Wabunge kama kweli mnalipenda taifa hili na kizazi chake tungeni sheria kupiga marufuku ushoga

Msimamo wa serikali ni huu, au wee unataka upi tenaa??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa mbna hawajawahi kufungwa?? Ile sheria iko relevant kwenye ulawiti, na sio ushoga.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee
Ni huruma ya majaji tu, hata yule James Delicious na Amber Rutty, ilikuwa ni huruma ya jaji tu, hakimu hakatazwi kuweka huruma
 
Ni kweli Kuna uhusiano mkubwa kati ya HALI YA KUMCHA MUNGU NA KAULI YA MKUU WA NCHI.MUNGU YUKO TAYARI KUISAIDIA NCHI ILA ANASUBIRI KAULI YA ANAYEKALIA KITI CHA UFALME.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndo hapo sasa. Yaan wanachekeshaa had bas.
Kwahiyo mkuu unajisikia raha sana kupumuliwa huku una mashine kabisa?
 
Habari wana JF.
Kwa sasa mataifa ya Kiafrika yameshuhudia ujio na uwepo mkubwa wa matendo ya ushoga na usagaji ambao kama hatutakuwa makini mataifa yetu yataangamia.
Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za Kiafrika imeathrika.Ikumbukwe majirani zetu Uganda na Kenya zimeishaonyesha misimamo yao ya kupinga kwa nguvu kubwa suala hili kwa ama kutunga sheria kali au kukusudia kupeleka mswada wa kutoruhusu mambo haya.

Kwa Tanzania Mama hajasema kitu, natamani kusikia sauti yake juu ya hili.
Ikumbukwe mambo haya ni mipango ya wazungu kupunguza idadi ya wa Afrika na kuwafanya wapumbavu ili wachukue rasilimali zetu.

Vita hii hi yetu sote.
 
Mbona kashasema Sana tu ikiwa ni pamoja na kuasa vijana kuiga haya mambo kutoka nje?
 
Yapi maoni yako,🤔
 
Mambo lazima yaitwe kwa lugha sahihi, ni UBASHA sio ushoga
 
Sheria inayoongoza dunia ya giza ni Thesis + Antithesis = Syntheisis.

Tengeneza hoja A + Tengeneza hoja B inayopinga A = Kile kiovu kilichokusudiwa kuhalalishwa.

Kwa kanuni hii hii natabiri nchi za kwanza EA kuhalalisha Ushoga zitakuwa Kenya na Uganda.

Kwa sababu Sheria zipo, Misimamo yetu inafahamika. Tuanzie hapo tu kutekeleza sheria. Kuwaminya kimyakimya kama wao wanavyojipenyeza kimyakimya. Kuziba mianya yote kama ambavyo tulizuia vitabu mashuleni vinavyohamasisha janga hili.

Suala la Ushoga ni suala la kiroho na kimaadili sio kisiasa. Tukiliingiza kwenye siasa nchi shoga zote zitatushinda.
 
SEXUAL CONSENT AND VICTIMHOOD ARE ESSENTIAL CRITERIA IN DETERMINING WHETHER A PARTICULAR SEXUAL-RELATED MATTER SHOULD BE OUTLAWED OR OTHERWISE.

YOU CAN NOT CRIMINALIZE A CONSENSUAL VICTIMLESS ACT.

IT CONTRAVENES PRINCIPLES OF CRIMINAL LAW AND CONSTITUTIONALLY PROTECTED BASIC RIGHTS WHICH THE GOVERNMENT SWORE TO UPHOLD.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…