Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wengine hivyo vizinga sasa halafu kila dakika in new york this in Miami that
 
Brother unaongezeka mambo ya miaka mitatu iliyopita. Leo hii watu wana taaluma zao US lakini inabidi wafanye kazi mbili to get by. Mimi naongelea current situation (2023). Hadi wamarekani wanakimbilia Scandinavian country sio poa.
 
La kuwakwepa wabongo ukiwa nje nakupa maua ustadhati.
Unakuta mtu yuko ulaya hana rafiki mzungu hata mmoja na wabongo wa nje wengi wao majungu na kuchomana.
 
Kinachoniuma ni namna naona watanzania wenzetu ambavyo wanataabika huko nje wakati wenzao Tina maisha mazuri tu hapa nyumbani
Well said mkuu.
Mimi naamini Tz ukiwa na uhakika wa basic needs ni kuzuri kuliko popote duniani so abroad ukoenda atleast ukirudi hata usipokua tajiri uwe tu na maisha standard uta enjoy sana.
 
Brother unaongezeka mambo ya miaka mitatu iliyopita. Leo hii watu wana taaluma zao US lakini inabidi wafanye kazi mbili to get by. Mimi naongelea current situation (2023). Hadi wamarekani wanakimbilia Scandinavian country sio poa.

Unapofika nchi kama marekani/Canada/Uk kwanza unatakiwa ujue wapinzani wako ni kina nani, Usiende na kidegree chako cha UDSM na GPA yako ya 4.5 ukadhani watakushobokea mzee, USIENDE HIZO NCHI KUTAKA KUFANYA KAZI ULIYOSOMEA, UKIBAHATIKA KUIPATA "shukuru" pili ukipata jua UJIRA ni mdogo

Mtoto wa "High school" anafanya kazi bank ambazo CRDB wao wanaajiri mwenye GPA ya 4.0

Usijilinganishe na mzawa wa hizo nchi hata siku moja

Kazi zenye malipo zipo nyingi sana, ambazo haziitaji elimu
 
Hajasema watu wasiende marekani.bali.ameshauri mtu ukienda usijisahau miaka ikaenda huna la maana umefanya mkuu.

Halafu mtoa mada nina uhakika kaishi Scandnavia.Kuna neno katumia wanalitumia watu wa huko
 
Sasa Brother kama ni hivyo si bora mtu ukaja Ujerumani. Maana huku ukija na cheti chako ufanyiwa training ya wiki sita then unaanza kazi. Na kuna uhaba wa skilled labour. Changamoto ni lugha tu.
 
Hata hapa nilipo ni popote,sijui unazingumzia popote ipi Binti Maringo
We jamaa mshari sana! Wenzako wanaongea kwa fact! Sehemu huijui! Hujawahi kufika! Hali ya kiuchumi, fedha, tamaduni na maisha mengine huijui zaidi ya kusoma na kusikia alafu unaambiwa unaleta matusi... ukubwa huambatana na ustaarab, hekma na busara.

Eti nauli za kuja zinawashinda... HAHAHA! dahh!... kweli nauamini ule msemo usemao "Usikizungumze usicho na elimu wala ujuzi nacho"

Hupajui Marekani wala Canada, kaa kimya wacha kelele... jidanganye hivyohivyo walio huko hawana hela na wana maisha magumu 😀
 
Hajasema watu wasiende marekani.bali.ameshauri mtu ukienda usijisahau miaka ikaenda huna la maana umefanya mkuu.

Halafu mtoa mada nina uhakika kaishi Scandnavia.Kuna neno katumia wanalitumia watu wa huko
Nchi yoyote ukienda bila ya makaratasi utateseka, lakini watu naowafahamu walioenda marekani they are doing very good , ukiacha wachache ambao labda kwa namna moja au nyingine hawana discipline na huwezi kulinganisha mtu wa scandinavia na usa kwa kipato , marekani wapo juu kwenye malipo na living standards
 
Sasa Brother kama ni hivyo si bora mtu ukaja Ujerumani. Maana huku ukija na cheti chako ufanyiwe training ya wiki sita then unaanza kazi. Na kuna uhaba wa skilled labour. Changamoto ni lugha tu.

Hata America ishu ni lugha, kingereza tunachoongea sio kingereza, ndio maana profesa yalimshinda

Pili, pathways za PR za nchi nyingine ni ngumu sana, kwenda kuishi kwa ujanja ujanja si vizuri
 
Brother unaongezeka mambo ya miaka mitatu iliyopita. Leo hii watu wana taaluma zao US lakini inabidi wafanye kazi mbili to get by. Mimi naongelea current situation (2023). Hadi wamarekani wanakimbilia Scandinavian country sio poa.
Mmarekani akimbilie Scandinavian labda mmarekani wa USA River Arusha

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…