Wabongo wengi wanapenda sana kudandia vitu visivyokuwa na maana. Rejea Wanafunzi wapya wa MNH

Wabongo wengi wanapenda sana kudandia vitu visivyokuwa na maana. Rejea Wanafunzi wapya wa MNH

Hahami ntu hapa, Kwanza hatujawahi kuona mikia Yao ukute hawana Matrakoooo aka wowowoo. Misabwanda.

Yaani tuache kujadili swala nyeti la bandari kisa wanawake wakimbizi never ever
Huko Instagram, Facebook ndio ishu inayotrend kwa sasa.

Kina Diamond na watu wake wanaipush balaa
 
images - 2023-06-20T103918.785.jpeg
 
Bro hujui hawa jamaa wanavyofanya kaz. Hawa jambo likiwakaba serikali wanatafuta chochote cha kudraw ateshen kwa watu. Wanajua watz wanafuatilia ujinga kuliko vitu vya maana. Hawachelew kuandika Diamond afumaniwa

Kwahiyo baada ya ishu ya bandari kitengo wakakimbia chap chap kuchukua wanafunzi Sudan au mpango ulianza lini? Ishu ya bandari imeisha Sasa?
 
Kwani hao wadada wa Sudan wana nini cha ziada? wanapostiwa kwenye mitandao sura zina unafuu lakini maumbile ya ajabu ajabu, hilo si muhimu kwetu kuliko mjadala wa bandari

Pisi zenyewe ni mbovu tu! Hawa wafikii dada zetu hapa bongo! Lakini ujinga umetujaa tu vijana.... lakini me sijaona demu wakuniamsha hisia pale labda wangekuwa na chura
 
Hizi ndio akili za watanzania safari bado ipo sana ya maendeleo Mh. Rais usikatishwe tamaa.
 
Wabongo kwa kutunga hamjambo ila hamjawahi kuvunja rekodi yeyote duniani

Naona hata hao Simba wanaouwa ng'ombe mtasema ni Kiki tu kututoa kwenye mstari

Bandari hii ilikuwa imetoboka na kila kinachoingia mfukoni kinapitiliza na kuchukuliwa na wachache
Sasa miaka yote hiyo tumefaidika na nini ?
Kama Ina make sense hivi.
 
Upuuzi mwingi sana,
Wakimbizi watabakia kuwa wakimbizi wana haki yao.
Tupambane na Hali yetu,hawahusiki lolote hapo
 
Hizi siku mbili tatu, nikiingia status za whatsap, fb ...watu wapo busy na wanafunzi wapya waliohamishiwa MNH kutoka sudan

Chaajabu hadi watu maarufu nao wapo busy na huo uzuzu.

Hivi ina maana hamjawahi/hawajawahi kuona wadada warembo?

They are acting like they were in boarding schools for 10 consecutive years

Wanaboa 😠

vinavyo wahusu vinawashinda, busy kudandia u-shushushu
Haohao ndotunategemea tudai nao katiba mpya 😃
 
Kwahiyo baada ya ishu ya bandari kitengo wakakimbia chap chap kuchukua wanafunzi Sudan au mpango ulianza lini? Ishu ya bandari imeisha Sasa?
Nimekwambia kitengo wanafanya Kaz kuendana na mazingira ya matukio. Hili la wanafunz limetokea katikat ya inshu ya bandari na wakapita nalo ili kuwatoa watu kwenye mjadala.
 
Hizi siku mbili tatu, nikiingia status za whatsap, fb ...watu wapo busy na wanafunzi wapya waliohamishiwa MNH kutoka sudan

Chaajabu hadi watu maarufu nao wapo busy na huo uzuzu.

Hivi ina maana hamjawahi/hawajawahi kuona wadada warembo?

They are acting like they were in boarding schools for 10 consecutive years

Wanaboa 😠

vinavyo wahusu vinawashinda, busy kudandia u-shushushu
"Maisha haya ya kiwaki hayataki usiriaz"
 
Back
Top Bottom