Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Kwanza ulipata mme ??




Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Kivumbi leooooo!!! 😂😂😂
Haya sisy Pridah unaitwa kamu zisi wei eti unaulizwa “Mume ulipata?”
 
Shemeji narudi ngoja niongeze balimi nyingine kwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna sehemu nilikua nakutafuta naona mbona simuoni huyu vipi tena, kumbe upo huku kunogesha[emoji23][emoji23]

Endelea kunogesha and be happy, mida mida kidogo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
🤣🤣🤣🤣 usinishindwe bhana!!!
Hebu nikanyooshe nguo za baby kwanza kesho ana meeting na tajiri TUKANA UONE
Asije kukosa wawekezaji bure 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Heeee kumbe tupo wawili na huniambii ukimaliza kunyoosha huko uwahi na huku 😄
 
Dada una jeuri ss hivi hata Samvula chole hutaki kuja eti wewe ushavuka level za kucheza vanga kweli??? 😂😂😂
Mkoleni umesusa kuja kufunda wali kisa umempata tajiri TUKANA UONE na nasikia shem anataka kuinunua Simba ashindane na GSM 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Ha haaaahaaaa kwenye Vanga msiniache Kwa namna yeyote Ile....Leo naona uko una Hype peke Yako shangazi Yako Shunie umemuacha wapi?
 
Hili ndilo tatizo la vijana wasiokuwa na uhakika na kesho yake!

Matusi ya nini kijana?Au hujala!
Wacha sifa we mshamba, wenye hela hawajinadi namna hiyo.

Humu kuna kina Ridhwaan kikwete, kina Bashungwa, kina Bakhresa Jr's, wajukuu wa Asas, kina Abdiel Mengi na vigogo kibao! Ila hawajishaui kama wewe mpumbavu na kiakaunti chako cha salary account cha CRDB... au unajisemesha uwaoshee majimama humu?! Huna lolote mwanetu we ni KENGE tu!
 
Back
Top Bottom