Tetesi: Wabunge kumpigia kura Spika wa Bunge kutokuwa na imani

Tetesi: Wabunge kumpigia kura Spika wa Bunge kutokuwa na imani

Jiwe kaiharibu sana hii nchi, sijui tulikosea wapi
Kitu kikiharibika kinatakiwa kirekebishwe haraka sio kukiharibu zaidi ilhali Mamlaka yote ya kukirekebisha unayo !! Ukiona huwezi unawapisha wanaoweza !! Wazungu Wanasemaga To fall down is an accident but to stay down is a choice !! Acheni visingizio watu waadhibiwe wanaoiba mali za Umma !!
 
Yule spika alishasema Rais halazimishwi kufuata ushauri wa bunge. Sasa wananchi maslahi yao yatalindwaje?. Huyo spika ni kibaraka wa Ikulu bungeni.
Nakubaliana na wewe mkuu
 
Kwanini wapoteze muda...badala waendelee na kujadili bajeti za wizara, mm binafsi naona speaker wetu yupo sahihi
 
Watz hawawezi kuamka hadi siku uchawi wa babu wa kwanza (mfalme) uitwao mwenge utakapofutwa!
 
Hiyo jeuri hawana! Kwanza 95% next uchaguzi wanatupwa nje maana walibebwa na JPM. Bora wajijengee heshima wapiganiwe na wananchi lakini kwenye chama hawatoboi.
Kweli kabsa hata nje ya chama tutawatema tu hakuna wanalofanya, wanadhani sisi hatuoni
 
Huyo spika alizoea bunge lenye wapinzani, na akawa kazi yake ni kuwakomoa kwenye kila hoja yao. Matokeo yake tabia ile imegeuka kilema kwake, hivyo kila mwenye hoja kinzani na serekali kwake ni kumzuia tu. CCM vumilieni upuuzi mlioulea kugeuza bunge kuwa chombo cha kuikinga serekali, badala ya kuisimamia na kuiwajibisha.
Mazoea hujenga tabia.

Jambazi akikosa wa kuwaibia, hugeukia hata ukoo wake. Hawezi kuacha ujambazi. Tulia alipelekwa Bungeni kwa dhamira mbaya, kamwe hatabadilika awe kwa maslahi ya umma.
 
Kwanini wapoteze muda...badala waendelee na kujadili bajeti za wizara, mm binafsi naona speaker wetu yupo sahihi
Tatizo sio Spika tatizo lipo kwenye Katiba !! Rais ndio kila kitu ! Atakachoamua ndicho kitakachokua hata Spika mstaafu anajua hivyo !!
 
Kabla sijasoma hadi mwisho, huyo spika ni wa nchi gani?
 
Kuna tetesi kuwa baadhi ya wabunge wamejipanga kuwasilisha hoja bungeni ya kutokuwa na imani na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson baada ya kuonekana wazi kushindwa kuuongoza mhimili huo kwa manufaa ya watanzania.

Hatua ya wabunge hao inakuja baada ya Spika kuzima ajenda za wananchi ambapo baadhi ya wabunge walitaka masuala hayo yajadiliwe bungeni yeye akayazuia yote wengine wakimlaumu kuwa ana mgongano wa maslahi na ya kifamilia kutokana na mumewe kuwa boss wa ewura

(i) Hoja ya kujadili Ripoti ya CAG (Mhe. Ole Sendeka)
(ii) Hoja ya kujadili uvamizi wa tembo kwa wananchi( Mhe. Bahati)
(iii)Hoja ya tatizo la mbolea na kufutiwa leseni mawakala wa mbolea( Mhe. Msambatavangu)
(iv)Hoja ya ajira kutolewa kwa upendeleo (Mh. Mwita Waitara)
Hoja hizi nyepesi sana, sio za kumng'oa spika. Anyway, ngoja tuone. Nitaamini tu endapo akitolewa uspika.
 
Kuna tetesi kuwa baadhi ya wabunge wamejipanga kuwasilisha hoja bungeni ya kutokuwa na imani na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson baada ya kuonekana wazi kushindwa kuuongoza mhimili huo kwa manufaa ya watanzania.

Hatua ya wabunge hao inakuja baada ya Spika kuzima ajenda za wananchi ambapo baadhi ya wabunge walitaka masuala hayo yajadiliwe bungeni yeye akayazuia yote wengine wakimlaumu kuwa ana mgongano wa maslahi na ya kifamilia kutokana na mumewe kuwa boss wa ewura

(i) Hoja ya kujadili Ripoti ya CAG (Mhe. Ole Sendeka)
(ii) Hoja ya kujadili uvamizi wa tembo kwa wananchi( Mhe. Bahati)
(iii)Hoja ya tatizo la mbolea na kufutiwa leseni mawakala wa mbolea( Mhe. Msambatavangu)
(iv)Hoja ya ajira kutolewa kwa upendeleo (Mh. Mwita Waitara)
Kwa CCM ni kuishia hadithi za alinacha
 
Kiukweli yanayoendelea bungeni yanasikitisha sana.

Natamani Watanzania waamke kutoka usingizi wa pono tuwavue UWAZIRI mawaziri wote kudadeki.

Yaani jinsi Ndalichako alivyotetea KIKOKOTOO na Jenista Mhagama alivyotetea ajira ambayo ilikuwa hoja ya Esther Matiko INAUMIZA SANA.
Kabisa mambo yanazidi kuwa magumu
 
Wabunge gani? Hawa hawa waliookotwa na kuwekwa na jiwe??
 
Mungu hajawahi shindwa. Kiza kitawafanya watafutane na katika kutafutana kila mmoja atanena kwa lugha yake. Wakati kila mmoja akinena kwa lugha yake tafakari Nini kitakuwa kinaendelea? Amen.
 
Back
Top Bottom