GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Salim Kikeke,Diamond,Edo kumwembe and 10k other wapumbavu.Hizi ni za ku mute......we imagine mtu kama salim kikeke na yeye eti anashabikia pia 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salim Kikeke,Diamond,Edo kumwembe and 10k other wapumbavu.Hizi ni za ku mute......we imagine mtu kama salim kikeke na yeye eti anashabikia pia 😅
Wanawahamisha kutoka Bandarini.. Shtukeni.Hizi ni za ku mute......we imagine mtu kama salim kikeke na yeye eti anashabikia pia 😅
Watu wanawaza ujinga ujinga tu 😅Salim Kikeke,Diamond,Edo kumwembe and 10k other wapumbavu.
Wale wale 😅Ishu si urembo, ni warembo mpaka wazuri tena na unaweza Kuta wengi Bado bikra!
Hao wanatafuta wafuasi wao hao malimbukeniSalim Kikeke,Diamond,Edo kumwembe and 10k other wapumbavu.
🤣Tungesimamisha kwanza mjadala wa dipii wolidi😂😂😂,,, halafu sio nyieeee mliokua mnashadadia marobot ya Elon saiz mshabadili mawazo 😃😃😃
KabisaNi Ujinga Kweli
Umeongea point sana muulize tukiwa serious ndo bandari haitouzwa alafu atupe jibu wacha watu wafurah maana hakuna cha maana viongozi wetu wanachofanya ni upuuziUsikariri maisha Mkuu mambo yenyewe ni mengi na yanatushinda Wacha tupate break kidogo....don't be toooo serious in life utateseka sana[emoji13][emoji13]muda mwengine unajiachia vimizaha kidogo userious kidogo life linasonga...
Utuache na watoto wa Khartoum hata Kama hawana churaHizi siku mbili tatu, nikiingia status za whatsap, fb ...watu wapo busy na wanafunzi wapya waliohamishiwa MNH kutoka sudan
Chaajabu hadi watu maarufu nao wapo busy na huo uzuzu
Hivi ina maana hamjawahi/hawajawahi kuona wadada warembo?
They are acting like they were in boarding schools for 10 consecutive years
Wanaboa 😠
vinavyo wahusu vinawashinda, busy kudandia u-shushushu
😅Utuache na watoto wa Khartoum hata Kama hawana chura
They are gorgeous
Kama nimekuelewa vile nikijaribu kuunganisha dots[emoji848]Bro hiyo ni kazi ya kile kitengo wala usiumize kichwa. Wanataka kupotezea watu waache kujadili kuhusu ishu ya bandari imewakalia vibaya.
🤣🤣🤣🤣Wenzenu jana sijui juzi wameandamana nyie mko tu nyuma ya keyboard mnatupangia cha kutrendisha.
Nakukatalia hapo uliposema raia wa Tanzania ni warahisi, unadhani hata utoke useme kwa kutumia njia zote uzijuazo ni nini kitabadilika katika kile ambacho kilishaamriwa hata kabla hakijaja kwako..???Kitengo kina mbinu nyingi ku-divert, raia watanzania ndo the cheapest pple to be managed/manipulate ni wepesi sana kuwatoa kwenye mada, kitengo hakitumii nguvu nyingi kabisa.......mbinu nyingi za kuwapoteza hawa semi literate na iliterate raia ebu nikupe mfano, sasa hivi watangaze kwamba yanga ananyanganya ubingwa kwa kukiuka cannot za TFF hata kama ni hoax, hamna atakae jadili bandari tena hapa.