Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Kwa hali ilivyo sasa kutoboa Marekani ni vigumu sana. Haki za mfanyakazi ni ndogo na pia mfumo wa bima ya afya ni mbovu. Ujerumani ni nchi nzuri sana lakini mpaka uje ujiseti inabidi upate cheti cha huku huku na ujue lugha. Huku malipo yako poa na mfanyakazi unalindwa sana. Kwa kumalizia mimi naona ukishafanya kazi kwa miaka mitano ukawa na experience ya kutosha kwenye field yako Bora urudi Bongo. Maana kama una mtaji unaweza hata ukaanzisha biashara yako.
Umewahi kuishi Marekani?

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Pana vitu mnachanganya sana Nchi zilizoendelea zina fursa kuliko Nchi zetu kwa hiyo kuwa huko sio kigezo cha wewe kuendelea kama haujitumi na hujui umefata nini huko kupata mafanikio au Mtaji Nchi za Ulaya ni rahisi kuliko Nchi zetu labda ushikwe Mkono lakini Nchi zilizoendelea unaweza kujipa malengo ufanye nini baada ya muda fulani kuferi kwa baadhi ya watoto wa Mama isiwe case study ya mnachoongea maana wengi ya wanaojituma huko wapo vizuri sana na pia kwa kuwa hawatoi password kirahisi ndio maana wengi wanafurahi kudhani inawezekana asilimia kubwa wapo choka mbaya kumbe sio kweli...
 
Wewe upeo wako wa kupambanua mambo ni mdogo. Na unaweza kukuta hilo BMW ni haya mamitumba waliyoendesha wajapani au waarabu wakayachoka na wewe ukaletewa. Watu wakijibina hapo Bongo wewe utawapa ajira? Tatizo lako unadhani ni kila anayekwenda Marekani anafanikiwa.
Punguza hasira nipo Ujerumani anachokiongea mtoa mada ni ukweli mtupu. Kuna waafrika wakifika huku wanajisahau. Mtu unamaliza chuo unapata kazi unalipwa 4000 Euros. Unatafuta apartment kubwa halafu huna mke . Unaanza kuiga wazungu unatumia madawa na kusafiri kila summer.Mwisho wa siku unakuta hio hela unabakia kusave Euro 6000 kwa mwaka. Ukirudi Bongo Hohe hahe. Nasoma masters ila nimekutana na watanzania analipwa vizuri. Lakini matumizi yao kama wamezaliwa ulaya. Yaani hadi unga wanavuta na wanafanya kazi kama kawaida. It is a huge culture shock, I don't judge. Lakini ni vigumu watu kama hawa kufanya vitu vikubwa nyumbani.
 
Ndugu yangu baada ya mama kufariki ilitumika nguvu sana kumleta msibani. Maana aliondoka tangu mwaka 97.
Baada ya msiba ilibidi atafutiwe kazi nzuri ili abaki nyumbani akafanya miezi miwili akatimka
Na kilichomuondoa alikuwa anajihisi aibu.
Kila Mtu anaishi Sehemu a anayopenda
 
Punguza hasira nipo Ujerumani anachokiongea mtoa mada ni ukweli mtupu. Kuna waafrika wakifika huku wanajisahau. Mtu unamaliza chuo unapata kazi unalipwa 4000 Euros. Unatafuta apartment kubwa halafu huna mke . Unaanza kuiga wazungu unatumia madawa na kusafiri kila summer.Mwisho wa siku unakuta hio hela unabakia kusave Euro 6000 kwa mwaka. Ukirudi Bongo Hohe hahe. Nasoma masters ila nimekutana na watanzania analipwa vizuri. Lakini matumizi yao kama wamezaliwa ulaya. Yaani hadi unga wanavuta na wanafanya kazi kama kawaida. It is a huge culture shock, I don't judge. Lakini ni vigumu watu kama hawa kufanya vitu vikubwa nyumbani.
Mkuu ukiona wanachukia wewe elewa sindano yenye dawa imegusa mfupa!
 
Ndugu yangu baada ya mama kufariki ilitumika nguvu sana kumleta msibani. Maana aliondoka tangu mwaka 97.
Baada ya msiba ilibidi atafutiwe kazi nzuri ili abaki nyumbani akafanya miezi miwili akatimka
Na kilichomuondoa alikuwa anajihisi aibu.

Punguza hasira nipo Ujerumani anachokiongea mtoa mada ni ukweli mtupu. Kuna waafrika wakifika huku wanajisahau. Mtu unamaliza chuo unapata kazi unalipwa 4000 Euros. Unatafuta apartment kubwa halafu huna mke . Unaanza kuiga wazungu unatumia madawa na kusafiri kila summer.Mwisho wa siku unakuta hio hela unabakia kusave Euro 6000 kwa mwaka. Ukirudi Bongo Hohe hahe. Nasoma masters ila nimekutana na watanzania analipwa vizuri. Lakini matumizi yao kama wamezaliwa ulaya. Yaani hadi unga wanavuta na wanafanya kazi kama kawaida. It is a huge culture shock, I don't judge. Lakini ni vigumu watu kama hawa kufanya vitu vikubwa nyumbani.
Sasa unga wanaovuta hapa Bongo ni wazungu ?
 
Punguza hasira nipo Ujerumani anachokiongea mtoa mada ni ukweli mtupu. Kuna waafrika wakifika huku wanajisahau. Mtu unamaliza chuo unapata kazi unalipwa 4000 Euros. Unatafuta apartment kubwa halafu huna mke . Unaanza kuiga wazungu unatumia madawa na kusafiri kila summer.Mwisho wa siku unakuta hio hela unabakia kusave Euro 6000 kwa mwaka. Ukirudi Bongo Hohe hahe. Nasoma masters ila nimekutana na watanzania analipwa vizuri. Lakini matumizi yao kama wamezaliwa ulaya. Yaani hadi unga wanavuta na wanafanya kazi kama kawaida. It is a huge culture shock, I don't judge. Lakini ni vigumu watu kama hawa kufanya vitu vikubwa nyumbani.
MAISHA ni kuishi vizuri ikiwemo kula Bata acha watu waishi vizuri
 
Ukihitaji salamu nenda pwani kwa waswahili,kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku!

Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.

Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.

Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.

Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.

Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.

Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.

Wabongo wengi wanaoishi Marekani na Canada waliofanikiwa huwa ni kuanzia Umri wa Miaka 50 - na Kuendelea,hawa ndiyo angalau huwa wamejenga makwao na hata hujitahidi kuprovide kwenye familia zao.

Ila hawa wenzangu na mie kuanzia miaka 25 - 45 huwa hawana cha maana zaidi ya blah blah na ngonjera kibao huku kila muda wakipiga simu na kusimanga serikali na kuwakashifu ndugu kana kwamba wanaishi kwenye vyoo!.


Wengine tunawafahamu wamekwenda huko miaka ya 90 lakini hadi leo ni kuzurura tu hawana paper!.

Any way:

Ukitaka kuona walivyo na hasira,wewe soma comments!
Hao unaosema wengi wao amekurupuka, mbona kuna wengi sana wanaishi maisha mazuri tu.

Ukitaka kuishi vizuri nchi hizo, wachana kabisa kuwa karibu na wabongo na magenge yasiyo na maana.

Nawashauri wanaokwenda huko, kama hawana mipango thabiti na ya uhakika basi wakaanzie maisha miji midogo midogo ambayo haina wabongo.
 
Back
Top Bottom