Wabunge 19 Viti Maalum CHADEMA wafungua kesi. Bunge lasema linasubiri uamuzi wa Mahakama Kuu

Sawa, ngoja mahakama iamue, subira yavuta heri
 

Tatizo viongozi wetu wamerelax wakidhani CCM watawaonea huruma. Shauri zao. Kesi haijaanza hata kusikilizwa spika anasema anasubiri uamuzi wake.
 
Maswali fikirishi kwa wabobezi wa Sheria
-Kwani Kuna zuio la Mahakama (Court injunction) kwenda kwa spika na taasisi zingine mpaka shauri liliofunguliwa limalizike,wabobezi wa Sheria tusaidie.
-Kwa mujibu wa maelezo ya spika,hawa wabunge,wataendelea kuwa wabunge mpaka 2025,sioni uwezekano wa Mahakama kusikiliza Case na kumalizika mapema.
-Hata kama Mahakama Kuu itatoa hukumu mapema,Mdee na wenziwe watakata rufaa Mahakama Kuu ya Rufaa Tanzania (Tanzania High Court of Appeal).ili kuchelewesha mchakato wa kuondolewa bungeni.
-Kwa Mujibu wa barua ya John Mnyika inaonekana, CHADEMA wanataka spika aendeshe Bunge bila ya kuwa na kambi rasmi ya upinzani, hususani kwenye kamati za Bunge ambazo lazima wenyeviti wake watoke upinzani (PAC nk)
-Chadema walipaswa kutoa taarifa ya kuwaondoa uanachama akina Mdee na kupeleka majina ya wabunge wengine mbadala.
 
Kwani wakiingia humo bungeni,mkiwa humuwatambui mnaumia nini?
Achaneni nao endeleeni na mambo yenu

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mahesabu ninayo yaona hapa ,hao wabunge wa covid 19 wataendelea kuwa wabunge mpaka awamu hii iishe bila kufanya hivyo ni kuharamisha serekali yote ya awamu hii .
 
Utaratibu upi unaozungumzia? Hawa wanachotaka ni ubunge na hamna kikingine. Hawana mpango wa kurudi Chadema maana wanajua hawakubaliki. Na wakishindwa Mahakama Kuu, watakata rufaa Mahakama ya Rufaa, wakishindwa watakata rufaa ya Afrika Mashariki, wakishindwa watakata ya rufaa ya Afrika, wakishindwa wataenda the Hague. Yote hayo ili mradi wafike 2025 na wawazuie Chadema kupeleka wabunge wao.
Mna haki ya kuwapongeza kwa sababu kwenu chochote ambacho mnadhani kitawaumiza Chadema ni furaha kwenu. Chadema waachane nao.

Amandla...
 
Sarakasi za Uviko 19. Spika yupo sahihi, Bunge haliwezi kuingilia mhimili mwingine wa Mahakama. Ni jambo la kusubiria maamuzi ya Mahakama.

Mapovu Yaendelee...!
Jibu hoja ya msingi kwa kulinganisha na wale wa CUF. Hii double standard hata wewe inaweza kukuathiri.
 
Kwani wakiingia humo bungeni,mkiwa humuwatambui mnaumia nini?
Achaneni nao endeleeni na mambo yenu

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app

Katiba inasema mbunge lazima adhaminiwe na chama. Sasa utakuwaje mbunge na hauna chama?. Haya yanafanyika kwa sababu Ni chadema hakuna jingine. Yani chadema inapambana na mihimili mitatu.
 
Wenye kuona mbali tulijaribu kuwashauri kwamba kwa kuwa hakuna asiyekosa hapa chini ya jua basi Hao wabunge wanaoitwa Covid wasamehewe tu ili kazi iendelee !! Hawakusikia !! Sasa itakuwa mguu na njia Kwenda Mahakamani mpaka year 2024 au 2025 !! Mapambano ya Sheria yanaanza stay tuned !!!
Aisee!.
Mama na JPM kumbe ni kitu kimoja.
 
Wewe ni mpum.avu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chadomo ni wahuni sana, na wamekutana na wahuni wenzao!
Hivi ni kwa nini MaPsychopath MaCCM mmekosa huruma kabisa na kodi za masikini na bado mnawakamua MATOZO na hali ngumu yote hii.?! Huo sio uhuni ni UHAINI unafanywa na Tulia na CCM yake.
Chakufurahisha nini.
 
Unadhani CHADEMA wangeweza kufanya jambo gani zaidi ya kuwafukuza mkuu? hebu tusaidie mawazo
 
Hao wa cuf na ccm na wao walipekeka kesi mahakamani?
 
Jibu hoja wacha kuleta hisia kwenye mambo ya msingi
 
Spika wa bunge mh TULIA acksoni mapema Leo amelitolea maelezo sakata la wabunge 19 wa chadema na kusema mahakama ndio itatoa uamuzi wa hatima ya wabunge 19 waliovuliwa uanachama na baraza kuu la chadema wiki iliyopita .


"Ninalazimika kutokutoa uamuzi wa wabunge 19 wa CHADEMA hadi pale mahakama itakapolitolea ufafanuzi na spika ndio atakayetoa uamuzi wa mwisho wa jambo hili sio vinginevyo"alisema mpika .

Kwa hiyo hii itawafanya wabunge 19 kuendelea kuwa bungeni mpaka hukumu


USSR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…