Madwari Madwari
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 1,825
- 3,085
Aisee hii mimi sijawahi kuona labda kwa waziri maana anateuliwa. Lakini katika maisha yangu yote ya Tanzania. Walioanza kuvuta unga waliishia kuwa mateja na kuharibu maisha yao.Hata hapa Dar watu wanatumia madawa ya kulevya na ni ma Dr,mawaziri maenigneer n.k