scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Na hapo ndo unaweza kujua akili zetu,ujinga ujinga tu tunapenda
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekwambia kitengo wanafanya Kaz kuendana na mazingira ya matukio. Hili la wanafunz limetokea katikat ya inshu ya bandari na wakapita nalo ili kuwatoa watu kwenye mjadala.
🤣"Maisha haya ya kiwaki hayataki usiriaz"
Wanaonielewa washaelewa Chief we baki na maon yakoNimekuuliza kwahiyo mjadala wa bandari umeisha baada ya hao wanafunzi?
Sijui nani mjinga zaidi hao kitengo au nyie mnaoamini huu utopolo.
system ipo kazini...watu washalipwa pesa kuhakikisha kelele za bandar zinazimika...Hizi ni za ku mute......we imagine mtu kama salim kikeke na yeye eti anashabikia pia 😅
wewe ndio mpumbav usieelewa mamb yanaendeshwa vip..hao watu wapo kazin na wanalipwa Hela za kutosha..nyie wadanganyika ndio mnaochezewa faulo..hapo issues ni bandar musaau Maisha yaendelee..Salim Kikeke,Diamond,Edo kumwembe and 10k other wapumbavu.
Aiseesystem ipo kazini...watu washalipwa pesa kuhakikisha kelele za bandar zinazimika...
Ni utani na comedy tu. Nchi hii ukiwa serious muda wote na mambo ya "DP World ama"Bunge" dhaifu unaweza kufa kwa stress!!Hizi siku mbili tatu, nikiingia status za whatsap, fb ...watu wapo busy na wanafunzi wapya waliohamishiwa MNH kutoka sudan
Chaajabu hadi watu maarufu nao wapo busy na huo uzuzu.
Hivi ina maana hamjawahi/hawajawahi kuona wadada warembo?
They are acting like they were in boarding schools for 10 consecutive years
Wanaboa [emoji34]
vinavyo wahusu vinawashinda, busy kudandia u-shushushu
😆😆Ni utani na comedy tu. Nchi hii ukiwa serious muda wote na mambo ya "DP World ama"Bunge" dhaifu unaweza kufa kwa stress!!
TrueNa hapo ndo unaweza kujua akili zetu,ujinga ujinga tu tunapenda
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
😐yani mtoa uzi anasahau kwamba hoja na masihara ya namna hii ni kufifisha suala la DP world , na kwamba nchi hii vitu SERIOUS watu hawana muda navyo?