Wabunge kwa hisani na udhamini wa kibabe wa marehemu hawa hamna hakuna jipya.....same *$&$&€&#&# different daysMbuzi wa bwana Joni, shamba la bwana Joni, mazao ya bwana Joni, masoko ya bwana Joni..! Ngoja tuone!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabunge kwa hisani na udhamini wa kibabe wa marehemu hawa hamna hakuna jipya.....same *$&$&€&#&# different daysMbuzi wa bwana Joni, shamba la bwana Joni, mazao ya bwana Joni, masoko ya bwana Joni..! Ngoja tuone!
Tanzania haijawahi kuwa na spika wa hovyo kama tulia ametulia kweli kweliKuna tetesi kuwa baadhi ya wabunge wamejipanga kuwasilisha hoja bungeni ya kutokuwa na imani na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson baada ya kuonekana wazi kushindwa kuuongoza mhimili huo kwa manufaa ya watanzania.
Hatua ya wabunge hao inakuja baada ya Spika kuzima ajenda za wananchi ambapo baadhi ya wabunge walitaka masuala hayo yajadiliwe bungeni yeye akayazuia yote.
(i) Hoja ya kujadili Ripoti ya CAG (Mhe. Ole Sendeka)
(ii) Hoja ya kujadili uvamizi wa tembo kwa wananchi( Mhe. Bahati)
(iii)Hoja ya tatizo la mbolea na kufutiwa leseni mawakala wa mbolea( Mhe. Msambatavangu)
(iv)Hoja ya ajira kutolewa kwa upendeleo (Mh. Mwita Waitara)
Kuna tetesi kuwa baadhi ya wabunge wamejipanga kuwasilisha hoja bungeni ya kutokuwa na imani na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson baada ya kuonekana wazi kushindwa kuuongoza mhimili huo kwa manufaa ya watanzania.
Hatua ya wabunge hao inakuja baada ya Spika kuzima ajenda za wananchi ambapo baadhi ya wabunge walitaka masuala hayo yajadiliwe bungeni yeye akayazuia yote.
(i) Hoja ya kujadili Ripoti ya CAG (Mhe. Ole Sendeka)
(ii) Hoja ya kujadili uvamizi wa tembo kwa wananchi( Mhe. Bahati)
(iii)Hoja ya tatizo la mbolea na kufutiwa leseni mawakala wa mbolea( Mhe. Msambatavangu)
(iv)Hoja ya ajira kutolewa kwa upendeleo (Mh. Mwita Waitara)
Huyo ni Spika wa Bunge la Msoga, Bunge la Jamuhuri aliondoka nalo Ndugai!
Wamrudishe Mshauri wa Askofu mkuu wa Canterbury mzee Job Ndugai
Tanzania haijawahi kuwa na spika wa hovyo kama tulia ametulia kweli kweli
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitashangaa sana kama hoja yao itafanikiwa!Kuna tetesi kuwa baadhi ya wabunge wamejipanga kuwasilisha hoja bungeni ya kutokuwa na imani na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson baada ya kuonekana wazi kushindwa kuuongoza mhimili huo kwa manufaa ya watanzania.
Hatua ya wabunge hao inakuja baada ya Spika kuzima ajenda za wananchi ambapo baadhi ya wabunge walitaka masuala hayo yajadiliwe bungeni yeye akayazuia yote.
(i) Hoja ya kujadili Ripoti ya CAG (Mhe. Ole Sendeka)
(ii) Hoja ya kujadili uvamizi wa tembo kwa wananchi( Mhe. Bahati)
(iii)Hoja ya tatizo la mbolea na kufutiwa leseni mawakala wa mbolea( Mhe. Msambatavangu)
(iv)Hoja ya ajira kutolewa kwa upendeleo (Mh. Mwita Waitara)
Hizo tetesi ni zako mwenyewe na hoja zilizotajwa hazina mashiko
hizo ni fitina na majungu tu.
Dr Tulia endelea kuongoza bunge kwa umahiri......
Watafokewa ila kumtoa watamtoa huyo spika wa mchongo.Wataitwa kufokewa kwenye Caucus ya chama na Biashara itaishia hapo!
siyo kweli na kujikwaa siyo kuanguka.Umahiri gani?. Wakati kila kitu hajui.
Tujikite kwenye kujib tetesi...sio kupiga hoja Kwa nyundo.......🤓Hizo tetesi ni zako mwenyewe na hoja zilizotajwa hazina mashiko
Labda wamemchoka kabana MASLAHI yao lakini siyo ya WANANCHI.
Drama hiziKuna tetesi kuwa baadhi ya wabunge wamejipanga kuwasilisha hoja bungeni ya kutokuwa na imani na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson baada ya kuonekana wazi kushindwa kuuongoza mhimili huo kwa manufaa ya watanzania.
Hatua ya wabunge hao inakuja baada ya Spika kuzima ajenda za wananchi ambapo baadhi ya wabunge walitaka masuala hayo yajadiliwe bungeni yeye akayazuia yote.
(i) Hoja ya kujadili Ripoti ya CAG (Mhe. Ole Sendeka)
(ii) Hoja ya kujadili uvamizi wa tembo kwa wananchi( Mhe. Bahati)
(iii)Hoja ya tatizo la mbolea na kufutiwa leseni mawakala wa mbolea( Mhe. Msambatavangu)
(iv)Hoja ya ajira kutolewa kwa upendeleo (Mh. Mwita Waitara)