Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
TrueNimeona hii Habari ikipostiwa sana tena na Watu wenye umaarufu hapa Nchini,
Kama kina Manara na Idris.
Huu ni mtego wa kuhamisha mjadala.
Wakina Manara wanatumika.
Watanzania tusikubali kupigwa kirahisi rahisi.