Wabunge 19 kufungua kesi, vigogo CCM na ofisi ya Spika wahusishwa katika uratibu

Wewe ndio mbumbumbu, mahakama ipo popote na kazi yake ni kutafsiri sheria. Mdee na wenzake watakuwa wabunge wa mahakama na huyo joyce wenu aliyehongwa chama na mwenyekiti haendi bungeni.
 
Chadema kwa sasa mnacheza mziki wa ccm bila wenyewe kujua, kwasasa mmeacha kutetea wananchi mnatetea uamuzi wa kihuni wa mwenyekiti na baraza lake, mpo busy usiku kucha kudeal na hao covid 19 haliyakuwa mmeshawafukuza.

Maamuzi yeyote watakayochukua ni haki yao kama ninyi mlivyopewa haki ya kuwafukuza , acheni wasiwasi .
 
Mahakama ndicho chombo pekee cha utoaji haki ndani ya JMT.
It's very unfortunately katiba ya Chadema, haikitambui hilo!.
P
Chadema wanatambua kwamba mahakama ndo chombo pekee cha utoaji haki ndani ya JMT ila wameamua kufanya mumbo kihuni kihuni hatari.
Duh!
 
Duh ndio wewe Pascal ninayekufahamu tangu 2012?
 
Hapo ni SAwa na kumfungulia kesi mpenzi wako Ili asikuache
 
Hao wanawake wajinga wasipokuwa makini sasa wanaenda kuwa maadui wa taifa, hizo kodi za watanzania wanazokula bure huko bungeni wanajitafutia laana.
Acha kuweweseka, mmeshawafukuza hao wajinga sasa Taifa gani watakuwa maadui? Kama Taifa la ufipa sawa.
 
Ccm itagaramia mawakili wa hao wamama.

Ila mchuano utazidi ule wa kutafuta bingwa wa kombe la dunia
 
Msimtishe madame spika

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Paskali! Unamaanisha Mahakama haiwezi kupindua maamuzi ya chama?
Kikao cha Baraza Kuu ni kikao halali na maamuzi yamefikiwa kihalali, ila kilichofanywa na CC ya Chadema sio kikao halali na utimuaji ni utimuaji batili.

Ikithibitishwa kina Halima Mdee na kundi lake ni hawakutendewa haki, mahakama itasitisha uamuzi wa Baraza Kuu kuwatimua, na kuiamuru Chadema kufuata Katiba sheria taratibu na kanuni kuwatimua rasmi.

Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mwanachama yoyote wa Chadema, akikishataki chama mahakamani, automatically anakuwa amejifuta uanachama wa Chadema.

Hivyo wakienda mahakamani, mahakama itaweka zuio Kwa Bunge kuwavua ubunge, hadi kesi ya msingi isikilizwe na kuamuliwa, that is unazungumzia 2023!.

Uamuzi ikitolewa Chadema iendeshe vikao halali vya mamlaka ya nidhamu na kikao cha Baraza Kuu Chadema kiitishwe tena, that will be 2024!. Uamuzi wa mwisho ukifikiwa in less than 12 months kabla ya uchaguzi unaofuata, kina Halima Mdee na kundi lake wanavuliwa ubunge, ila Chadema haipewi tena fursa ya kupeleka majina mengine!.
P
 
For the sake ya matumbo yao hao covid 19 wafungue tu hiyo kesi

Mtaani pagumu, haswa kama hujajipanga na una lifestyle ya namna fulani.

Petroli tu zaidi ya 3000!!

Hata ningekuwa mimi kama ingenihakikishia uwepo fwa ugali wangu or 2-3year ningefungua tu
 
KUB Mboye alifanya maongezi na Chief Hangaya kabla ya kuwatimua akina Mzee Mdee.Kwa kifupi ni kuwa CHADEMA itateua wabunge wengine kushika nafasi hizo.
Mambo yaliyofanya na shujaa wakati wa uchaguzi mkuu 2020 yamepuuzwa.
 
CCM hawajakoma tu kwenye kesi ya UGAIDI ya Mh. Mbowe eeee !! Hiki chama kina matatizo mengi mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…