Wabongo wengi wanapenda sana kudandia vitu visivyokuwa na maana. Rejea Wanafunzi wapya wa MNH

Wabongo wengi wanapenda sana kudandia vitu visivyokuwa na maana. Rejea Wanafunzi wapya wa MNH

Nimeona hii Habari ikipostiwa sana tena na Watu wenye umaarufu hapa Nchini,
Kama kina Manara na Idris.

Huu ni mtego wa kuhamisha mjadala.

Wakina Manara wanatumika.

Watanzania tusikubali kupigwa kirahisi rahisi.
True
 
Nimeona hii Habari ikipostiwa sana tena na Watu wenye umaarufu hapa Nchini,
Kama kina Manara na Idris.

Huu ni mtego wa kuhamisha mjadala.

Wakina Manara wanatumika.

Watanzania tusikubali kupigwa kirahisi rahisi.
Kwani hao wadada wa Sudan wana nini cha ziada? wanapostiwa kwenye mitandao sura zina unafuu lakini maumbile ya ajabu ajabu, hilo si muhimu kwetu kuliko mjadala wa bandari
 
Tanzania ni mkusanyiko wa malimbukeni watu wanao kosa exposure wajinga wajinga.....hilo lilikua sio jambo kubwa kiasi cha kutredi social media. Hi elimu yetu imezalisha raia wa hovyo sana, hata na shangaa sana kuona raia washamba.
Nakuunga mkono. Nchi hii ina watu wa hovyo sana.
 
Nimeona hii Habari ikipostiwa sana tena na Watu wenye umaarufu hapa Nchini,
Kama kina Manara na Idris.

Huu ni mtego wa kuhamisha mjadala.

Wakina Manara wanatumika.

Watanzania tusikubali kupigwa kirahisi rahisi.
Hahami ntu hapa, Kwanza hatujawahi kuona mikia Yao ukute hawana Matrakoooo aka wowowoo. Misabwanda.

Yaani tuache kujadili swala nyeti la bandari kisa wanawake wakimbizi never ever
 
Wabongo kwa kutunga hamjambo ila hamjawahi kuvunja rekodi yeyote duniani

Naona hata hao Simba wanaouwa ng'ombe mtasema ni Kiki tu kututoa kwenye mstari

Bandari hii ilikuwa imetoboka na kila kinachoingia mfukoni kinapitiliza na kuchukuliwa na wachache
Sasa miaka yote hiyo tumefaidika na nini ?
 
Maskini starehe yake kubwa ni pombe na wanawake
ndo hapohapo mnapigiwa
 
Bandari yetu ndio inayopokea meli inayoingia na list ya bidhaa ndani (Mamifest) kisha kuwapa TRA wanaandaa kodi za kudai na Bandari na TPA ufanya kazi pamoja kwenye mfumo huu wa mawasiliano wa taarifa

Sasa hii kitovu kuna haja gani kuwapa wawekezaji mgeni na huyu mwarabu?

Kwa nini asipewe bandari kabu ajenge (ICD) Kama wengine? Na anapewa bandari mama ili sisi watanzania huyu mwarabu asimamie mapato ya

Watu wanadhani kuwa shuguli za usimamizi bandari unahitaji akili nyingi ambazo hatuna sisi watanzania hapana.

Bandarini pale wanahitaji tu kufanya talling yaani kujua meli zimeingia ngapi na ina magari mangapi au kontena kisha kutunza taarifa ya kwamba ngapi zimetoka nje ya bandari na ngapi zimebaki.
Wakati TUCTS anafanya kazi na TPA naye alikuwa anafanya kazi tena makontena na magari .
Ila sema vifaa vya TICTS vilikuwa vingi tena vilivokuwa vya TPA alipewa TICTS ndio maana mtu atasema kuwa mapato ya TICTS yalikuwa juu ya TPA.

kinachotakiwa ni uaminifu na sio utaalam
Sasa viongozi wanakwama wapi mpaka wasiamini watu wake ktk uaminifu?



Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Nonsense.

Mipaka ya nchi amekabidhiwa mwarabu, halafu wewe unatekwa akili na wadada wa Muhimbili?!

Ndio maana ngozi nyeusi tunaitwa manyani na wazungu.
 
Dahhhhh

Sijui nani ameturoga.

Tunajadili WANAWAKE WAKIMBIZI.
TUNASAHAU BANDARI ZETU.

CCM MAKAMASI
 
Akuhamishe nani wewe, Mambo ya nchi hii ni mengi Chagua linalokupa furaha vinginevyo utakonda tu bila sababu za msingi, Hao kina Profesa T ambao Leo wanashupalia mkataba wa bandari ndio haohao waligawana pesa kwenye masandarusi. Tena wakatudhihaki kwa milio 100 kuita ni pesa ya Mboga.

Tuna matatizo yanayotugusa moja kwa moja toka Polisi, Mahakama, Nida, hospitali nk. Watu hatujui faida wala hasara inayopatikana bandarini leo tuache kujifurahisha tukazania Dudu tusilolielewa?!?
Ni kweli.
Wabongo wengi fuata upepo
 
Nonsense.

Mipaka ya nchi amekabidhiwa mwarabu, halafu wewe unatekwa akili na wadada wa Muhimbili?!

Ndio maana ngozi nyeusi tunaitwa manyani na wazungu.
Sio mimi,
Lengo la macelebrity wakibongo ni kuwatoa watu kwenye discussion
 
Wabongo kwa kutunga hamjambo ila hamjawahi kuvunja rekodi yeyote duniani

Naona hata hao Simba wanaouwa ng'ombe mtasema ni Kiki tu kututoa kwenye mstari

Bandari hii ilikuwa imetoboka na kila kinachoingia mfukoni kinapitiliza na kuchukuliwa na wachache
Sasa miaka yote hiyo tumefaidika na nini ?
Maneno kama hayo tuliyasikia wakati wa uuzwaji wa NBC, Tanesco, TRC, Gesi ya Mtwara haya twambie viwanda vingapi vimeongezeka au ajira ngapi zimeongezeka baada ya kuuza gesi ya Mtwara au kuuza NBC bank, je umeme haukatiki? Wanavijiji wanaumeme? Nguzo 1 au 3 zikipita kwenye kijiji kilichoko barabara kuu tayari wanakutangazia vijiji vyote vina umeme, tumechoka na ulaghai, uongo, wanakwambia umeme vijijini nguzo ni sh27,000 lkn nenda kaombe umeme hata kama unahitaji nguzo moja uone kama huo umeme utaupata.
 
Back
Top Bottom