiswahili anamkia wa maana, na vitoto yan vifaida vya ndoa viwili
Super marker kama Ulaya
Jamaa hakuvumilia akaapa
Dah yanini kurudi kule na maisha haya mzee?!
Nami kiukweli nitafia apa apa nyumban na uzee wangu mzuri baada ya maangaiko
Samahanini mambo mengi nimeficha sababu kama nilivyokwisha ieleza hapo mwanzo, sio sifa nzuri niadithie life mbovu kufundisha vijana wenye mawazo mazuri ya kutafuta maisha ughaibuni
Kama ndivyo basi itakuwa mtu mwenye kudhani hivyo atakuwa na matatizo ya kiakili
Mleta mada umeongea ukweli.
80% ya walio nchi hizo ulizotaja hali zao kiuchumi si za kuridhisha
Mna ndugu na jamaa huko kama case study
Bongo bana, mwana unakuta anabwata na gari ya yenye kajampia mjepo viti basi yeye anaona ananyonga mbweta mpyaaa! Umaskini waheeed huoKongole. Huyu jamaa ni wale wajinga wajinga wanaonunua haya magari mtumba ya mjapana na wanaona wamemaliza kila kitu. Dunia ya leo unaona kuendesha gari ndiyo mafanikio? Kila sehemu kuna wenye mafanikio na wasiyo na mafanikio.
Vipi kuhusu walioenda nchi za uarabuni. Mbona hukuwataja?Ukihitaji salamu nenda pwani kwa waswahili,kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku!
Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.
Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.
Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.
Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.
Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.
Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.
Wabongo wengi wanaoishi Marekani na Canada waliofanikiwa huwa ni kuanzia Umri wa Miaka 50 - na Kuendelea,hawa ndiyo angalau huwa wamejenga makwao na hata hujitahidi kuprovide kwenye familia zao.
Ila hawa wenzangu na mie kuanzia miaka 25 - 45 huwa hawana cha maana zaidi ya blah blah na ngonjera kibao huku kila muda wakipiga simu na kusimanga serikali na kuwakashifu ndugu kana kwamba wanaishi kwenye vyoo!.
Wengine tunawafahamu wamekwenda huko miaka ya 90 lakini hadi leo ni kuzurura tu hawana paper!.
Any way:
Ukitaka kuona walivyo na hasira,wewe soma comments!
Daah nimecheka sana mkuu😂mbona mie nipo marekani na nikirudi tz sivai miwani za kuchomelea mageti..
Mkuu hivi wabongo unawajua au unawasikia?Hapana.
Mafanikio ya mwenzako hayawezi kufanana na yako.
Kila mtu anavipaombele vyake.
Ukishalijua hili huwezi kuwashangaa.
Ninakuambia kuna Watu ukiwakea pesa au Pombe watachagua pombe
Kuna Watu ukiwawekea Pesa au Mungu watachagua pesa na kuacha mungu. Na wapo kinyume chao
Nataka niende Afghanistan au Iran nikatafute maisha. Nipe connection mkuuKwa hali ilivyo sasa kutoboa Marekani ni vigumu sana. Haki za mfanyakazi ni ndogo na pia mfumo wa bima ya afya ni mbovu. Ujerumani ni nchi nzuri sana lakini mpaka uje ujiseti inabidi upate cheti cha huku huku na ujue lugha. Huku malipo yako poa na mfanyakazi unalindwa sana. Kwa kumalizia mimi naona ukishafanya kazi kwa miaka mitano ukawa na experience ya kutosha kwenye field yako Bora urudi Bongo. Maana kama una mtaji unaweza hata ukaanzisha biashara yako.
Mkuu Uarabuni hakuna cha Maana sana zaidi ya Kunywa chai tu!Vipi kuhusu walioenda nchi za uarabuni. Mbona hukuwataja?
Mkuu hivi wabongo unawajua au unawasikia?
Ni mbongo gani aliyeko Marekani ambaye hapendi Maujiko?
Sema ndiyo hivyo wanamaisha Magumu lakini si vipaumbele mkuu,Hakuna mbongo aliyesota kwenye Maisha magumu halafu uniambie afanikiwe akose Gari kali,Nyumba nzuri na demu mkali,hayupo!.
Le Mutuz pamoja na kuishi kote Marekani almost 30 years lakini alichorudi nacho bongo ni Cheni ya Aluminium pamoja na Mapensi makubwa!Ndio hao Wamarekani wabongo wazee wa macheni na kuslang
Huko si ndiko kuna dini ya haki? Wanaupendo, kazi nje nje na hawadhulumu watu.Mkuu Uarabuni hakuna cha Maana sana zaidi ya Kunywa chai tu!
Nakielewa.Ndugu yangu baada ya mama kufariki ilitumika nguvu sana kumleta msibani. Maana aliondoka tangu mwaka 97.
Baada ya msiba ilibidi atafutiwe kazi nzuri ili abaki nyumbani akafanya miezi miwili akatimka
Na kilichomuondoa alikuwa anajihisi aibu.
Kwa hali ilivyo sasa kutoboa Marekani ni vigumu sana. Haki za mfanyakazi ni ndogo na pia mfumo wa bima ya afya ni mbovu. Ujerumani ni nchi nzuri sana lakini mpaka uje ujiseti inabidi upate cheti cha huku huku na ujue lugha. Huku malipo yako poa na mfanyakazi unalindwa sana. Kwa kumalizia mimi naona ukishafanya kazi kwa miaka mitano ukawa na experience ya kutosha kwenye field yako Bora urudi Bongo. Maana kama una mtaji unaweza hata ukaanzisha biashara yako.
Sasa kinakuuma nini na wanasema, hata hapa JF nimewahi kuona "ni bora ukawe mbwa ulaya kuliko kuwa binadam Tanzania".Kinachoniuma ni namna naona watanzania wenzetu ambavyo wanataabika huko nje wakati wenzao Tina maisha mazuri tu hapa nyumbani
Huku Ulaya ukiishapata kazi ni rahisi sana kujisahau unaanza kuiona Euro kama Tshs.Kwa hiyo anataka kusema Tanzania huku watu wana save vizuri kuliko Germany ? Tatizo la ku save sio dogo...