Wabunge kama kweli mnalipenda taifa hili na kizazi chake tungeni sheria kupiga marufuku ushoga

Wabunge kama kweli mnalipenda taifa hili na kizazi chake tungeni sheria kupiga marufuku ushoga

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
3,098
Reaction score
5,451
Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana naweza kusema hvyo. Yaani wanajali matumbo yao kuliko vizazi vya taifa hili. Tumeona Uganda na Kenya Marais wao wamejitokeza hadharani kuupinga ushoga wazi wazi lakini Tanzania sijaona kiongozi yoyote hata Mwenyekiti wa mtaa akiliongelea jambo hilo.

Hivi mama Samia Mbona sikusikii katika hili? Kizazi kinaharibika mikononi mwako hiki. Simama zungumza hadharani sio zile propaganda mara sijui msiige kutoka sijui wapi. Simama mbele ya hadhara zungumza kwa sauti dunia ikusikie kwamba "Mimi kwenye nchi yangu ushoga ni marufuku." Kwani jamani hiyo misaada sisi ndio tutakuwa wa kwanza kuikosa? Kwani tutakufa? Pamoja na hiyo misaada mbona mchele ni 3500 na mafuta ni 8000/tr mbona hatufi?

Na nyie Wabunge mnaojiita mnawawakilisha wananchi ndio bure kabisa. Hivi kweli hamuoni kizazi kinavyoangamia hiki? Sasa angalia askari naye kafanya yake. Yaani mume wa mke na baba wa watoto na askari mtuliza ghasia naye ni shoga. Hivi hamuoni kama tumefika mbali sana? Potelea pote, peleka muswada wa sheria, itungieni sheria kwamba ushoga na usagaji ni kosa tena litungiwe adhabu kali. Dunia itaiheshimu Tanzania.

Yaani mnajali tu hiyo misaada mnasahau kabisa kizazi kijacho. Hivi kweli nchi kama Tanzania sasa ushoga umeingia mpaka jeshini kuna usalama hapa kweli?

Nayaandika haya kwa uchungu sana. Kinachoniuma sijaona kiongozi hata mmoja mwenye dhamira ya dhati ya kulikomesha hili. Inabaki ni propaganda tu lakini kama nchi hatuna msimamo katika hili.
 
Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana naweza kusema hvyo. Yani wanajali matumbo yao kuliko vizazi vya taifa hili. Tumeona Uganda na Kenya marais wao wamejitokeza hadharani kuupinga ushoga wazi wazi lkn Tanzania sijaona kiongozi yoyote hata mwenyekiti wa mtaa akiliongelea jambo hilo.

Hivi mama Samia unaunga mkono ushoga? Mbona sikusikii katika hili? Kizazi kinaharibika mikononi mwako hiki. Simama zungumza hadharani sio zile propaganda mara sijui msiige kitoka sijui wapi. Simama mbele ya hadhara zungumza kwa sauti dunia ikusikie kwamba MIMI KWENYE NCHI YANGU USHOGA NI MARUFUKU. Kwani jamani hiyo misaada sisi ndo tutakuwa wa kwanza kuikosa? Kwani tutakufa? Pamoja na hiyo misaada mbona mchele ni 3500 na mafuta ni 8000/tr mbona hatufi?

Na nyie wabunge mnaojiita mnawawakilisha wananchi ndio buure kabisa. Hivi kweli hamuoni kizazi kinavyoangamia hiki? Sasa angalia askari naye anapakuliwa. Yani mume wa mke na baba wa watoto na askari mtuliza ghasia naye ni shoga. Hivi hamhoni kama tumefika mbali sana? Potelea pote peleka muswada wa sheria itungieni sheria kwamba ushoga na usagaji ni kosa tena litungiwe adhabu kali. Dunia itaiheshimu Tanzania.

Yani mnajali tu hiyo misaada mnasahau kabisa kizazi kijacho. Hivi kweli nchi kama Tanzania sasa ushoga umeingia mpaka jeshini kuna usalama hapa kweli?

Nayaandika haya kwa uchungu sana. Kinachoniuma sijaona kiongozi hata mmoja amwenye dhamira ya dhati ya kulikomesha hili. Inabaki ni propaganda tu lkn kama nchi hatuna msimamo katika hili.
Pambaneni na ujinga Mambo yanyobaki yataondoka yenyewe
 
Beberu huwa habishiwi na masikini.

Kama vipi kuwaua kimya kimya, kwa kutumia asikari watakaobatizwa kwa jina la waumini au wananchi wasio furahishwa na tabia hiyo.

Kisha RPC anazoa mtaa mzma na kuutia ndan kisha wanaachiwa kwa dhamana, kesi inaisha.
 
Hata rahisi afanye nini kama wanaofanya vitendo hivyo ambao ni wanafamilia hawataacha haya mambo itakuwa ngumu kuisha.
 
Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana naweza kusema hvyo. Yani wanajali matumbo yao kuliko vizazi vya taifa hili. Tumeona Uganda na Kenya marais wao wamejitokeza hadharani kuupinga ushoga wazi wazi lkn Tanzania sijaona kiongozi yoyote hata mwenyekiti wa mtaa akiliongelea jambo hilo.

Hivi mama Samia unaunga mkono ushoga? Mbona sikusikii katika hili? Kizazi kinaharibika mikononi mwako hiki. Simama zungumza hadharani sio zile propaganda mara sijui msiige kitoka sijui wapi. Simama mbele ya hadhara zungumza kwa sauti dunia ikusikie kwamba MIMI KWENYE NCHI YANGU USHOGA NI MARUFUKU. Kwani jamani hiyo misaada sisi ndo tutakuwa wa kwanza kuikosa? Kwani tutakufa? Pamoja na hiyo misaada mbona mchele ni 3500 na mafuta ni 8000/tr mbona hatufi?

Na nyie wabunge mnaojiita mnawawakilisha wananchi ndio buure kabisa. Hivi kweli hamuoni kizazi kinavyoangamia hiki? Sasa angalia askari naye anapakuliwa. Yani mume wa mke na baba wa watoto na askari mtuliza ghasia naye ni shoga. Hivi hamhoni kama tumefika mbali sana? Potelea pote peleka muswada wa sheria itungieni sheria kwamba ushoga na usagaji ni kosa tena litungiwe adhabu kali. Dunia itaiheshimu Tanzania.

Yani mnajali tu hiyo misaada mnasahau kabisa kizazi kijacho. Hivi kweli nchi kama Tanzania sasa ushoga umeingia mpaka jeshini kuna usalama hapa kweli?

Nayaandika haya kwa uchungu sana. Kinachoniuma sijaona kiongozi hata mmoja amwenye dhamira ya dhati ya kulikomesha hili. Inabaki ni propaganda tu lkn kama nchi hatuna msimamo katika hili.
Kenya si wameruhusu ushoga au hujasikia mkuuu 😂😂
 
Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana naweza kusema hvyo. Yani wanajali matumbo yao kuliko vizazi vya taifa hili. Tumeona Uganda na Kenya marais wao wamejitokeza hadharani kuupinga ushoga wazi wazi lkn Tanzania sijaona kiongozi yoyote hata mwenyekiti wa mtaa akiliongelea jambo hilo.

Hivi mama Samia unaunga mkono ushoga? Mbona sikusikii katika hili? Kizazi kinaharibika mikononi mwako hiki. Simama zungumza hadharani sio zile propaganda mara sijui msiige kitoka sijui wapi. Simama mbele ya hadhara zungumza kwa sauti dunia ikusikie kwamba MIMI KWENYE NCHI YANGU USHOGA NI MARUFUKU. Kwani jamani hiyo misaada sisi ndo tutakuwa wa kwanza kuikosa? Kwani tutakufa? Pamoja na hiyo misaada mbona mchele ni 3500 na mafuta ni 8000/tr mbona hatufi?

Na nyie wabunge mnaojiita mnawawakilisha wananchi ndio buure kabisa. Hivi kweli hamuoni kizazi kinavyoangamia hiki? Sasa angalia askari naye anapakuliwa. Yani mume wa mke na baba wa watoto na askari mtuliza ghasia naye ni shoga. Hivi hamhoni kama tumefika mbali sana? Potelea pote peleka muswada wa sheria itungieni sheria kwamba ushoga na usagaji ni kosa tena litungiwe adhabu kali. Dunia itaiheshimu Tanzania.

Yani mnajali tu hiyo misaada mnasahau kabisa kizazi kijacho. Hivi kweli nchi kama Tanzania sasa ushoga umeingia mpaka jeshini kuna usalama hapa kweli?

Nayaandika haya kwa uchungu sana. Kinachoniuma sijaona kiongozi hata mmoja amwenye dhamira ya dhati ya kulikomesha hili. Inabaki ni propaganda tu lkn kama nchi hatuna msimamo katika hili.
Mbona sheria hiyo ipo nchini siku nyingi tu,ni kosa la jinai kufanya mapenzi kinyume na maumbile,iwe kati ya jinsia moja au mwanamke na mwanaume Pia sheria ya ndoa inatambua ndoa ya mwanaume na mwanamke na si vinginevyo.Ni usimamizi tu mzuri wa sheria ndio unatakiwa Changamoto ni pale wakikubaliana na kwenda kufanya kwa siri hutojua. Mmomonyoko wa maadili dawa yake ni nini?
 
Mbona sheria hiyo ipo nchini siku nyingi tu,ni kosa la jinai kufanya mapenzi kinyume na maumbile,iwe kati ya jinsia moja au mwanamke na mwanaume Pia sheria ya ndoa inatambua ndoa ya mwanaume na mwanamke na si vinginevyo.Ni usimamizi tu mzuri wa sheria ndio unatakiwa Changamoto ni pale wakikubaliana na kwenda kufanya kwa siri hutojua. Mmomonyoko wa maadili dawa yake ni nini?
Tena wakati makonda anawatia ndani mashoga alitukanwa na hawahawa bavicha .
 
Mbona sheria hiyo ipo nchini siku nyingi tu,ni kosa la jinai kufanya mapenzi kinyume na maumbile,iwe kati ya jinsia moja au mwanamke na mwanaume Pia sheria ya ndoa inatambua ndoa ya mwanaume na mwanamke na si vinginevyo.Ni usimamizi tu mzuri wa sheria ndio unatakiwa Changamoto ni pale wakikubaliana na kwenda kufanya kwa siri hutojua. Mmomonyoko wa maadili dawa yake ni nini?
Nashangaa mleta mada kashindwa kutafiti kwanzza kabla ya kuropoka.
 
Wanaanzia wapi?

Wao wenyewe maslahi yao yapo kwenye huo ushoga. Wazungu wakiona wanaume wanapigana denda wanatuma ruzuku.

Ni swala la muda tu, ili kumridhisha mzungu baadhi ya hao wabunge watajitangaza kuwa ni mashoga.

Swala la ushoga lina mizizi mirefu kuliko hata tunavyohisi.

Mzungu kadhamiria watu wa jinsia moja wapakuane vinyesi hadi basi. Na kutimiza hilo kwa huku kwetu katumia udhaifu wa tamaa za viongozi wetu kuhakikisha marijali wanapotea kabisa.

Ukute Bi. Tozo keshakunja mtonyo wake aruhusu makuchu na ndio maana humsikii hata kukemea kama Museveni anavyofanya.
 
Back
Top Bottom