Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Tv kubwa nchi 65 .Umenichekesha.Mimi nikajua labda una kiwanda hata cha kutengeneza vifungashio na umeajiri watu 30.Sasa TV nayo ya kulingia jamani.
Ndio ni kichekesho lakini ni maisha mazuri tofauti na yale tuliyokuwa tunaishi huko
Sijamaanisha ni maendeleo makubwa ingekuwa nasifia maendele ninhekuwa hata na kiwanda cha samaki pale mwanza, au kiwanda cha kuchambua pamba
Mchizi karudi hana kitu kaja kuanza maisha, kaacha mpaka mtoto
Kuna wanaorudi na visukari tu na stress kibao
Naridhika sababu maisha yanasonga bila vurugu mpaka sasa
Mambo mengine ni taratibu za nilivyojipangia siwezi sema miradi yangu inayonipa kuishi my be baadae naweza kusema mradi wangu kama kutakuwa na umuhimu huo
Nilichoongea ni mfano tu, kwani hata watoto kwnin usicheke mbona vitoto viwili tu, nilidhani una watoto hata kumi?!!
Sababu chochote unauwezo wa kukosoa mkuu hata kiwe kimekamilika,ila ukiamua unaweza kukosoa
Jamaa yangu alistajabu hali aliyonikuta nayo(ndio hivyo tu)
 
Punguza hasira nipo Ujerumani anachokiongea mtoa mada ni ukweli mtupu. Kuna waafrika wakifika huku wanajisahau. Mtu unamaliza chuo unapata kazi unalipwa 4000 Euros. Unatafuta apartment kubwa halafu huna mke . Unaanza kuiga wazungu unatumia madawa na kusafiri kila summer.Mwisho wa siku unakuta hio hela unabakia kusave Euro 6000 kwa mwaka. Ukirudi Bongo Hohe hahe. Nasoma masters ila nimekutana na watanzania analipwa vizuri. Lakini matumizi yao kama wamezaliwa ulaya. Yaani hadi unga wanavuta na wanafanya kazi kama kawaida. It is a huge culture shock, I don't judge. Lakini ni vigumu watu kama hawa kufanya vitu vikubwa nyumbani.
Sina hasira hata kidogo ndugu yangu. Uwe Ujerumani au Tanzania au Japani, mfano ulioutoa una-relation gani na hoja ya mwanzisha thread? Ku-save vs matumizi ni tatizo lililopo kila sehemu na sioni kipya!
 
Mkuu kwa namna wanavyoficha atathubutu kukwambia shughuli anayoifanya huko?

Ni rahisi kujua earnings za mtu aliye US kwa walau kujua shughuli anazofanya...

Mimi nadhani wengi wa waliopigika inatokana na kufanya shughuli zenye kipato kidogo kuendekeza starehe na kutotaka kujiendeleza...

US ni mahali ukiwa na akili ya maisha na bidii, unatoboa na ukibweteka ukitegemea kuflip burgers utaishia kupata pesa ya kucover bills tu...
 
Ni rahisi kujua earnings za mtu aliye US kwa walau kujua shughuli anazofanya...

Mimi nadhani wengi wa waliopigika inatokana na kufanya shughuli zenye kipato kidogo kuendekeza starehe na kutotaka kujiendeleza...

US ni mahali ukiwa na akili ya maisha na bidii, unatoboa na ukibweteka ukitegemea kuflip burgers utaishia kupata pesa ya kucover bills tu...
Na haya ndiyo maisha ya wabongo wengi waishio huko
 
W
Ahahaha mkuu ukweli lazima usemwe ili mbadirike muwajali wazazi wenu,acha kujifariji na hoja za kipumbavu!
Wengi wanarudi wamechoka sio uongo,nina mjomba wangu sasa hivi ni marehemu na alienda akiwa msomi wa Cpa,alikiri kuwa wengi wanawadanganya kuwa maisha ni mazuri sana!Uhalisia hauko hivyo ndo maana mmoja wa mabondia maarufu kutoka ukrine katika wale mapacha(Krichko)ni,daktari bingwa wa magonjwa hela haitoshi kaamua kuwa bondia!sasa wewe utoke bongo ndo utoboe ndo maana mnarudi sura zimekosa nuru!Labda upelekwe na serikali hata uwe mtunza bustani.
 
Kuna mtu tulisoma naye kaenda us, kaja likizo Cha maana Hamna Cha kushangaza, kutwa kutafuta classmate kupiga nao picha hatuoni Cha msaada alichowapa Wala Nini, michango yenyewe tunayosaidiana anayotoa Kama tunayotoa sisi tuliokuwa huku tu na Kuna watu wapo huku wanamzidi dau la utoaji, ulichoongea kweli.
Kwani nyie omba omba mpka mpewe misaada? Wabongo mna vituko sana
 
Sasa unga wanaovuta hapa Bongo ni wazungu ?
Ndio culture shock niliyoikuta huku yaani Berlin mtu anavuta cocaine na anafanya kazi fresh. Kuna mavitu kama ketamine na kadhalika. Nilishangaa sana nilienda huko two weeks ago nilialikwa. Aisee huku Ulaya ukiwa haujielewi ni rahisi kupotea mazima. Kwenye Maclub watu wanaenda vyooni kutumia madawa. Kuna wengine ni malecturer, majaji na ma Engineer wakubwa tu. Sasa unakuta waafrika wamejitahidi wamepata kazi nzuri wanaingia kwenye mfumo huu. Hawa wazungu wakifia kwenye kiapartment ni kawaida kwao. Mwisho unakuta miaka inaenda haujajenga back home 🏠 unaishi kwenye apartment ulaya.
 
Hiyo reasoning ni ya msomi wa master, watanzania wana wadudu kichwani trust me, na hapo bado anasema Marekani ina maisha magumu kuliko Ujerumani. Sijui hiyo case study kafanyia wapi?

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Mkuu wewe utakuwa na matatizo ya akili!

Aliyesema Marekani ina maisha magumu kuliko Germany nani?

Hivi kweli Umesoma Mada au Umekurupuka baada ya kuona maneno yamekuchoma?
 
Hiyo reasoning ni ya msomi wa master, watanzania wana wadudu kichwani trust me, na hapo bado anasema Marekani ina maisha magumu kuliko Ujerumani. Sijui hiyo case study kafanyia wapi?

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Marekani ya leo unaweza ukafanya kazi zaidi ya tatu na ukashindwa make ends meet. Do your own research. Ukiumwa ulipelekwa hospitali na ambulance ni dola 10000. Kama hauna bima ya afya inayoweza kucover matibabu yako unawekwa kwa life support lakini hautibiwi. Leta uthibitisho kubwa niliyoyasema ni ya uongo !!
 
Ndio culture shock niliyoikuta huku yaani Berlin mtu anavuta cocaine na anafanya kazi fresh. Kuna mavitu kama ketamine na kadhalika. Nilishangaa sana nilienda huko two weeks ago nilialikwa. Aisee huku Ulaya ukiwa haujielewi ni rahisi kupotea mazima. Kwenye Maclub watu wanaenda vyooni kutumia madawa. Kuna wengine ni malecturer, majaji na ma Engineer wakubwa tu. Sasa unakuta waafrika wamejitahidi wamepata kazi nzuri wanaingia kwenye mfumo huu. Hawa wazungu wakifia kwenye kiapartment ni kawaida kwao. Mwisho unakuta miaka inaenda haujajenga back home 🏠 unaishi kwenye apartment ulaya.
Hata hapa Dar watu wanatumia madawa ya kulevya na ni ma Dr,mawaziri maenigneer n.k
 
Hao unaosema wengi wao amekurupuka, mbona kuna wengi sana wanaishi maisha mazuri tu.

Ujitqkankuish8 vizuri nchi uizo wachana kabisa kuwa karibu na wabongo na magenge yasiyo na maana.

Nawashauri wanaokwenda huko,.kama hawana mipango thabiti na ya uhakika basi wakaanzie maisha miji midogo midogo ambayo haina wabongo.
Ushauri mzuri
 
Marekani ya leo unaweza ukafanya kazi zaidi ya tatu na ukashindwa make ends meet. Do your own research. Ukiumwa ulipelekwa hospitali na ambulance ni dola 10000. Kama hauna bima ya afya inayoweza kucover matibabu yako unawekwa kwa life support lakini hautibiwi. Leta uthibitisho kubwa niliyoyasema ni ya uongo !!
Sasa kama ndivyo!,unawezaje kuishi huko?,Kwanini wasirudi Bongo nchi yenye Maziwa na Asali?
 
Hiyo reasoning ni ya msomi wa master, watanzania wana wadudu kichwani trust me, na hapo bado anasema Marekani ina maisha magumu kuliko Ujerumani. Sijui hiyo case study kafanyia wapi?

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Marekani kutoboa ni vigumu watu wanadanganywa. Marekani ya 2023 sio kama ya zamani. Kuna mambo mengi sana ningeweza kuongea lakini ukikaa na kufanya research utagundua.
 
Kinachoniuma ni namna naona watanzania wenzetu ambavyo wanataabika huko nje wakati wenzao Tina maisha mazuri tu hapa nyumbani
Wewe utakuwa mchawi , wewe amba hata umeme na maji shida umamuonea huruma mtu aliyeko marekani?
Wewe ambae ukistaafu unakaa siku chache unapata depression unakufa halafu unasema unamuonea huruma mtu aliyeko marekani kuwa serious bwana, mimi nipo bongo ila nitakuwa mnafki nikisema sitaki kwenda marekani nikipata fursa au channel ya maisha, napenda watoto wangu wapate elimu bora sio kutongozwa na malecture wetu vyuo vya bongo halafi mtoto akimaliza chuo anatangatanga tu ,
 
Back
Top Bottom