mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,668
- 3,428
Kenya si wameruhusu ushoga au hujasikia mkuuu 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya si wameruhusu ushoga au hujasikia mkuuu 😂😂
Duh maneno makali haya. Kwaheri mkuu.Wafiraji wako bize kuwapinga wafirwaji huoni kuna tatizo kaka yangu.?
Mnafiki huyu. Angetumia kiingereza kama kweli alitaka kufikisha ujumbe.
Enzi za mwamba hili swala ndio lilihalalishwaMtamkumbuka mwamba sasa, round hii iko pamoja na mqbeberu. Hiyo misaada unaonekana ndio pesa ya kuitunza familia, ikikosekana familia itakufa kwa njaa. Cha muhimu ni kushikiza mpaka watoe msimamo wao katika janga hili. Kelele zipigwe kwa wingi kuwashinikiza watoe ufafanuzi, tujue wako upande gani au sio?
Hawapingi ushoga, bali wanazungumzia ushoga kupinga ushoka ni kuweka mikakati kama vile madawa kulevia, ubakaji, kupatika na silaha, kuozesha mtoto chini ya miaka 18. Hayo niliyotaja ndio yanayopigwa vita na hao wanaosema sio ushoga ndugu, lakini Waafrika ni wanafiki sana, wanajitia kupiga vita ushoga hali ya kuwa kwenye majumba yao kuna watoto wao, dada zao, mama zao kutwa wana kodisha miili yao kwa wanaume. Hili ni zinaa, halafu wanajiita watu wa dini. Dini gani inayopinga ushoga na kuruhusu ukahaba hovyo kabisa?Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana naweza kusema hvyo. Yaani wanajali matumbo yao kuliko vizazi vya taifa hili. Tumeona Uganda na Kenya Marais wao wamejitokeza hadharani kuupinga ushoga wazi wazi lakini Tanzania sijaona kiongozi yoyote hata Mwenyekiti wa mtaa akiliongelea jambo hilo.
Hivi mama Samia Mbona sikusikii katika hili? Kizazi kinaharibika mikononi mwako hiki. Simama zungumza hadharani sio zile propaganda mara sijui msiige kutoka sijui wapi. Simama mbele ya hadhara zungumza kwa sauti dunia ikusikie kwamba "Mimi kwenye yangu ushoga ni marufuki." Kwani jamani hiyo misaada sisi ndio tutakuwa wa kwanza kuikosa? Kwani tutakufa? Pamoja na hiyo misaada mbona mchele ni 3500 na mafuta ni 8000/tr mbona hatufi?
Na nyie Wabunge mnaojiita mnawawakilisha wananchi ndio bure kabisa. Hivi kweli hamuoni kizazi kinavyoangamia hiki? Sasa angalia askari naye kafanya yake. Yaani mume wa mke na baba wa watoto na askari mtuliza ghasia naye ni shoga. Hivi hamuoni kama tumefika mbali sana? Potelea pote, peleka muswada wa sheria, itungieni sheria kwamba ushoga na usagaji ni kosa tena litungiwe adhabu kali. Dunia itaiheshimu Tanzania.
Yaani mnajali tu hiyo misaada mnasahau kabisa kizazi kijacho. Hivi kweli nchi kama Tanzania sasa ushoga umeingia mpaka jeshini kuna usalama hapa kweli?
Nayaandika haya kwa uchungu sana. Kinachoniuma sijaona kiongozi hata mmoja mwenye dhamira ya dhati ya kulikomesha hili. Inabaki ni propaganda tu lakini kama nchi hatuna msimamo katika hili.
Nchi gani Afrika na Ulaya na Amerika na Asia iliyozuiya ushoga kwa vitendo?Nchi yenye viongozi waoga kama TZ haiwezi kuzuia ushoga
Atajiaje nae yuko na chuki na mama.Kenya si wameruhusu ushoga au hujasikia mkuuu [emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Alfajiri yote hii umeamka kutoka usingizini unawaza ushoga
kusema bila vitendo haisaidii mse7 tangu ameanza kupinga ushoga kwenye nchi yake usinge kuwepoMbona yapo mengi tu serikali imeshindwa kuyadhibiti lakini angalau wanatoa matamko, kwanini Katika hili unataka wanyamaze?
Kwanini unampinga Muhammad alikuwa anapiga mbupu katoto ka miaka 6 ka mama Cha waislamu Aishakuozesha mtoto chini ya miaka 18.
Tupe sheria ya karne ya 7 hapa mke wa papa weweKwanini unampinga Muhammad alikuwa anapiga mbupu katoto ka miaka 6 ka mama Cha waislamu Aisha
Acha makasirikoTupe sheria ya karne ya 7 hapa mke wa papa wewe
Au unampinga papa kutaka nyie muolewe
Hapa sio makasiriko tuoneshe sheria ya karne ya 7 hapa kama huna tuliaAcha makasiriko
Mbusu jiwe mwenzako kasema ni mbaya kuoza mtoto
Kajisahau mudy alikuwa anapiga mbupu mbaya kabisa katoto Cha miaka 6 ka Aisha , kakachakaza mbaya kabisa mudy kafa ka Aisha ndo kana miaka 18